Urusi yakamata shehena ya drones za Marekani, American Kamikaze drones switchblade: "Tutazitumia kuangamiza magarivita na vifaru vya Ukraine"

Urusi yakamata shehena ya drones za Marekani, American Kamikaze drones switchblade: "Tutazitumia kuangamiza magarivita na vifaru vya Ukraine"

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Majeshi ya Russia yamekamata shehena ya droni za Marekani (American Kamikaze drones switchblade) zilizopelekwa na Marekani kuisaidia Ukraine.

Russia imetoa picha za drones hizo, mzigo ukiwa mpyaa toka kwenye mabosi yake, na imesema ndugu watazamaji tutegemee kuona video motomoto hivi karibuni za namna drones hizo zitavyotumiwa na majeshi ya Russia kuangamiza vifaru na magarivita ya Ukraine pamoja na mifumo ya mizinga ya Ukraine ktk mji wa Limansky. Wanasema watatumia drones hizo hizo za Marekani kuwatwanga Ukraine kwenye mji huo.

Habari imeripotiwa na website ya Bulgarian military.

Omusolopogasi na Glenn (waMarekani wetu wa Nanjilinji) njooni hapa mteseke tena zaidi

Screenshot_20220527-124441_Chrome.jpg
Screenshot_20220527-124555_Chrome.jpg
 
Zelensky inaelekea hajui kinachoendelea! Marekani inadai kuto dola 40 bilioni na matokeo ya msaada huo na mingine iliyotangulia haijawahi kuonekana!! Inaelekea kuna kundi la wajanja huko marekani wanaiibia nchi yao wenyewe kwa kisingizio cha kupeleka silaha ukraine! Mwisho wa siku ukraine haipati kitu na pesa kubaki kwenye mikono ya wajanja.
 
Waambie wakusanye haya mauchafu wameacha kwenye nchi ya watu, limsafara lilipitia tabu sana.

View attachment 2240888


AAXMHNt.img
Watu wasichokijua ni kwamba aina ya magari ya vita na vifaru anavyotumia ukraine ni vile vile anavyotumia urusi maana wote wamerithi silaha za iliyokuwa USSR!! Kinachofanyika ni kwamba vifaru hivyo hovyo vya ukraine vikiunguzwa na urusi, jamaa wanapiga picha na kusema vifaru vya urusi vyateketezwa wakati mara nyingi ni vyao ukraine! Ingekuwa ni kweli kwa nini nchi yao inatekwa na kukaliwa?
 
Watu wasichokijua ni kwamba aina ya magari ya vita na vifaru anavyotumia ukraine ni vile vile anavyotumia urusi maana wote wamerithi silaha za iliyokuwa USSR!! Kinachofanyika ni kwamba vifaru hivyo hovyo vya ukraine vikiunguzwa na urusi, jamaa wanapiga picha na kusema vifaru vya urusi vyateketezwa wakati mara nyingi ni vyao ukraine! Ingekuwa ni kweli kwa nini nchi yao inatekwa na kukaliwa?

Endeleeni kujilisha upepo....

 
Watu wasichokijua ni kwamba aina ya magari ya vita na vifaru anavyotumia ukraine ni vile vile anavyotumia urusi maana wote wamerithi silaha za iliyokuwa USSR!! Kinachofanyika ni kwamba vifaru hivyo hovyo vya ukraine vikiunguzwa na urusi, jamaa wanapiga picha na kusema vifaru vya urusi vyateketezwa wakati mara nyingi ni vyao ukraine! Ingekuwa ni kweli kwa nini nchi yao inatekwa na kukaliwa?
Ndio Mkuu.
 
Majeshi ya Russia yamekamata shehena ya droni za Marekani (American Kamikaze drones switchblade) zilizopelekwa na Marekani kuisaidia Ukraine.

Russia imetoa picha za drones hizo, mzigo ukiwa mpyaa toka kwenye mabosi yake, na imesema ndugu watazamaji tutegemee kuona video motomoto hivi karibuni za namna drones hizo zitavyotumiwa na majeshi ya Russia kuangamiza vifaru na magarivita ya Ukraine pamoja na mifumo ya mizinga ya Ukraine ktk mji wa Limansky. Wanasema watatumia drones hizo hizo za Marekani kuwatwanga Ukraine kwenye mji huo.

Habari imeripotiwa na website ya Bulgarian military.

Omusolopogasi na Glenn (waMarekani wetu wa Nanjilinji) njooni hapa mteseke tena zaidi

View attachment 2240758View attachment 2240759
Usa watawapa Ukrine Drone Frequency Jammer so Azitofanya Kazi. Then zitakuwa Useless
 
Drones zenyewe ata mia azifiki mnaitisha press na mapicha kibao pro Russia mnachekesha alafu drones zenyewe ni zile zilizotengenezwa kwenye miaka ya 70 uko
 
Back
Top Bottom