Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Unaijua idadi ya mashoga iliyopo urusi?Kama kweli sasa hivi naanza kuondoka Kiev maana mvua itanyesha usiku huu.
Viva Putin
Kill all shogas annd lesbian
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaijua idadi ya mashoga iliyopo urusi?Kama kweli sasa hivi naanza kuondoka Kiev maana mvua itanyesha usiku huu.
Viva Putin
Kill all shogas annd lesbian
Mnapenda mno kuongelea mashoga huenda na wewe ni moja wao. Because it's becoming monotonous.Kama kweli sasa hivi naanza kuondoka Kiev maana mvua itanyesha usiku huu.
Viva Putin
Kill all shogas annd lesbian
Yap mkuuYaan umeleta furaha yako moja kwa moja hapa
Mavindozi...we wa mbeya kaka eti?Yap mkuu
Anga ni la mungu tu sio binadamu kwani hao urusi hizo nuclear weapon walitest vita gani Bora hata america alitest huko japanTuliambiwa anga la urusi ni un accessible. Hayo ma s500 yanafanya kazi gani
Nimeisoma habari sehemu, marubani wa Ukrain wanao uwezo wa kuruka na helkopta chini chini, hivyo helkopta haiwezi kunaswa na rada. Ndio walichokifanya hao marubani wa Ukrain na kushambulia hayo matenki ya mafuta.Tuliambiwa anga la urusi ni un accessible. Hayo ma s500 yanafanya kazi gani
Hata hivyo Ukraine imekana kuhusika kivyovyote.Nimeisoma habari sehemu, marubani wa Ukrain wanao uwezo wa kuruka na helkopta chini chini, hivyo helkopta haiwezi kunaswa na rada. Ndio walichokifanya hao marubani wa Ukrain na kushambulia hayo matenki ya mafuta.
Hii kitu nilikuwa siijui. Sasa wataalamu wa vita humu ndani watueleweshe, kumbe helkopta ikiruka chini sana haionwi na rada?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Namshukuru Mungu amekupa mawazo Kama yangu ,kwa watu wasiolewa haya mambo watashabikia Kuwa Russia kapigwa lakini kuna mawili,wajipige wenyewe wadai ni vijana wa comedian au waliwaona wakiingia wakawacha kusudi wapate haki ya kuja kufanya unyama sana kwa madai ya kuwa Ukraine nao wanawashambuliaKwa akili ya harakaharaka hapo kuna jambo urusi wanataka kulifanya kikubwa wanatafuta kisingizio ili watakapotekeleza jambo lenyewe dunia ijue kama walikuwa wanalipiza au wanajilinda.. wasoviet wanaakili sana
Ni wazi wewe bado ni mchanga wa masuala hayaHakuna jambo linaloandaliwa hapo,huo ni udhaifu wa jeshi la Urusi.
Waliidharau ukraine sasa shilingi inageuka upande wa pili, Zelensky ni rais bomba duniani natamani kuweka picha yake seating room kwanguGavana wa jimbo la Belgorod nchini Urusi ameishutumu Ukraine kwa kushambulia ghala lake la mafuta katika mji huo.
Vyacheslav Gladkov alisema kupitia Telegram kwamba moto mkubwa uliozuka Ijumaa asubuhi kwenye ghala hilo, ulisababishwa na mashambulizi ya anga kutoka kwa helikopta mbili za Ukraine.
Awali alisema kuwa watu wawili walijeruhiwa, lakini hakukuwa na hatari yoyote ya kutishia maisha. Wakazi wa mitaa ya karibu waliondolewa wakati maafisa wa zima moto wakikabiliana na moto huo, alisema.
Hatua hiyo inajiri siku mbili tu baada ya eneo hilo pia kushuhudia milipuko mwingine katika jengo la kuhifadhia silaha. Belgorod iko kaskazini mwa mpaka na Ukraine.
Ukraine haijathibitisha kuhusika na milipuko au mashambulizi hayo.
View attachment 2171341
Wajiandae na VITA kwani futiboli ile mjeda wakati wowote anakua tayariBinafsi ninavyoona, ikiwa Urus hatatumia silaha za Nyuklia basi atayumbishwa sana na Ukrain.
Inasemekana Wanajeshi wa Urusi wamekosa morali ya vita mana majenerali walifisadi fedha za kuboresha silaha miaka kadhaa, hivyo jeshi la Urus lina vifaa kama magari, vifaru vimechoka na vinaharibika hovyo!
Pia inasemekana Wanajeshi wengi wa Urus hawakujiandaa na hii vita na hawana uzoefu na mapigano ya mjini hivyo wanauawa sana, hali iliyopelekea kurudishwa nyuma na vikosi vya Ukrain.
Wakati huo huo Ukrain ina wapiganaji wengi wa kujitolea. Urus nae inasemekana amepeleka wapiganaji wa kujitolea waliokuwa wanapigana huko Syria na Libya ambao wanauzoefu na mapigano ya mjini.
Inaonekana Waukrain wamehamasika sana na hii vita tofauti na Warusi.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Rada nyingi zinasoma umbali wa juu kwenda hewani ndio missiles zinapotokea lakini haziwezi kuona vitu vinavyoruka low altitudeNimeisoma habari sehemu, marubani wa Ukrain wanao uwezo wa kuruka na helkopta chini chini, hivyo helkopta haiwezi kunaswa na rada. Ndio walichokifanya hao marubani wa Ukrain na kushambulia hayo matenki ya mafuta.
Hii kitu nilikuwa siijui. Sasa wataalamu wa vita humu ndani watueleweshe, kumbe helkopta ikiruka chini sana haionwi na rada?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ulitaka akubali wakati wapo kwenye ceasefire agreements?Hata hivyo Ukraine imekana kuhusika kivyovyote.
S-500 is nothing but a myth. Look at the way Russia is struggling in Ukraine.Anga ni la mungu tu sio binadamu kwani hao urusi hizo nuclear weapon walitest vita gani Bora hata america alitest huko japan