MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Hongera zao UKRAINE [emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]
Tunapigana unaanza kulalamika tusipigane kwenye uso, eti ziwe ngumi za vifuani tu basi......mumenikumbusha mbali sana utotoni kule.
Subiri muanze kusikia milipuko milipuko bila kujua inawafikiaje mpaka Moscow mjini kati.