Mtanga90 JF-Expert Member Joined Nov 18, 2022 Posts 238 Reaction score 460 Jan 29, 2023 #41 Chief said: Zungumzia basi na Abrams. Kwani na hizo zinapelekwa uwanjani. Click to expand... Hakuna silaha itakayokuwa 100% hata iwe na quality vipi?hv kuna tank ilikuwa inasifiwa kama israel's tank merkava lakini zilichomwa km karatasi na hezbollah na hizo abrams zimepgwa sana mfano hyo chini ni abrams ishageuka jivu.
Chief said: Zungumzia basi na Abrams. Kwani na hizo zinapelekwa uwanjani. Click to expand... Hakuna silaha itakayokuwa 100% hata iwe na quality vipi?hv kuna tank ilikuwa inasifiwa kama israel's tank merkava lakini zilichomwa km karatasi na hezbollah na hizo abrams zimepgwa sana mfano hyo chini ni abrams ishageuka jivu.