Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
acha ushogaKwamba unataka kubong'olewa nenda kwa mashoga nato huku hizo tabia za kifedhuli hatuzisapoti kabisa laaanakhum
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha ushogaKwamba unataka kubong'olewa nenda kwa mashoga nato huku hizo tabia za kifedhuli hatuzisapoti kabisa laaanakhum
Kwani hawasainishani na kukabidhiana msaada huo?Zelensky inaelekea hajui kinachoendelea! Marekani inadai kuto dola 40 bilioni na matokeo ya msaada huo na mingine iliyotangulia haijawahi kuonekana!! Inaelekea kuna kundi la wajanja huko marekani wanaiibia nchi yao wenyewe kwa kisingizio cha kupeleka silaha ukraine! Mwisho wa siku ukraine haipati kitu na pesa kubaki kwenye mikono ya wajanja.
Wameyataka wenyewe acha waangamie pengine watashika adabu!!!We unafurahia Ukraine wanavoangamia au
Moscow ya kinondoni labda[emoji3][emoji16][emoji3]Subiri M114 HIMARS ifike, ile kitu ikiwekewa Guided Munition inafika Moscow
Hizo siyo toy baba hizo ni first generation weapons of USA [emoji631] ila tatizo mziki wa russia umekuwa mzito nsiyo maana zinaonekana ni toyComedian anaomba silaha anapewa toy
KiberaSilaha walizotoa zimefanya vya kutosha, ile tu Kiev ilimshinda Mrusi akageuza hapo ilitosha, aendelee kuhangaika huko na tumji twa akina Marioupol, alishaingia aibu ya kutosha, amehema na kuishiwa pumzi.
Pro Russia mna laana...Habar njema sana hizi[emoji28]
WaambieMnachekesha mjue, huyo Putin baada ya limsafara kuliwa kachomoa mzuka wake Kiev na kugeuza kufuata kamji ka huko mbali Marioupul, na mpaka sasa amefukuziwa kama mbwa, anaendelea kuachia maeneo....
Pro Russia mna laana...
Inakuaje unafurahi kabisa nchi ilio huru kuvamiwa na watu kuuwawa!
Tango poli toka BuzaWatu wasichokijua ni kwamba aina ya magari ya vita na vifaru anavyotumia ukraine ni vile vile anavyotumia urusi maana wote wamerithi silaha za iliyokuwa USSR!! Kinachofanyika ni kwamba vifaru hivyo hovyo vya ukraine vikiunguzwa na urusi, jamaa wanapiga picha na kusema vifaru vya urusi vyateketezwa wakati mara nyingi ni vyao ukraine! Ingekuwa ni kweli kwa nini nchi yao inatekwa na kukaliwa?
Kule tu Congo! Lakini kweli hawa jamaa ni balaa,kama wanavunja matofali kama miwa wanaweza.Russia inabidi aombe msaada kwa jw ili kazi iishe ndani ya siku mbili tu.Jw ni moto wa kuotea mbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali zuri.Watu wasichokijua ni kwamba aina ya magari ya vita na vifaru anavyotumia ukraine ni vile vile anavyotumia urusi maana wote wamerithi silaha za iliyokuwa USSR!! Kinachofanyika ni kwamba vifaru hivyo hovyo vya ukraine vikiunguzwa na urusi, jamaa wanapiga picha na kusema vifaru vya urusi vyateketezwa wakati mara nyingi ni vyao ukraine! Ingekuwa ni kweli kwa nini nchi yao inatekwa na kukaliwa?