Usiseme Russia, sema USSR ilipigana, na USSR ilikuwa ni pamoja na UKRAINE..World war 2,Russia alipigana vita Kwa miaka 6 mpaka kuwashinda Wanazi na vibaraka wao!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiseme Russia, sema USSR ilipigana, na USSR ilikuwa ni pamoja na UKRAINE..World war 2,Russia alipigana vita Kwa miaka 6 mpaka kuwashinda Wanazi na vibaraka wao!
Ukraine inamtosha kabisaWambie baba zenu NATO waingie mzigoni ili ndo tujue rusia kaishiwa siraha ama?
Uko Sahihi,unafikiri Arsene ya Sasa ya Russia na iliyokuwepo kipindi cha USSR ni ipi kubwa?Wakati Russia anaambiwa kaishiwa Silaha,lakini anazidi kutuma troops na silaha nchi mbalimbali kulinda amani!Usiseme Russia, sema USSR ilipigana, na USSR ilikuwa ni pamoja na UKRAINE..
Chameleon on the beat. Ngoja nijadiliane na wewe kwa namna mentality yako ilivyo.Sasa Unashangaa Nini?Yaani sisi tuwe na mgogoro na Burundi,halafu tupeleke jeshi na zana za kivita mpakani na Burundi,kweli inahitaji akili kutoka mbinguni kujua kuwa Tunaenda ivamia Burundi?
Nways US walisema wanajeshi wa Russia wameishiwa chakula🤣
Kaka yangu Bome-e,Uko Sahihi,unafikiri Arsene ya Sasa ya Russia na iliyokuwepo kipindi cha USSR ni ipi kubwa?Wakati Russia anaambiwa kaishiwa Silaha,lakini anazidi kutuma troops na silaha nchi mbalimbali kulinda amani!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaaaa yaan mkuu ,dunia bado haiamin kilichotokea,kumbe maparedi yote yale mkwara tuu,kuna siku walionyesha kifaru kikubwa kama kisiwa wakasema wanavyo 70 ,na vina uwezo wa kushangaza ,chaa ajabu sijawah kukiona hata kimoja
Usiseme Russia, sema USSR ilipigana, na USSR ilikuwa ni pamoja na UKRAINE..
Amka jamaa hapa kuna kadili ka US 😂😂😂😂😂ANAUZA SILAHA🤣🤣 Nikikumbuka US ilivyopopolewa kwa maneno baada ya kusema Urusi inakwenda vamia Ukraine kabla ya siku fulani, toka hapo nimekuwa sipuuzi kwa asimia zote kile wanachokisema.
Sasa Unashangaa Nini?Yaani sisi tuwe na mgogoro na Burundi,halafu tupeleke jeshi na zana za kivita mpakani na Burundi, kweli inahitaji akili kutoka mbinguni kujua kuwa Tunaenda ivamia Burundi?
Nways US walisema wanajeshi wa Russia wameishiwa chakula[emoji1787]
Wambie baba zenu NATO waingie mzigoni ili ndo tujue rusia kaishiwa siraha ama?
Mbona USA na UKRAINE walisema wataifutilia mbali RUSSIA kabla ya August lakini hadi sasa hivi ni 0 - 0 ?[emoji1787][emoji1787] Nikikumbuka US ilivyopopolewa kwa maneno baada ya kusema Urusi inakwenda vamia Ukraine kabla ya siku fulani, toka hapo nimekuwa sipuuzi kwa asimia zote kile wanachokisema.
Kuhimarisha mahusiano ya kijeshi kupo hatukatai, lakini inaingia akilini marekani kununua silaha Korea kusini? Let's say [emoji57]Mkuu kununua silaha huenda ni katika kuimarisha mahusiano ya kijeshi na North K.
Ahamie wapi?? Atafia hapohapo kwake-Hakuna anayemtaka mpuuzi huyo.Sasa hapo anapigana na Ukraine ambaye hata jeshi hakuwa nalo
Siku ajipeleke kwa Poland si atahama
Ila waswahili mna propaganda jamani. Kifaru gani kinalingana na kisiwa?tuu,kuna siku walionyesha kifaru kikubwa kama kisiwa wakasema wanavyo 70 ,na vina uwezo wa kushangaza ,chaa ajabu sijawah kukiona hata kimoja
Sasa hapo anapigana na Ukraine ambaye hata jeshi hakuwa nalo
Siku ajipeleke kwa Poland si atahama