Urusi yaanza mazoezi ya kijeshi ya siku kumi na Belarus

Urusi yaanza mazoezi ya kijeshi ya siku kumi na Belarus

uache kuropoka TAIWAN sio nchi
Wewe ndio Mpumbavu. Kama sio nchi ni Nini? Ulishawahi kuona Taiwani wakimchagua kiongozi yeyote wa China? China ina Wabunge 3,182 Kati ya hao unaweza kuniambia Mbunge anayeiwakilisha Taiwani Kama ilivyo kwa Hong Kong na Macau? Kwasababu ya ushabiki umekuwa Zezeta.
 
Kwahiyo Ukraine ikijiunga na NATO itavamiwa?! Na anayetaka Ukraine ijiunge na NATO ni nani kama sio Ukraine yenyewe?
Mkuu hebu nipe maelezo Yako wewe ni kwa Nini tunaambiwa Urusi itaivamia Ukraine?
Je Urusi wataivamia bila sababu.
Maana Mimi nijuavyo ni kama alivyosema huyo jamaa uliemquote.
Kwamba Urusi hataki Ukraine iingie NATO.
Na moha ya mambo ambayo Putin kawaambia Usa ni pamoja na la Ukraine kujiunga NATo na hawajamjibu.
Sasa tunaonba wewe utupe sababu zako za Urusi kutaka kuivamia Ukraine.
 
Mkuu hebu nipe maelezo Yako wewe ni kwa Nini tunaambiwa Urusi itaivamia Ukraine?
Je Urusi wataivamia bila sababu.
Maana Mimi nijuavyo ni kama alivyosema huyo jamaa uliemquote.
Kwamba Urusi hataki Ukraine iingie NATO.
Na moha ya mambo ambayo Putin kawaambia Usa ni pamoja na la Ukraine kujiunga NATo na hawajamjibu.
Sasa tunaonba wewe utupe sababu zako za Urusi kutaka kuivamia Ukraine.
Kuna hoja nimeiona humu mara kadhaa kwamba, Ukraine ikijiunga NATO, itavamiwa na Urusi.

Sasa, mimi nimekwisha hoji humu mahali kwamba; endapo Ukraine itajiunga NATO, itapelekea NATO kupata upenyo zaidi wa kuilinda Ukraine kwa kutumia Article 5 ya Mkataba wa Washington (North Atlantic Treaty).

Maana yake ni kwamba, uvamizi wowote wa kijeshi dhidi ya Ukraine, utahesabika kama uvamizi dhidi ya NATO (collective defence). Hivyo NATO kama jumuiya ya kujihami italazimika kuilinda Ukraine kijeshi.

Katika mazingira kama hayo, lipi ni jambo rahisi na lenye nafuu zaidi kwa anayetaka kuivamia Ukraine?

1) Kuivamia Ukraine mapema kabla haijaingia NATO ukiwa ni mpango wa kubadilisha utawala uliopo na kuweka vibaraka?

Au,

2) Kuisubiri Ukraine ijiunge NATO ndipo uvamizi ufanyike, kitu ambacho kitaipa NATO fursa ya kuingilia kati kwa kuitisha Article 5 ya Mkataba wa Washington?
 
Kutoka Latvia, ambayo ni mwanachama wa NATO, mpaka Moscow, ni karibu zaidi kuliko kutoka Ukraine mpakani hadi Moscow.
Mrusi alishamtuliza huyo mapema labda kama na wao hawaipendi nchi yao
Screenshot_20220214-212355_Samsung Internet.jpg
Screenshot_20220214-212432_Samsung Internet.jpg
images.jpeg-226.jpg


images.jpeg-225.jpg


Hili eneo ni karibu na nchi nyingi za NATO
 
Kuna hoja nimeiona humu mara kadhaa kwamba, Ukraine ikijiunga NATO, itavamiwa na Urusi.

Sasa, mimi nimekwisha hoji humu mahali kwamba; endapo Ukraine itajiunga NATO, itapelekea NATO kupata upenyo zaidi wa kuilinda Ukraine kwa kutumia Article 5 ya Mkataba wa Washington (North Atlantic Treaty).

Maana yake ni kwamba, uvamizi wowote wa kijeshi dhidi ya Ukraine, utahesabika kama uvamizi dhidi ya NATO (collective defence). Hivyo NATO kama jumuiya ya kujihami italazimika kuilinda Ukraine kijeshi.

Katika mazingira kama hayo, lipi ni jambo rahisi na lenye nafuu zaidi kwa anayetaka kuivamia Ukraine?

1) Kuivamia Ukraine mapema kabla haijaingia NATO ukiwa ni mpango wa kubadilisha utawala uliopo na kuweka vibaraka?

Au,

2) Kuisubiri Ukraine ijiunge NATO ndipo uvamizi ufanyike, kitu ambacho kitaipa NATO fursa ya kuingilia kati kwa kuitisha Article 5 ya Mkataba wa Washington?
Acha waingie wote ...........mwisho wa siku paeleweke
 
Lakini, huoni kuwa mwenye maamuzi ya kwanza kabisa ya kujiunga NATO ni Ukraine yenyewe?

Kama umefuatilia, uungwaji mkono wa umma nchini Ukraine juu ya Ukraine kuingia NATO umeongezeka zaidi kutoka mwaka 2014 hadi sasa. Na hili limechagizwa pia na sera za nje za Urusi ambazo zimeonekana kuwa tishio kwa Ukraine na mipaka yake nikitolea mfano, Crimea.

Hata hivyo, je unafahamu kuwa kuna nchi zingine kadhaa ambazo zinapakana na Urusi ambazo tayari ni wanachama wa NATO kwa muda mrefu sasa? Mfano; Estonia na Latvia.

Katika suala la makubaliano; je, kuna uwepo wa mkataba wowote au makubaliano yaliyopo kisheria yanayotoa hakikisho kwamba NATO haitapaswa kupokea wanachama wapya ambao ni nchi zinazoizunguka Urusi?
Ukitaka kujua chanzo cha mgogoro wote anzia walau 2008 utaona sababu ni nini

Pili chunguza pia nini kiliipata meli mpya na ya kisasa ya Marekani na tukio hilo linatishia vipi usalama wa marekani

Pia tambua Ukrain ndio njia kuu ya mafuta na gas kutoka Russia kwemda western countries.

Russia kiuchumi hamfikii marekani wala china lakini kwa Marekani Urusi ni hatari kijeshi kuliko China pamoja na kwamba china inauchumi mkubwa.
 
Itoshe TU Mimi nikuite tahira hata Kama MODS wataamua kunipiga Ban. Huu ushabiki unakufanya hata kuongopa kwenye ukweli?

Unasema Russia hataki nchi yoyote ile ambayo wanapakana nayo Iwe Mwanachama wa NATO? Unajiropokea TU bila kujua hata nchi wanachama wa NATO ni akina Nani.

Nchi za LATVIA,LITHUANIA na ESTONIA zote zinapakana na Urusi na ni wanachama wa NATO lakini wewe na umbumbumbu wako huna hiyo taarifa kabisa.

Sasa kwanini umuite tahira kwanini usingemjibu kwa staha
 
Back
Top Bottom