Urusi yaishutumu Ukraine kwa kushambulia ghala lake la mafuta

Urusi yaishutumu Ukraine kwa kushambulia ghala lake la mafuta

Sexer

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2014
Posts
8,440
Reaction score
8,149
Gavana wa jimbo la Belgorod nchini Urusi ameishutumu Ukraine kwa kushambulia ghala lake la mafuta katika mji huo.

Vyacheslav Gladkov alisema kupitia Telegram kwamba moto mkubwa uliozuka Ijumaa asubuhi kwenye ghala hilo, ulisababishwa na mashambulizi ya anga kutoka kwa helikopta mbili za Ukraine.

Awali alisema kuwa watu wawili walijeruhiwa, lakini hakukuwa na hatari yoyote ya kutishia maisha. Wakazi wa mitaa ya karibu waliondolewa wakati maafisa wa zima moto wakikabiliana na moto huo, alisema.

Hatua hiyo inajiri siku mbili tu baada ya eneo hilo pia kushuhudia milipuko mwingine katika jengo la kuhifadhia silaha. Belgorod iko kaskazini mwa mpaka na Ukraine.

Ukraine haijathibitisha kuhusika na milipuko au mashambulizi hayo.


Screenshot_2022-04-01-09-01-37-68.jpg
 
Gavana wa jimbo la Belgorod nchini Urusi ameishutumu Ukraine kwa kushambulia ghala lake la mafuta katika mji huo.

Vyacheslav Gladkov alisema kupitia Telegram kwamba moto mkubwa uliozuka Ijumaa asubuhi kwenye ghala hilo, ulisababishwa na mashambulizi ya anga kutoka kwa helikopta mbili za Ukraine.

Awali alisema kuwa watu wawili walijeruhiwa, lakini hakukuwa na hatari yoyote ya kutishia maisha. Wakazi wa mitaa ya karibu waliondolewa wakati maafisa wa zima moto wakikabiliana na moto huo, alisema.

Hatua hiyo inajiri siku mbili tu baada ya eneo hilo pia kushuhudia milipuko mwingine katika jengo la kuhifadhia silaha. Belgorod iko kaskazini mwa mpaka na Ukraine.

Ukraine haijathibitisha kuhusika na milipuko au mashambulizi hayo.View attachment 2171341
Nahisi Kuna Jambo linaandaliwa....duh...
 
Ao watakuwa ni hao hao warusi vita imewashinda wameanza kushamburiana wenyewe kwa wenyewe

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Uko sahihi

Majeshi ya Urusi yaliyo msitari wa mbele wakizidiwa na Jeshi la Ukraine wakitaka kurudi nyuma vikosi vya nyuma yao vya Urusi wanawashamhulia kwa mirisasi na mabomu kuwa ni wasaliti wanakimbia vita na kuwaua.Hao Askari wanajikuto katikati ya vita ndio wanaoana ujinga wanarudi nyuma kwa kushambulia vikosi vya nyuma na kuvurumisha mabomu na mikombora Urusi kuwa kama kufa tufe wote tu.Putin majeshi ya mstari wa mbele ni kama kawatoa kafara kuwa kafieni huko huko Ukraine mkigeuka nawaua

Sasa wanaoana kurudi nyuma
 
Gavana wa jimbo la Belgorod nchini Urusi ameishutumu Ukraine kwa kushambulia ghala lake la mafuta katika mji huo.

Vyacheslav Gladkov alisema kupitia Telegram kwamba moto mkubwa uliozuka Ijumaa asubuhi kwenye ghala hilo, ulisababishwa na mashambulizi ya anga kutoka kwa helikopta mbili za Ukraine.

Awali alisema kuwa watu wawili walijeruhiwa, lakini hakukuwa na hatari yoyote ya kutishia maisha. Wakazi wa mitaa ya karibu waliondolewa wakati maafisa wa zima moto wakikabiliana na moto huo, alisema.

Hatua hiyo inajiri siku mbili tu baada ya eneo hilo pia kushuhudia milipuko mwingine katika jengo la kuhifadhia silaha. Belgorod iko kaskazini mwa mpaka na Ukraine.

Ukraine haijathibitisha kuhusika na milipuko au mashambulizi hayo.View attachment 2171341
naona sasa vita inaingia phase II Ukraine ana revenge mrusi pumzi imekata
 
Hizo ni njama za Urusi za kuongeza mashambulizi Ukraine. Sasa hivi Ukraine atapokea kichapo cha kufa mtu
Duh!
Itakuwa ni askari wa Urusi waliochoka na vita haram ya Putin ndo wanalipua huko kwao ili kumzindua bosi wao[emoji849]
 
Back
Top Bottom