Haiwezekani JF nzima ujione wewe ndio una akili kuliko wote,hapo unatakiwa ushtuke kuwe wewe ndio una tatizo!Nakazia,siku ukijenga hoja nitag!Hukulijua hilo, nyie mlioshikiliwa ubongo sina muda wa kuendana na nyie kwenye hoja, ni kuwapa ukweli wenu na kuchezea hasira zenu, naleta uzi baada ya uzi miaka miwili sasa, pigwa na kitu kizito sheikh hehehe Ukraine wamechukua silaha nyingi sana za Warusi waliotoroka mapigano
Haiwezekani JF nzima ujione wewe ndio una akili kuliko wote,hapo unatakiwa ushtuke kuwe wewe ndio una tatizo!Nakazia,siku ukijenga hoja nitag!
Ndio nimekwambia,siku ukifanikiwa kujibu hoja kwa hoja na mtu humu JF,nitag nishuhidie!Maana tofauti na kejeli,mipasho na kashfa,sijawahi kuona jambo lingine kwako!So ikitokea hata ukaandika kapoint kamoja,hata kwa kuibia mahala nitag!Sijioni kuwa na akili kuliko wote, kunao watu wanaotumia ubongo vizuri, ila kwa nyie mlioshikiliwa lazima niwapumulie sheikh hehehe
Ndio nimekwambia,siku ukifanikiwa kujibu hoja kwa hoja na mtu humu JF,nitag nishuhidie!Maana tofauti na kejeli,mipasho na kashfa,sijawahi kuona jambo lingine kwako!So ikitokea hata ukaandika kapoint kamoja,hata kwa kuibia mahala nitag!
Siku nikiona una hoja nitajibu!For the time being acha nikuache tu uendelee kupiga mipasho na maneno ya kanga!Na ndio nimekuambia siku ukifanikiwa kutumia ubongo wako bila kushikiliwa, nitakuskliza, ila kwa sasa upo kwenye kundi moja na wenzako wengine huko, nawapumulia kama mlivyo.
Siku nikiona una hoja nitajibu!For the time being acha nikuache tu uendelee kupiga mipasho na maneno ya kanga!
Uwe na wakati mwema!Hehehe wewe ambaye haipiti siku hujanijibu, mimi siepukiki hata kwa nyie mlioshikiliwa ubongo, nawapumulia humu sheikh......
Huyu amekwisha kuwa mental case -kutwa kucha anaiota Urusi na Putin basi!!!Sasa hii nayo ni habari ya kushangilia?Kuna habari kweli hapa?Mko obsessed na urusi mpaka mnachanganyikiwa!
Jamaa huyu ni narcissist par excellency linapokuja suala la Urusi au Putin - fatilia taarifa zake jimejaa uzushi tu kama mtu ambaye anakaribia kuchanganyikiwa - NATO/Ukraine wakishindwa vitana Urusi MK-254 atakubwa na heart attack - watu wanamo hoji hapakwa nini hatuletei habari kuhusu progress ya vita kati ya jeshi la Kenya na Al Shaabab - hana, kazi kuisema Urusi na Putin.Mtu ameniquote,nikaja kumpa majibu yake!Wewe ndio unateseka,mbaya zaidi mrusi ndio anakutesa!Ogopa sana mtu anateseka juu yako halafu wewe hata hujui kama wamtesa!Ndio wewe sasa,mrusi anakutesa bila yeye kujua kama anakutoa kamasi!
Huyu amekwisha kuwa mental case -kutwa kucha anaiota Urusi na Putin basi!!!
Jamaa huyu ni narcissist par excellency linapokuja suala la Urusi au Putin - fatilia taarifa zake jimejaa uzushi tu kama mtu ambaye anakaribia kuchanganyikiwa - NATO/Ukraine wakishindwa vitana Urusi MK-254 atakubwa na heart attack - watu wanamo hoji hapakwa nini hatuletei habari kuhusu progress ya vita kati ya jeshi la Kenya na Al Shaabab - hana, kazi kuisema Urusi na Putin.