Urusi yakamata shehena ya drones za Marekani, American Kamikaze drones switchblade: "Tutazitumia kuangamiza magarivita na vifaru vya Ukraine"

Urusi yakamata shehena ya drones za Marekani, American Kamikaze drones switchblade: "Tutazitumia kuangamiza magarivita na vifaru vya Ukraine"

hivi kwa akili yako nukta moja,unazani huo msafara ulikuwa bule tu bila plan!?, waulize kwa nn wamarekani na NATO wame surrender! Hujiulizi!? inshort hivyo vifaru ni vya enz za usoviet so waliona hayana tija tena hata Kama yakiwa chuma chakavu huko kwa zele,pale tulienda ku dump outdated tec. na mlipeleka mi drone yenu ikakaushwa Kama mishkaki na just a dot technology from Russia ambayo USA hawana na hawajawahi kuwaza ,Sasa hiyo ni just a simple technology kwa ss warusi ,mizigo kamili haijaguswa kabisaaa hata kidogo .tulisubili muingize pua tuwa onyeshe show [emoji23],bahati kwenu mmeshtuka mkaufyata mkia, la sivyo mngejua Putin ni binadamu au allien!

Sent using Jamii Forums mobile app
hlf kwa akili hz lzm tutawaliwe tena , akili fupi sana ,so Urusi kaanzisha vita ili apoteze silaha za zamani ? hana mipangi kbs ya kushinda ?
 
Napenda sana moyo wako wakutokata tamaa licha ya kichapo ila unajitutumua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
tumia akili hakuna mtu anapenda kupoteza alichokuwa nacho , Urusi ilitaman hata kuiteka Ukraine nzima ila uwezo ndo ttzo
 
Imagine hii hali ya njaa dunia inayolalamikia kwa sasa bado haijafikia zile level za njaa za kenya......kweli njaa haina baunsa ,buti la zungu kulamba ni jadi
ushawai kushinda njaa kisa vita ya Urusi na Ukraine ? mkiitwa majina ya wanyama mnaita ubaguz ila akili zenu zinaakis hayo majina , unaeza kuta hujala mkate , andaz , chapat kwa zaid ya miaka ila uhaba wa ngano na ww ubadai umekugusa , stupid brsin tpuuuu
 
MK254 wewe ni wachangiaji ngwiji sana na i always love how you debate with fact but since hii mgogoro ianze i always look your ID mara mbili nikihofia labda imehackiwa.kwako geopolitics aca. unguithagia muno(in ukraine and russian )
Ha ha ha! Siku zote bado nipo kwenye facts, niliingiwa na uwoga sana siku Mrusi anaanzisha msafara, nikajua Kiev kwisha.....nyuzi zikaanzishwa humu za kutisha, leo hii sijui hata tunaambizana nini humu, Mrusi keshaingia aibu ya kufa mtu.
 
ujerumani juz walikaa kikao wakasema wao hawatoi Tena siraha kuwapa,na nchi nyingine pia wamesema hawatatoa misaada ya siraha Tena kwenu,wameona kila wakiwapa zinakaushwa mishkaki ama kutekwa na Russia ,kinyumechake wanaijazia siraha Russia [emoji23],badala ya Ukraine [emoji23].na zele ameshakata tamaa ,na juz amekili kushinda Vita hii haiwezekani ,ameamua ku surrender anaomba Putin wakae mezani wazungumze ili kumaliza vita

Sent using Jamii Forums mobile app
unajuwa vita ni mchezo wa akili , watuts wanalalamika mpk kesho kuwa waliuliwa na wahutu na wengi mmemeza hivyo ila jiulize walishindaj vita bila kuua maadui ukizingatia maadui hawakuwa na gwanda maalumu so huenda waliua hata raia ila ndo hvyo wanalia kuwa wao ndo wakiuliwa
 
Yaani wewe m-Matumbi wa Bhuza uliyekariri tu neno "drone frequency" (hujui undani wake) umekuwa mjuaji zaidi wa hilo kuliko hata Russia ambaye ni gwiji ktk utengenezaji wa mifumo hiyo[emoji1787][emoji23][emoji23]

Mbona hii hapa chini (F-14) hawajai-jam?!

Mu-Iran kaifufua na kuiingiza ktk matumizi ya jeshi la anga la Iran...tusubiri tuone kopi kibao za F-14 zilizokuwa up-graded na Iran

View attachment 2241062
wameshindwa kutengeneza cocacola wataweza ku update mfumo weny code za mwenzio ?
 
Mimi nilipoona limsafara la kilomita 60 nikakata tamaa, nikajua Kiev kwisha, nikajua Zelensky amebakisha siku chache atoe hotuba yake ya mwisho, nikajua Ukraine imeisha......ila leo nashangaa kuna ramani imekaa kivingine, Mrusi ameachia maeneo, amefukuziwa kama mbwa, yaani nimewakubali sana Ukraine, aisei hawakukata tamaa, hawakuikimbia nchi, walipambana jino kwa jino wakalifyeka limsafara lote likabaki chuma chakavu.
Subiri M114 HIMARS ifike, ile kitu ikiwekewa Guided Munition inafika Moscow
 
MK254 wewe ni wachangiaji ngwiji sana na i always love how you debate with fact but since hii mgogoro ianze i always look your ID mara mbili nikihofia labda imehackiwa.kwako geopolitics aca. unguithagia muno(in ukraine and russian )
jion ww ulivyo kituko kwa kushabikia uvamiz kwa sababu za kipumbav eti ooh NATO ikivamia wap sijui ( ukiulizwa Putib kavamia NATO unahama hoja mara ohh Zele ni kibaraka wa West ukiombwa ushaidi huna , nyinyi teamPutin ni hamnazo kbsa )
 
Unampa Sifa Uchwara huyo Hamna Kitu ni Zero tu ndugu Shida kajaa Ushabiki Yaani Mzungu Hasa Mmarekani kwake nikama Mungu
hv kwann unashabikia uvamiz wa nchi iliyo huru ? hapo ndo utajua ww unavyofanya ushabiki
 
QUOTE="Interlacustrine R, post: 42747617, member: 660304"]
Mwenziye Britannica alipewa chembe za uso na Warusi wa Mkuranga hadi akatokomea mitini, afu ye anavimbisha mashavu hapa kama paka shume vile [emoji28]
[/QUOTE]
Amebadili Id mkuu kwa Sasa anatumia jina lingine.
 
jion ww ulivyo kituko kwa kushabikia uvamiz kwa sababu za kipumbav eti ooh NATO ikivamia wap sijui ( ukiulizwa Putib kavamia NATO unahama hoja mara ohh Zele ni kibaraka wa West ukiombwa ushaidi huna , nyinyi teamPutin ni hamnazo kbsa )
nafikiri kaka umeniquote vimbaya,am neither pro-nato or pro-moscow .thanks bro in advance i know utarekibisha
 
kwa uwezo wa Urusi km hawakupoteza vifaru , kipi kimewashinda kuingia kyiv kwa mara ya pili ? ushabiki unawafany vichaa muda mwingine
Russia hakushindwa kuingia Kiev,bali aliondoa majeshi in good faith kufuatia sharti la Ukraine ili wasaini makubaliano ya kusitisha mapigano nchini uturuki.Baada ya yeye kuondoa majeshi,ukraine akamgeuza msimamo ndio maana Russia akala kiapo kuwa aasa hakuna tena mazungumzo,ndo kichapo.Ni suala la muda tu kabla russia hajafika Kiev,na safari hii kama ukraine hatabadilika atajuta kutumika na mabeberu
 
NATO hawajasurrender,ni wajanja hamna anayeingia kwenye vita physical hawataki nchi zao kuathirika ila putin anaumia kwa vikwazo vya mda mrefu.
Ndo ku surrender huko kwenyewe!! vikwazo gani ,ambazo kawekewa Russia lakini dunia nzima tunaisoma namba !? wakiwemo na NATO!? Russia hivi vikwazo havimadhiri pakubwa ukilinganisha na mataifa mengine Kama ujerumani,Sweden, England,marekani ,na ulaya yote ,Russia alijiandaa lakini mataifa mengine hatukujiandaa na hivi vikwazo.kiufupi Russia kaishika dunia kiuchumi na technology.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnachekesha mjue, huyo Putin baada ya limsafara kuliwa kachomoa mzuka wake Kiev na kugeuza kufuata kamji ka huko mbali Marioupul, na mpaka sasa amefukuziwa kama mbwa, anaendelea kuachia maeneo....
hivi wewe jamaa DW hua unasikiliza kweli habari zao.
 
Mimi nilipoona limsafara la kilomita 60 nikakata tamaa, nikajua Kiev kwisha, nikajua Zelensky amebakisha siku chache atoe hotuba yake ya mwisho, nikajua Ukraine imeisha......ila leo nashangaa kuna ramani imekaa kivingine, Mrusi ameachia maeneo, amefukuziwa kama mbwa, yaani nimewakubali sana Ukraine, aisei hawakukata tamaa, hawakuikimbia nchi, walipambana jino kwa jino wakalifyeka limsafara lote likabaki chuma chakavu.
Mkuu agiza popcorn tukae tuangalie movie😎😎
 
Back
Top Bottom