Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,042
- 19,787
I knew..!! Hao Spetsnaz ni kitu kingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora ungekaa kimya🤣Mmh... I'm proud to be Christian aisee. By the way, pasaka haijakaribia tu jamani??
Ila ni mtu wenu
Islamic wahhabi
View: https://twitter.com/OCanonist/status/1771238014557007979?t=HTf0WZsMSQFd2_xA7RDVOg&s=19%5B/URL
Ila ni mtu wenu
Islamic wahhabi
View: https://twitter.com/OCanonist/status/1771238014557007979?t=HTf0WZsMSQFd2_xA7RDVOg&s=19
Waislamu wanafaida gani na mauaji huko Russia...?View attachment 2942624
Ndio maana uchinani hawataki masihara
Hao wamekamatwa na kikosi cha Kadyrov kilitupwa mpakani hapo kwa haraka wakoshirikiana na maofisa wengine wa kiusalama.Putin hawezi kutumia kadi ya udini maana anawale jamaa zake wakina kadyrov atakua anawatusi ,ila mchezo mzima umesomeka, wametumika waislam wa ISIS ambao wapo kwa ajili ya kulinda maslahi ya wamagharibi
We nenda kasikilize BBC au katizame Taarifa za Habari za Aljazeera na media nyingine za kimataifa usikie ndugu zako wanvyoongelewa huko kila siku.Bora ungekaa kimya🤣
Unajua genocides zilifanywa na Wakirsto hapa duniani ?
Nikupe moja tu.
Watu wapatao milioni 75 walikufa katika Vita vya Pili vya dunia, kutia ndani wanajeshi wapatao milioni 20 na raia milioni 40, ambao wengi wao walikufa kwa sababu ya mauaji ya kimakusudi, mauaji makubwa, milipuko ya mabomu, magonjwa, na njaa.
Hapo hamna hata kiongozi moja alikuwa Muislam.
Vipi bado upo proud na Ukiristo wako🤣
Na ndiyo maana wenye kufuatilia matukio wanasema hao siyo Isis. Wangelikuwa wenyewe Isis wangejitoa mhanga au wangetumia mbinu ya kuwaweka raia wengine mateka ndani ya jengo kwani ndizo mbinu wanazotumia. Au wangeweka vilipulizi (bomu) lingelipuka wakati wao tayari wameshaondoka mapema.Uzembe mkubwa sana. Wanakubali vipi kukamatwa na askari wa Russia wakiwa hai!?
Tena baada ya kupiga tukio kama hili.
Watateseka sana hao jamaa, hapo bado hawajapelekwa kwenye idara ya mahojiano, aisee!
Unalazimisha ujinga wako hivi unadhani putin ana akili fupi kama zako?Mnakana ndugu zenu wahhabi 🤣🤣
Mambo haya yanatokea nchi nyingi tu kubwa kubwa zenye usalama wa hali ya juu.Hadi wanaingia Moscow vyombo vya usalama wako wapi? Wajiulize kwanza
Inaonesha intelligence yao haiko vizuri. Tunavyojua kwa mambo ya usalama Russia wako vizuri
TAtizo lako ni elimu kama huwezi kuchambua mambo kama haya basi una shida kwenye kufikiri, kama hadi leo hujui dunia inaenda vipi na machafuko yanatokea vipi ujue bado hujaelimikaWe nenda kasikilize BBC au katizame Taarifa za Habari za Aljazeera na media nyingine za kimataifa usikie ndugu zako wanvyoongelewa huko kila siku.
Yani nchi zote zenye uislam duniani ndizo kila siku zinaongelewa kuwa na shida ya milipuko ya kujitoa mhanga, anzia huku Somalia, Egypt, sudan, Yemen, Saudi Arabia nakadhalika. Nyie kila siku mabomu tu. Hatujaongelea bado hao wapalestina wenyewe waliowashikilia mateka wa israeli
Vikundi vyote vya TERRORISM asilimia 99% ni vya kiislamu tena wanajiita kabisa waislam wenye Itikadi kali.
Acha kabisa bana.
Mpaka Jumatatu tutakuwa tumeshapata majibu. Tuwe na subira.Hili tukio linanipa maswali mengi sana aisee, ISIS wamepiga tukio ambalo nikiangalia video za utekelezaji wa tukio, na hivi wanavyokamatwa kizembe naona kama mazingaombwe fulani hivi. Kuna speculations kuwa huenda Ukraine amehusika katika hili tukio, najiuliza Ukraine wanapata nini katika utekelezaji wa tukio kama hili?
Wengine wanaenda mbali kusema huenda Russia wenyewe wamepiga hili tukio ili kupata sababu ya kutumia nguvu kubwa zaidi za kijeshi kumaliza operesheni inayoendelea Ukraine, siamini kama Putin anahitaji kuua wananchi wake ili apate excuse ya kuitandika Kiev mazima.
Wengine wanasema hawa ni Mossad wamempiga tukio Putin baada ya kuonesha kuwa yuko upande wa Palestine. Mara oooh, hawa ni CIA wanataka Putin ajichanganye pale Ukraine ili USA na wapambe wake wa NATO waingie mazima, kwa faida ya nani!?
Yaani hili tukio linafanya iwe vigumu kutofautisha stori za kutunga, propaganda na ukweli.
Uwezo wake ni wa kupokea si wa kuchanganua.TAtizo lako ni elimu kama huwezi kuchambua mambo kama haya basi una shida kwenye kufikiri, kama hadi leo hujui dunia inaenda vipi na machafuko yanatokea vipi ujue bado hujaelimika
Unaonekana mtoto mambo mengi ufahamu muulize Baba yako unyama uliyofaywa na Kanisa au nenda kasoma historia ya dini yako au unaabudi kibubusa tu.soma hiii.We nenda kasikilize BBC au katizame Taarifa za Habari za Aljazeera na media nyingine za kimataifa usikie ndugu zako wanvyoongelewa huko kila siku.
Yani nchi zote zenye uislam duniani ndizo kila siku zinaongelewa kuwa na shida ya milipuko ya kujitoa mhanga, anzia huku Somalia, Egypt, sudan, Yemen, Saudi Arabia nakadhalika. Nyie kila siku mabomu tu. Hatujaongelea bado hao wapalestina wenyewe waliowashikilia mateka wa israeli
Vikundi vyote vya TERRORISM asilimia 99% ni vya kiislamu tena wanajiita kabisa waislam wenye Itikadi kali.
Acha kabisa bana.
View attachment 2942624
Ndio maana uchinani hawataki masihara
Ila kuabudu sanamu la budha ndo kuwa na akili 🤣🤣🤣View attachment 2942624
Ndio maana uchinani hawataki masihara
Kwani hilo sanamu linahamasisha kuua non believer wa masanamu kwa upanga?Ila kuabudu sanamu la budha ndo kuwa na akili 🤣🤣🤣