Urusi waondosha maafisa wa ubalozi wa Sudan, sikujua na wao watakimbia

Urusi waondosha maafisa wa ubalozi wa Sudan, sikujua na wao watakimbia

Hebu niwekee nami nimuone!

Utakua unamjibu nani hapa maana kuna watu huwa nimeweka kwenye ignore list baada ya wao kushindwa kudhibiti hasira kwa taarifa zangu za kipigo anachopokea Urusi wakaanza matusi ya nguoni kabisa, huwa sioni posts zao au majibu yao kwangu.
Hasira zenu ndio chachu yangu ya kuendelea kuleta hizi habari, ila ukishindwa kabisa kuvumilia uanze matusi ya kwenye nguoni nakutia kwenye ignore list, utakua unanijibu posts zangu na matusi yako lakini sikuoni wala kuona hayo matusi...hehehe
 
Utakua unamjibu nani hapa maana kuna watu huwa nimeweka kwenye ignore list baada ya wao kushindwa kudhibiti hasira kwa taarifa zangu za kipigo anachopokea Urusi wakaanza matusi ya nguoni kabisa, huwa sioni posts zao au majibu yao kwangu.
Hasira zenu ndio chachu yangu ya kuendelea kuleta hizi habari, ila ukishindwa kabisa kuvumilia uanze matusi ya kwenye nguoni nakutia kwenye ignore list, utakua unanijibu posts zangu na matusi yako lakini sikuoni wala kuona hayo matusi...hehehe
Hahahaaa,watakuwa wamekupiga nondo mpaka ukateseka ukaona isiwe tabu,ngoja nisione nondo zao!
Inaitwa heri nusu shari kuliko shari kamili!😂
 
Hahahaaa,watakuwa wamekupiga nondo mpaka ukateseka ukaona isiwe tabu,ngoja nisione nondo zao!
Inaitwa heri nusu shari kuliko shari kamili!😂

Hehehehe Hata wewe sheikh siku ukijisahau uanze matusi nakupiga ignore maana kuna kipindi niliwahi kujishusha na kuwajibu matusi yao moto kwa moto nikaliwa ban na mkwara juu kwamba nitaliwa permanent ban, hivyo nikaona njia nzuri ni ignore tu.
Inasaidia maana sioni matusi yao, kama hapa sijui unayechat naye anatusi nini, nakuona kama unaongea mwenyewe kwenye huu uzi, unamjibu mtu ambaye sioni matusi yake....hehehe

Kwa hivyo wewe endelea kuwa na hasira ila usivuke mpaka, nitaendelea kukuhabarisha namna Mrusi anapokea kichapo.
 
Hehehehe Hata wewe sheikh siku ukijisahau uanze matusi nakupiga ignore maana kuna kipindi niliwahi kujishusha na kuwajibu matusi yao moto kwa moto nikaliwa ban na mkwara juu kwamba nitaliwa permanent ban, hivyo nikaona njia nzuri ni ignore tu.
Inasaidia maana sioni matusi yao, kama hapa sijui unayechat naye anatusi nini, nakuona kama unaongea mwenyewe kwenye huu uzi, unamjibu mtu ambaye sioni matusi yake....hehehe

Kwa hivyo wewe endelea kuwa na hasira ila usivuke mpaka, nitaendelea kukuhabarisha namna Mrusi anapokea kichapo.
Changamoto za maisha zinipe stress,eti nije JF nipatwe na hasira!Nitakuwa mwendawazimu,JF nakuja kuenjoy na si vinginevyo!
Mtu huyo ninayechat naye wala hata hajatusi!
Pole sana kwa kula ban kwa kujihusisha na matusi!Hiyo inaonesha huwa unapatwa na jazba,tofauti ba mimi!Mimi sijawahi kupigwa ban miaka 10 toka nijisajili,hiyo ikufunze kuwa watu wengine JF tunaburudika na kujifunza!
Hayo ya hasira ni kama unatwanga maji kwenye kinu,hata unikashifu vipi wala hunishtui!
 
Changamoto za maisha zinipe stress,eti nije JF nipatwe na hasira!Nitakuwa mwendawazimu,JF nakuja kuenjoy na si vinginevyo!
Mtu huyo ninayechat naye wala hata hajatusi!
Pole sana kwa kula ban kwa kujihusisha na matusi!Hiyo inaonesha huwa unapatwa na jazba,tofauti ba mimi!Mimi sijawahi kupigwa ban miaka 10 toka nijisajili,hiyo ikufunze kuwa watu wengine JF tunaburudika na kujifunza!
Hayo ya hasira ni kama unatwanga maji kwenye kinu,hata unikashifu vipi wala hunishtui!

Hamnaa!! Tangu Mrusi ageuziwe kibao mumekua frustrated sana humu ni mwendo wa hasira.....nilikuambia ndio chachu yangu ya kuleta habari.

Hujala ban maana haupo active, huna nyuzi na haushambuliwi, wewe ni wa kushambulia tu, ila mimi nimejitoa kuhabarisha kuhusu mapigo anayopokea Mrusi na kwa vile kuna baadhi hawajui kudhibiti hasira, wanatukana moja kwa moja, hao nilikua napambana nao moja kwa moja hadi ikasababisha ban, hivyo ni mwendo wa kupiga ignore.
 
Hamnaa!! Tangu Mrusi ageuziwe kibao mumekua frustrated sana humu ni mwendo wa hasira.....nilikuambia ndio chachu yangu ya kuleta habari.

Hujala ban maana haupo active, huna nyuzi na haushambuliwi, wewe ni wa kushambulia tu, ila mimi nimejitoa kuhabarisha kuhusu mapigo anayopokea Mrusi na kwa vile kuna baadhi hawajui kudhibiti hasira, wanatukana moja kwa moja, hao nilikua napambana nao moja kwa moja hadi ikasababisha ban, hivyo ni mwendo wa kupiga ignore.
Haya yote unakiri kuwa huwa unapatwa na jazba unaposhambuliwa,yaani unafura kwa hasira ila ukikumbuka ban basi unakomaa kisabuni kumwaga povu lako😂!
Kuna kipindi nilikuwa active sana kwenye siasa za nchi hii,niliandika nyuzi kibao!Kipindi hicho majukumu kidogo!
Kwa sasa huo muda wa kupandisha nyuzi baada ya nyuzi sina kwakweli!Nimeamua kuwa mchangiaji tu wa kawaida!
 
Haya yote unakiri kuwa huwa unapatwa na jazba unaposhambuliwa,yaani unafura kwa hasira ila ukikumbuka ban basi unakomaa kisabuni kumwaga povu lako😂!
Kuna kipindi nilikuwa active sana kwenye siasa za nchi hii,niliandika nyuzi kibao!Kipindi hicho majukumu kidogo!
Kwa sasa huo muda wa kupandisha nyuzi baada ya nyuzi sina kwakweli!Nimeamua kuwa mchangiaji tu wa kawaida!

Of-course mimi ni binadamu, ukinitukana matusi ya nguoni au umtukane mama yangu mzazi lazima iniume, hiyo ni biolojia hamfundishwi kule kwenye ilmu yenu ya madrassa wakati mnajifunza kujilipua mabomu kisa mtume wenu ametajwa.
Sasa ili kuepuka kuliwa ban, huwa ninawapiga ignore wanaoingia kwenye anga hizo za kutukana.
Lakini nyie wengine mnaojibu huku mkidhibiti hasira zenu, napelekeshana na nyie taratibu na ndio maana siwaachi, nawaletea khabari kila siku hadi Mrusi aihame Crimea.
 
Of-course mimi ni binadamu, ukinitukana matusi ya nguoni au umtukane mama yangu mzazi lazima iniume, hiyo ni biolojia hamfundishwi kule kwenye ilmu yenu ya madrassa wakati mnajifunza kujilipua mabomu kisa mtume wenu ametajwa.
Sasa ili kuepuka kuliwa ban, huwa ninawapiga ignore wanaoingia kwenye anga hizo za kutukana.
Lakini nyie wengine mnaojibu huku mkidhibiti hasira zenu, napelekeshana na nyie taratibu na ndio maana siwaachi, nawaletea khabari kila siku hadi Mrusi aihame Crimea.
Halafu hii tabia ya kila ambaye hana mtizamo sawa na wewe basi unamkashifu,oooh mara mnajilipua mara sijui mtume!
Mimi ni mkristo,na kuna watu wananifahamu personally humu JF!
Hebu epuka kushambulia imani za watu na badala yake jikite kwenye kuhabarishana!
 
Halafu hii tabia ya kila ambaye hana mtizamo sawa na wewe basi unamkashifu,oooh mara mnajilipua mara sijui mtume!
Mimi ni mkristo,na kuna watu wananifahamu personally humu JF!
Hebu epuka kushambulia imani za watu na badala yake jikite kwenye kuhabarishana!

Kila siku nawaambia sishambulii imani zenu ila tabia zenu mbovu, mbona huwa hatuongei kuhusu budha na wengine, iwe nyie tu ndio mnaosemwa.....nyie ndio hamtulii muabudu mavitu yenu bila kutaka kulazimisha wengine.
 
Kila siku nawaambia sishambulii imani zenu ila tabia zenu mbovu, mbona huwa hatuongei kuhusu budha na wengine, iwe nyie tu ndio mnaosemwa.....nyie ndio hamtulii muabudu mavitu yenu bila kutaka kulazimisha wengine.
Mimi ni mkristo,sasa tunapokuwa tujadili hoja,nikikuelemea unaanza kunipa na imani isiyo yangu kama namna ya kujitetea!Hiyo inakusaidia nini?Kuna wengine mko ukurasa mmoja na ni wa imani hiyo unayoishambulia!Unawachanganya!
 
Mimi ni mkristo,sasa tunapokuwa tujadili hoja,nikikuelemea unaanza kunipa na imani isiyo yangu kama namna ya kujitetea!Hiyo inakusaidia nini?Kuna wengine mko ukurasa mmoja na ni wa imani hiyo unayoishambulia!Unawachanganya!

Haiji siku unilemee maana mumeshikiliwa akili kidini, hakuna Mkristo anayeweza kushabikia kinachofanywa na Urusi, nakumbuka kauli zako kipindi fulani ukisema unashabikia Urusi kuua mashoga Ukraine, yaani ivamie nchi ya watu na kulipua majengo ya wananchi hadi chekechea kisha ijimegee ardhi yote hiyo eti wanaua mashoga.

Na kama kweli utakua Mkristo, basi aidha utakua umezingirwa na hao wa dini hiyo nyingine walioaminishwa kila kitu dhidi ya Marekani, akili huwa zimeganda, mtu wa hivyo hauwezi kunishinda kwa hoja maana sipotezi muda wa kupambana kwa hoja na wewe, nakupa ukweli wako hadi utoke kwenye uzombi ndio tujadili hoja.
 
Haiji siku unilemee maana mumeshikiliwa akili kidini, hakuna Mkristo anayeweza kushabikia kinachofanywa na Urusi, nakumbuka kauli zako kipindi fulani ukisema unashabikia Urusi kuua mashoga Ukraine, yaani ivamie nchi ya watu na kulipua majengo ya wananchi hadi chekechea kisha ijimegee ardhi yote hiyo eti wanaua mashoga.

Na kama kweli utakua Mkristo, basi aidha utakua umezingirwa na hao wa dini hiyo nyingine walioaminishwa kila kitu dhidi ya Marekani, akili huwa zimeganda, mtu wa hivyo hauwezi kunishinda kwa hoja maana sipotezi muda wa kupambana kwa hoja na wewe, nakupa ukweli wako hadi utoke kwenye uzombi ndio tujadili hoja.
Daah,aisee!Huu ndio ujengaji wa hoja?Huwezi kuilazimisha akili yangu iendane na zako!Mimi naangalia mambo kwa mapana yake!Halafu hayo mengine usiniwekee maneno mdomoni kwangu!Mimi kuiunga mkono urusi,nimejiridhisha na nina sababu zangu!Hizo sababu za kila mmoja kuwa na upande wake tumezieleza hapa toka mwanzo mwa hii SMO!Serikali ya Tanzania yenyewe iliamua kutokuwa na upande ndio maana kwenye kura ya kuilaani urusi,Tanzania ili-abstain!Serikali nayo ina sababu zake!
Vifo ni jambo la kawaida kwenye mapambano!Hata vifo vya raia havizuiliki,lazima kuna ambao watajikuta kwenye cross fire!
Mimi eneo ambalo nimezaliwa na mpaka leo,more than 95% ni wakristo!Waislamu wapo wachache sana tena wengi wakiwa wageni,kwa sasa kidogo na wazawa wa hapa wapo wapo!
So kwenye hoja zako,ukianza tu kuweka mambo ya dini basi naona kama umeelemewa kwa hoja!
 
Daah,aisee!Huu ndio ujengaji wa hoja?Huwezi kuilazimisha akili yangu iendane na zako!Mimi naangalia mambo kwa mapana yake!Halafu hayo mengine usiniwekee maneno mdomoni kwangu!Mimi kuiunga mkono urusi,nimejiridhisha na nina sababu zangu!Hizo sababu za kila mmoja kuwa na upande wake tumezieleza hapa toka mwanzo mwa hii SMO!Serikali ya Tanzania yenyewe iliamua kutokuwa na upande ndio maana kwenye kura ya kuilaani urusi,Tanzania ili-abstain!Serikali nayo ina sababu zake!
Vifo ni jambo la kawaida kwenye mapambano!Hata vifo vya raia havizuiliki,lazima kuna ambao watajikuta kwenye cross fire!
Mimi eneo ambalo nimezaliwa na mpaka leo,more than 95% ni wakristo!Waislamu wapo wachache sana tena wengi wakiwa wageni,kwa sasa kidogo na wazawa wa hapa wapo wapo!
So kwenye hoja zako,ukianza tu kuweka mambo ya dini basi naona kama umeelemewa kwa hoja!

Huwa siwalazimishi, ila tatizo huwa mumeshikiliwa, mumeganda hamtumii akili zenu ndio maana huwa nawapelekesha kama mlivyo, likija suala la chochote dhidi ya Marekani huwa mumeshikiliwa kama mifugo, yaani nyote lenu moja, sijakutana hata na mmoja wenu anawaza tofauti, iwe maofisini, mtaani ama humu JF.
 
Huwa siwalazimishi, ila tatizo huwa mumeshikiliwa, mumeganda hamtumii akili zenu ndio maana huwa nawapelekesha kama mlivyo, likija suala la chochote dhidi ya Marekani huwa mumeshikiliwa kama mifugo, yaani nyote lenu moja, sijakutana hata na mmoja wenu anawaza tofauti, iwe maofisini, mtaani ama humu JF.
Sisi akina nani hao ambao unatuweka kundi moja?Hivi humu kumbe unafahamiana na watu?Ndio maana mmoja ameweka picha yako humu!
Mimi humu jukwaani nafahamiana na watu wachache sana tena ambao kitambo tuko pamoja!So tujadili hoja sio mambo yakuwekana kwenye makundi!Hiyo ni dalili ya kukosa hoja!
 
Sisi akina nani hao ambao unatuweka kundi moja?Hivi humu kumbe unafahamiana na watu?Ndio maana mmoja ameweka picha yako humu!
Mimi humu jukwaani nafahamiana na watu wachache sana tena ambao kitambo tuko pamoja!So tujadili hoja sio mambo yakuwekana kwenye makundi!Hiyo ni dalili ya kukosa hoja!

Hehehe Sina haja ya kufahamiana na nyie ili kuwapa ukweli wenu, maana akili zenu ziko level moja, nikishafanya tathmini ya uwezo wako na kujua umeshikiliwa basi nakupeleka vivyo hivyo....
Umenichekesha kuhusu la picha, kweli nawahenyesha kama unahangaika kutafuta picha yangu, yaani mwanaume utafute picha ya mwanaume mwenzio, na mtakoma aisei yaani ni mwendo wa uzi kila baada ya dakika chache, hii huku nyingine Base ya wanajeshi wa Urusi yatiwa kiberiti Mariupol
 
Hehehe Sina haja ya kufahamiana na nyie ili kuwapa ukweli wenu, maana akili zenu ziko level moja, nikishafanya tathmini ya uwezo wako na kujua umeshikiliwa basi nakupeleka vivyo hivyo....
Umenichekesha kuhusu la picha, kweli nawahenyesha kama unahangaika kutafuta picha yangu, yaani mwanaume utafute picha ya mwanaume mwenzio, na mtakoma aisei yaani ni mwendo wa uzi kila baada ya dakika chache, hii huku nyingine Base ya wanajeshi wa Urusi yatiwa kiberiti Mariupol
Wewe ni aina ya watu ambao hamna uwezo wa kujenga hoja,mmeshikilia mipasho na propaganda!Kuna watu humu kweli wakiandika unaona kuna kitu mtu unajifunza!Sijawahi kujifunza kitu kutoka kwako zaidi ya kuona unavyoshambuliana na watu bila uelekeo!Wewe endelea kuleta habari,ila zipime kwanza kabla ya kukurupuka kuleta humu jamvini!
Propaganda unazoletw humu wala urusi hazimuathiri chochote,unakuja kutupanga wabongo!Kazana ndugu,kupanga ni kuchagua!
 
Wewe ni aina ya watu ambao hamna uwezo wa kujenga hoja,mmeshikilia mipasho na propaganda!Kuna watu humu kweli wakiandika unaona kuna kitu mtu unajifunza!Sijawahi kujifunza kitu kutoka kwako zaidi ya kuona unavyoshambuliana na watu bila uelekeo!Wewe endelea kuleta habari,ila zipime kwanza kabla ya kukurupuka kuleta humu jamvini!
Propaganda unazoletw humu wala urusi hazimuathiri chochote,unakuja kutupanga wabongo!Kazana ndugu,kupanga ni kuchagua!

Hehehe sheikh, hoja huwa najenga kulingana na uwezo wako, nikikuona wa hovyo uliyeshikiliwa ubongo nakwenda na wewe vivyo hivyo kama ulivyo, ila ukinitukana matusi ya nguoni nakulima ignore kama huyo mnayejadili naye ambapo nakua sioni unacho post, huwa natathmini uwezo wa mtu kwanza.
Na nitaendelea kuwapumulia humu hadi kero.......
 
Hehehe sheikh, hoja huwa najenga kulingana na uwezo wako, nikikuona wa hovyo uliyeshikiliwa ubongo nakwenda na wewe vivyo hivyo kama ulivyo, ila ukinitukana matusi ya nguoni nakulima ignore kama huyo mnayejadili naye ambapo nakua sioni unacho post, huwa natathmini uwezo wa mtu kwanza.
Na nitaendelea kuwapumulia humu hadi kero.......
Ni vizuri umekiri kuwa haya unayokomaa nayo ni vijembe na mipasho tu wala si hoja!Siku ukijenga hoja,nitag nije nione!Maana sijawahi kuona unaandika kama mtu mwenye fikra pana!
 
Ni vizuri umekiri kuwa haya unayokomaa nayo ni vijembe na mipasho tu wala si hoja!Siku ukijenga hoja,nitag nije nione!Maana sijawahi kuona unaandika kama mtu mwenye fikra pana!

Hukulijua hilo, nyie mlioshikiliwa ubongo sina muda wa kuendana na nyie kwenye hoja, ni kuwapa ukweli wenu na kuchezea hasira zenu, naleta uzi baada ya uzi miaka miwili sasa, pigwa na kitu kizito sheikh hehehe Ukraine wamechukua silaha nyingi sana za Warusi waliotoroka mapigano
 
Back
Top Bottom