Urusi yalialia kuhusu Uswisi kujiunga NATO, waliyataka wenyewe, NATO inawapumulia

Urusi yalialia kuhusu Uswisi kujiunga NATO, waliyataka wenyewe, NATO inawapumulia

Mpaka sasa tunaweza tukasema Russia ni mtoto wa geti kali.

Urusi imeshindwa kuparamia haka kainchi hadi imeachwa hoi

A324BBEF-12E5-409E-A0CB-7355E922EA2A_w1080_h608_s.png
 
Wewe umeshikiliwa akili na ndio tatizo lenu kubwa kwa sasa, hakuna anayetumia ubongo wake kisa mumeaminishwa adui wenu ni "Marekani", wazee wa "death to America". Eti mnadhani kushabikia udhalimu wa Urusi ndio mumeshatimiza chuki zenu.

Mrusi alichosalia nacho kwa sasa ni hayo manyuklia ambayo akithubutu kuyatumia atafutika kwenye uso wa dunia, ametumia mizinga ya kila aina na ikapanguliwa yote tena na kataifa kadogo hapo jirani yake.....muwe mnapata aibu aisei

A324BBEF-12E5-409E-A0CB-7355E922EA2A_w1080_h608_s.png

True.jpg
 
Vilianzia Crimea vitaishia Crimea.... ustadhi elewa hilo.
Putin hana jeuri tena ya kuzuia yeyote kujiunga NATO, hii sio Urusi tulioiogopa siku zote, yaani tangu waangukie pua pale Kyiv, hawana lolote tena.
Kwamba vita tayari vimemalizika au?.... mbona sasa kama unaonyesha kwamba Putin ameshashindwa vita ilhali bado pambano bado lingalipo?
 
Kwamba vita tayari vimemalizika au?.... mbona sasa kama unaonyesha kwamba Putin ameshashindwa vita ilhali bado pambano bado lingalipo?

Hehehe! Nimependa mlivyo ving'ang'anizi licha ya aibu yote hii....
 
Endelea kukariri tofauti ya D na S ili siku nyingine usipuyange!

Mpaka hasira zikupungue, pole sikukutuma uache mtume wako ukamuabudu Putin, D na S
 
Kwamba vita tayari vimemalizika au?.... mbona sasa kama unaonyesha kwamba Putin ameshashindwa vita ilhali bado pambano bado lingalipo?
Putin vita yake ilikua ni ya siku tatu. Kama siku tatu zimepita na vita bado inaendelea, basi hapo ujue jibu lake ndiyo kama unavyouliza.
 
Wajaluo bwana...!
Kwamba Ukraine ikishachukua Crimea kutoka Urusi ndiyo vita itaisha hivyo watajiunga NATO ?
Kuwa na nidhamu na heshima kwa makabila ya watu ok, hivi wewe ni Mtanzania wa wapi? ningekuwa Mama Samia ningewauza watu kama wewe kwenda utumwani DP WORLD shame upon you!!

Unachati na MK254 sio wajaluo jifunze ustarabu braza, kama unaumia Urusi Urusi huko si uende huko Urusi? Sijui shule ulisomea ujinga dah!
 
Kuwa na nidhamu na heshima kwa makabila ya watu ok, hivi wewe ni Mtanzania wa wapi? ningekuwa Mama Samia ningewauza watu kama wewe kwenda utumwani DP WORLD shame upon you!!

Unachati na MK254 sio wajaluo jifunze ustarabu braza, kama unaumia Urusi Urusi huko si uende huko Urusi? Sijui shule ulisomea ujinga dah!
Wewe pia ni mjaluo ?
Basi sishangai hata kidogo!
 
Mkuu mada zako za Urusi. Hii ni ya 102[emoji3][emoji3]. Putin ni moto.
 
Back
Top Bottom