MTZ 255Dar
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 1,149
- 3,963
Wewe ndio Mpumbavu. Kama sio nchi ni Nini? Ulishawahi kuona Taiwani wakimchagua kiongozi yeyote wa China? China ina Wabunge 3,182 Kati ya hao unaweza kuniambia Mbunge anayeiwakilisha Taiwani Kama ilivyo kwa Hong Kong na Macau? Kwasababu ya ushabiki umekuwa Zezeta.uache kuropoka TAIWAN sio nchi
Kutoka Latvia, ambayo ni mwanachama wa NATO, mpaka Moscow, ni karibu zaidi kuliko kutoka Ukraine mpakani hadi Moscow.Ili umpige Russia lzm uchukue eneo Ukraine kwasasabu ukraine imepakana sana na mji mkuu wa russia
Mkuu hebu nipe maelezo Yako wewe ni kwa Nini tunaambiwa Urusi itaivamia Ukraine?Kwahiyo Ukraine ikijiunga na NATO itavamiwa?! Na anayetaka Ukraine ijiunge na NATO ni nani kama sio Ukraine yenyewe?
Kuna hoja nimeiona humu mara kadhaa kwamba, Ukraine ikijiunga NATO, itavamiwa na Urusi.Mkuu hebu nipe maelezo Yako wewe ni kwa Nini tunaambiwa Urusi itaivamia Ukraine?
Je Urusi wataivamia bila sababu.
Maana Mimi nijuavyo ni kama alivyosema huyo jamaa uliemquote.
Kwamba Urusi hataki Ukraine iingie NATO.
Na moha ya mambo ambayo Putin kawaambia Usa ni pamoja na la Ukraine kujiunga NATo na hawajamjibu.
Sasa tunaonba wewe utupe sababu zako za Urusi kutaka kuivamia Ukraine.
Mrusi alishamtuliza huyo mapema labda kama na wao hawaipendi nchi yaoKutoka Latvia, ambayo ni mwanachama wa NATO, mpaka Moscow, ni karibu zaidi kuliko kutoka Ukraine mpakani hadi Moscow.
Acha waingie wote ...........mwisho wa siku paelewekeKuna hoja nimeiona humu mara kadhaa kwamba, Ukraine ikijiunga NATO, itavamiwa na Urusi.
Sasa, mimi nimekwisha hoji humu mahali kwamba; endapo Ukraine itajiunga NATO, itapelekea NATO kupata upenyo zaidi wa kuilinda Ukraine kwa kutumia Article 5 ya Mkataba wa Washington (North Atlantic Treaty).
Maana yake ni kwamba, uvamizi wowote wa kijeshi dhidi ya Ukraine, utahesabika kama uvamizi dhidi ya NATO (collective defence). Hivyo NATO kama jumuiya ya kujihami italazimika kuilinda Ukraine kijeshi.
Katika mazingira kama hayo, lipi ni jambo rahisi na lenye nafuu zaidi kwa anayetaka kuivamia Ukraine?
1) Kuivamia Ukraine mapema kabla haijaingia NATO ukiwa ni mpango wa kubadilisha utawala uliopo na kuweka vibaraka?
Au,
2) Kuisubiri Ukraine ijiunge NATO ndipo uvamizi ufanyike, kitu ambacho kitaipa NATO fursa ya kuingilia kati kwa kuitisha Article 5 ya Mkataba wa Washington?
Ukitaka kujua chanzo cha mgogoro wote anzia walau 2008 utaona sababu ni niniLakini, huoni kuwa mwenye maamuzi ya kwanza kabisa ya kujiunga NATO ni Ukraine yenyewe?
Kama umefuatilia, uungwaji mkono wa umma nchini Ukraine juu ya Ukraine kuingia NATO umeongezeka zaidi kutoka mwaka 2014 hadi sasa. Na hili limechagizwa pia na sera za nje za Urusi ambazo zimeonekana kuwa tishio kwa Ukraine na mipaka yake nikitolea mfano, Crimea.
Hata hivyo, je unafahamu kuwa kuna nchi zingine kadhaa ambazo zinapakana na Urusi ambazo tayari ni wanachama wa NATO kwa muda mrefu sasa? Mfano; Estonia na Latvia.
Katika suala la makubaliano; je, kuna uwepo wa mkataba wowote au makubaliano yaliyopo kisheria yanayotoa hakikisho kwamba NATO haitapaswa kupokea wanachama wapya ambao ni nchi zinazoizunguka Urusi?
Itoshe TU Mimi nikuite tahira hata Kama MODS wataamua kunipiga Ban. Huu ushabiki unakufanya hata kuongopa kwenye ukweli?
Unasema Russia hataki nchi yoyote ile ambayo wanapakana nayo Iwe Mwanachama wa NATO? Unajiropokea TU bila kujua hata nchi wanachama wa NATO ni akina Nani.
Nchi za LATVIA,LITHUANIA na ESTONIA zote zinapakana na Urusi na ni wanachama wa NATO lakini wewe na umbumbumbu wako huna hiyo taarifa kabisa.