Urusi waondosha maafisa wa ubalozi wa Sudan, sikujua na wao watakimbia

Urusi waondosha maafisa wa ubalozi wa Sudan, sikujua na wao watakimbia

Habari ni habari tu hata kama haikufurahishi kama ile ya mahakamani Mbeya.
Na wewe unakomaa na ujinga!Vita ya Russia na ukraine inahusiana vipi na Russia kuondoa raia wake Sudan?Mbona mataifa mengine ambayo hayako vitani yamefanya hivyo?
Habari ilipaswa kuja kama ilivyo na sio kutengenezewa propaganda mfu!
 
Na wewe unakomaa na ujinga!Vita ya Russia na ukraine inahusiana vipi na Russia kuondoa raia wake Sudan?Mbona mataifa mengine ambayo hayako vitani yamefanya hivyo?
Habari ilipaswa kuja kama ilivyo na sio kutengenezewa propaganda mfu!

Hehehe sikujua bado uko huku, nilikuambia haya mambo yatakutesa mpaka upunguze hasira sheikh......
 
Hehehe sikujua bado uko huku, nilikuambia haya mambo yatakutesa mpaka upunguze hasira sheikh......
Mtu ameniquote,nikaja kumpa majibu yake!Wewe ndio unateseka,mbaya zaidi mrusi ndio anakutesa!Ogopa sana mtu anateseka juu yako halafu wewe hata hujui kama wamtesa!Ndio wewe sasa,mrusi anakutesa bila yeye kujua kama anakutoa kamasi!
 
Mtu ameniquote,nikaja kumpa majibu yake!Wewe ndio unateseka,mbaya zaidi mrusi ndio anakutesa!Ogopa sana mtu anateseka juu yako halafu wewe hata hujui kama wamtesa!Ndio wewe sasa,mrusi anakutesa bila yeye kujua kama anakutoa kamasi!

Hehehe!!! Yaani unavyohangaika humu hehehe, huyu Mrusi aliwaingiza pabaya sheikh, ndio keshaliwa hivyoooo.....hasira zako hazitosaidia kitu.
 
Hehehe!!! Yaani unavyohangaika humu hehehe, huyu Mrusi aliwaingiza pabaya sheikh, ndio keshaliwa hivyoooo.....hasira zako hazitosaidia kitu.
Mbona unalazimisha mambo ambayo hayapo?Uko obssesed na Russsia kiasi kwamba sidhani kama unapata usingizi vizuri!
Usipoangalia utapata maradhi ya moyo,Russia ipo na itaendelea kuwepo!So endelea kuteseka,dawa inaingia taratibu!
 
Kwa vile ni dhahiri Urusi imeshindwa Ukraine na kuhamisha nguvu nyingi kwenye heka heka za Afrika, sikujua na wao hukimbia kikinuka kwenye bara hili............

Russia says it has evacuated staff from its embassy in Khartoum, citing the high security risks to personnel amid the ongoing hostilities in Sudan.

In a statement this week, the Russian Foreign Ministry said it has evacuated some Russian embassy employees from Khartoum, as well as Russian citizens and family members who applied for help in returning home, from Port Sudan.

It said the evacuees arrived at Chkalovsky Air Base, 31 kilometres northeast of Moscow, on a special flight on Tuesday.
Mkuu naona Kremlin wanakupa update kila baada ya dk 10
 
Kwa vile ni dhahiri Urusi imeshindwa Ukraine na kuhamisha nguvu nyingi kwenye heka heka za Afrika, sikujua na wao hukimbia kikinuka kwenye bara hili............

Russia says it has evacuated staff from its embassy in Khartoum, citing the high security risks to personnel amid the ongoing hostilities in Sudan.

In a statement this week, the Russian Foreign Ministry said it has evacuated some Russian embassy employees from Khartoum, as well as Russian citizens and family members who applied for help in returning home, from Port Sudan.

It said the evacuees arrived at Chkalovsky Air Base, 31 kilometres northeast of Moscow, on a special flight on Tuesday.
Una akili za kitoto
 
Utakufa kwa pressure dogo!Huu mgogoro bado mbichi kabisaaa!

Presha ingenimaliza siku ya ule msafara wa kwenda kufumua Kyiv, lakini kwa namna uliondoshwa na wabeba javelin, yaani tangu hiyo siku ni raha tu, kila siku nasaka taarifa za kuja kuwapumulia humu, kila mkiwehuka ndio napata chachu, safii sana...hehehee
 
Mkuu naona Kremlin wanakupa update kila baada ya dk 10

Nisaidie link ya source unazojua, sijui nijiunge channel ipi nipate taarifa nyingi nyingi za kipondo kwa Urusi.
 
Presha ingenimaliza siku ya ule msafara wa kwenda kufumua Kyiv, lakini kwa namna uliondoshwa na wabeba javelin, yaani tangu hiyo siku ni raha tu, kila siku nasaka taarifa za kuja kuwapumulia humu, kila mkiwehuka ndio napata chachu, safii sana...hehehee
Inaonekana siku ukraine akipelekewa moto wa kutosha huwa hulali kwa msongo wa mawazo!
Relax,kichapo kipo palepale!Usipoangalia utapata sonono!
 
Inaonekana siku ukraine akipelekewa moto wa kutosha huwa hulali kwa msongo wa mawazo!
Relax,kichapo kipo palepale!Usipoangalia utapata sonono!

Umepatia, yaani msafara ulisababisha nigande aise, kwanza mlivyokua mnakesha humu na vitisho, leo kibao kimebadilika mnajifanya kuhamaki....siwaachi aise.
 
Umepatia, yaani msafara ulisababisha nigande aise, kwanza mlivyokua mnakesha humu na vitisho, leo kibao kimebadilika mnajifanya kuhamaki....siwaachi aise.
Hapo nimeelewa,kila siku mnapelekewa moto hivyo unakuwa na msongo wa mawazo!Ndio maana hata Russia kuondoa raia wake Sudan basi kwako ni big news!Unatafuta vijihabari vya kukutia moyo!Sio mbaya as long as inakusaidia kupunguza stress za kichapo na failed counter offensive!
 
Hapo nimeelewa,kila siku mnapelekewa moto hivyo unakuwa na msongo wa mawazo!Ndio maana hata Russia kuondoa raia wake Sudan basi kwako ni big news!Unatafuta vijihabari vya kukutia moyo!Sio mbaya as long as inakusaidia kupunguza stress za kichapo na failed counter offensive!

Hehehe tunapelekwa moto upi...yaani nimewapumulia humu tangu mlipoangukia pua kwa kujaribu kuiteka Kyiv, mnajifia kama mizoga....na nitawahabarisha humu hadi basi tu, siwaachi hata ukijifanya kufyatuka kwa hasira ndio unaniongeza mzuka bwana sheikh.....
 
Hehehe tunapelekwa moto upi...yaani nimewapumulia humu tangu mlipoangukia pua kwa kujaribu kuiteka Kyiv, mnajifia kama mizoga....na nitawahabarisha humu hadi basi tu, siwaachi hata ukijifanya kufyatuka kwa hasira ndio unaniongeza mzuka bwana sheikh.....
Unanilazimisha niwe na hasira?Wee mtu vipi?JF ni sehemu ya kuburudika baada ya msoto wa kutafuta faranga!Kama unahisi unanitia hasira basi pole sana!
 
Unanilazimisha niwe na hasira?Wee mtu vipi?JF ni sehemu ya kuburudika baada ya msoto wa kutafuta faranga!Kama unahisi unanitia hasira basi pole sana!

Hapo kama utajilipua muda wowote...hehehe...Na bado tu, yaani ukifyatuka nashusha uzi.
 
Back
Top Bottom