Urusi yaanza kulialia kuhusu vifaru anavyopewa Ukraine

Urusi yaanza kulialia kuhusu vifaru anavyopewa Ukraine

Zungumzia basi na Abrams. Kwani na hizo zinapelekwa uwanjani.
Hakuna silaha itakayokuwa 100% hata iwe na quality vipi?hv kuna tank ilikuwa inasifiwa kama israel's tank merkava lakini zilichomwa km karatasi na hezbollah na hizo abrams zimepgwa sana mfano hyo chini ni abrams ishageuka jivu.
images%20(7).jpg
 
Back
Top Bottom