Putin amezungukwa na wayahudi, anaongea sasa upuuzi, ila sasa hivi hakai hata kwake, anahama hama..!! Putin katika hatari kubwa aliyo nayo ni kuweka uadui na wayahudi
Linapokuja suala la Israel inaniwia ngumu kumuamini sana Russia. Huyu Russia ana unafiki fulani hivi wa kuwaaminisha waarabu hasa Iran kuwa hayupo na Israel lakini kiuhalisia wana mikataba mingi ya siri. Na si ajabu hawa huwa wana share taarifa za kijasusi.