Urusi yaomba magharibi ibembeleze Ukraine isitumie mabomu hatari

Urusi yaomba magharibi ibembeleze Ukraine isitumie mabomu hatari

Mkuu dirty bombs zinaenda kuwasulubu mamluki waliotoka russia na kukalia Donbas kwamba ni eneo la nchi yao, lakini pia wahafidhina wanaotumiliwa na Russia ambao wamesimikwa na russia kuwa viongozi wa yale majimbo 4 ambayo sasa Putin anayo kwenye makaratasi tu, Kherson na miji ya Lyman tayari mikononi mwa wenyewe Ukraine lakin battle indaendelea kumtoa mvamizi arudi kwao alikotoka ndio mana putin analia lia, kwisha habari yake, toka vita inaanza anasogeza vinu vya nuclear na kuvifuta futa mavumbi hadi leo ameshindwa anamuongopa mnyama US.

Umeelewa au unataka mashindano?

Unajua maana ya “False flag attack” ?…

Mrussi kali a au kaonya kuwa Ukrainia anataka kujipiga bomu ili kuishutumu Russia .

Someni habari muelewe kwanza, siyo kujaza maneno yenu.

Hata Ukrainia amekanusha, anasema hiyo ni mbinu ya Mrussi kuzuga ili au pige Nuke Ukrainia Halafu aseme Ukrainia kujipiga mwenyewe
 
Tafsiri yako ni tofauti na andiko, ungekuwa na hekima ungeunga mkono alichokishauri Russia. Tamko au ombi ni kwa fqida ya ulaya nzima kwa sababu Russia atalazimika kujibu kwanuzito huo huo ambao itakuwa hatari sio kwa Ukraine tu bali kwa ulaya nzima. Ikumbukwe kuwa vita inapiganwa Ukraine sio Russia hivyo bomu la hatari likipigwa, linapigwa ndani ya Ukraine. Ungeandika kwa hekima badala ya kuandika kishabiki.

Eti Russia anabembeleza na kulialia.
 
Wewe ndo chizi, urusi bado ajatumia mabom hatari, anatahadharisha tu huyo jamaa akianza ajue kwisha Habari akianza kujibu
akil zako zimeishia hapo ? Urus anataka nini humo Ukraine?
 
Urusi inadai imepata intelijensia kwamba Ukraine wanafanya maandalizi ya kutumia 'dirty bombs', aina mabomu hatari ambayo yanaweza kufanya maangamizi makubwa na maafa. Juzi hapa hawa hawa Urusi walitishia kwamba wapo radhi kutumia nyuklia kulinda maeneo ambayo walijimegea kutoka kwa Ukraine, leo wanalialia.

Hivi vita ni hatari na vinaweza vikabadilika muda wowote, ifahamike hao Ukraine walikua na silaha za nyuklia na walikubali kuziacha baada ya Urusi kuahidi kwamba haitokuja siku iwavamie, leo hii Urusi imekiuka hiyo ahadi, kwa kifupi ikumbukwe kwamba Ukraine bado wana uwezo huo wa mabomu hatari, na kama wakifikishwa ukingoni watalazimika kuyatumia....

Muda umefika Putin aache uchizi aachane na nchi ya watu arudishe wanajeshi wake nyumbani maana tunakokwenda hapafai....hata waarabu wa Bongo mnaounga mkono Urusi iko siku mtajikuta mnamchukia Putin..

==========================
Russia call on the West to influence Ukraine to abandon plans of the possible use of a ‘dirty bomb’ and nuclear blackmail, Foreign Ministry Spokeswoman Maria Zakharova told a briefing on Thursday.

“We call on the West to influence its Ukrainian proteges to abandon this highly dangerous risky undertaking. And not only this one, but all those steps, activities and actions that involve nuclear blackmail, since all this leads to irreversible consequences and possible mass deaths of innocent civilians,” she said.

Radiation has no borders, she stressed. “It does not need passports, visas or permissions. It cannot be sanctioned and prevented from crossing the border. It is much more insidious and does not ask anyone’s permission to penetrate anywhere and critically affect people’s health,” the diplomat added.

Head of the Russian Radiation, Chemical and Biological Protection Forces Lieutenant General Igor Kirillov told reporters on Monday that the Russian Defence Ministry alerted its troops to be ready to act In conditions of radioactive contamination, because it had obtained information that Kiev is preparing to detonate a dirty bomb.

Russian Foreign Minister Sergey Lavrov has also said that there’s a dirty- bomb risk. Russia has raised the issue at the UN Security Council. Russian Defence Minister Sergey Shoigu has held telephone conversations with his counterparts in the UK, US, Turkey and France to warn about the threat from Ukraine. Washington, London and Paris have said, however, that they don’t believe Russia.- TASS

MSN
Yaani urusi inaikomalia hii point ya nuclear bomb, na wanafanya hivi ili kuwatisha Ukraine ambao wameshajua mbinu za Putin za scare tactics hii ni ishara ya kushindwa vita kwa Russia
 
Kaka taarifa za intelligentsia hazinaga evidence. Lakini hata kama Ukraine walipanga least nao wanajifikiria upya, I mean Russia wamesema wazi ili kuzuia Ukrain na plan yake. Kwan UN anaenda pia kukagua
nan aliwai kutishia kutumia nyuklia?
 
Urusi inadai imepata intelijensia kwamba Ukraine wanafanya maandalizi ya kutumia 'dirty bombs', aina mabomu hatari ambayo yanaweza kufanya maangamizi makubwa na maafa. Juzi hapa hawa hawa Urusi walitishia kwamba wapo radhi kutumia nyuklia kulinda maeneo ambayo walijimegea kutoka kwa Ukraine, leo wanalialia.

Hivi vita ni hatari na vinaweza vikabadilika muda wowote, ifahamike hao Ukraine walikua na silaha za nyuklia na walikubali kuziacha baada ya Urusi kuahidi kwamba haitokuja siku iwavamie, leo hii Urusi imekiuka hiyo ahadi, kwa kifupi ikumbukwe kwamba Ukraine bado wana uwezo huo wa mabomu hatari, na kama wakifikishwa ukingoni watalazimika kuyatumia....

Muda umefika Putin aache uchizi aachane na nchi ya watu arudishe wanajeshi wake nyumbani maana tunakokwenda hapafai....hata waarabu wa Bongo mnaounga mkono Urusi iko siku mtajikuta mnamchukia Putin..

==========================
Russia call on the West to influence Ukraine to abandon plans of the possible use of a ‘dirty bomb’ and nuclear blackmail, Foreign Ministry Spokeswoman Maria Zakharova told a briefing on Thursday.

“We call on the West to influence its Ukrainian proteges to abandon this highly dangerous risky undertaking. And not only this one, but all those steps, activities and actions that involve nuclear blackmail, since all this leads to irreversible consequences and possible mass deaths of innocent civilians,” she said.

Radiation has no borders, she stressed. “It does not need passports, visas or permissions. It cannot be sanctioned and prevented from crossing the border. It is much more insidious and does not ask anyone’s permission to penetrate anywhere and critically affect people’s health,” the diplomat added.

Head of the Russian Radiation, Chemical and Biological Protection Forces Lieutenant General Igor Kirillov told reporters on Monday that the Russian Defence Ministry alerted its troops to be ready to act In conditions of radioactive contamination, because it had obtained information that Kiev is preparing to detonate a dirty bomb.

Russian Foreign Minister Sergey Lavrov has also said that there’s a dirty- bomb risk. Russia has raised the issue at the UN Security Council. Russian Defence Minister Sergey Shoigu has held telephone conversations with his counterparts in the UK, US, Turkey and France to warn about the threat from Ukraine. Washington, London and Paris have said, however, that they don’t believe Russia.- TASS

MSN
Yaani urusi inaikomalia hii point ya nuclear bomb, na wanafanya hivi ili kuwatisha Ukraine ambao wameshajua mbinu za Putin za scare tactics hii ni ishara ya kushindwa vita kwa russ
Urusi saiv hana silaha anakodi ndege ambazo hazina rubani kutoka Iran baada ya ndege zake nyingi kuangushwa zikiwa na wanajeshi wake akaja na plan B ya kutumia ndege zisizo na rubani ambapo mpaka jana Ukraine wameripoti kuziangusha zaidi ya drones 300.

Urusi alikuwa superpower kabla ya vita, aliaminisha dunia kwa maneno mdomoni tu kwamba yeye ni superpower sasa kwenye uwanja wa vita ameonekana madhaifu yake miezi 8 tu anakodi ndege za kivita toka kwa jirani ambaye naye yuko taaban nafsi yake
Alidanganya dunia ana wanajeshi almost million 1, ghafla vita vya miezi nane ameanza kulazimisha watu waende jeshin kama ulikua unnawanajeshi million 1 kwanin unalazimisha watu waende vitani hiki ni kituko kingine njia ya muongo ni fupi
 
Unazi umemjaa…!!

Hajui katika kitu Putin anatamani ni Ukraine atume kombora la nuclear Moscow. Apate sababu ya kumfutilia mbali bila lawama za dunia
Duh hv hii vita ina umuhim gan kwa Urus mpk awe tyr kuitoa sadaka Moscow ?
 
nan aliwai kutishia kutumia nyuklia?
Ukraine hajawahi kutishia matumizi ya nyuklia wao wanataka eneo la nchi Yao lirudishwe, hizi chokochoko za bomu la nyuklia ni urusi anazitoa tokea vita vimeanza mpaka leo
 
Walihamishwa ili kupunguza vifo vya watu Kwa Sababu waukraine wanashambulia mji kwa makombora.Ila mji upo Chini ya warusi milele.alafu waukraine hawapo kherson.huo ni mji wa warusi milele watu watarudi mambo yakishatulia.
akili zako bana , ulitaka washambulie kwa mishale ? mbona wenzao walivumilia uchafu wao wa kulenga bembea za watoto
 
Tafsiri yako ni tofauti na andiko, ungekuwa na hekima ungeunga mkono alichokishauri Russia. Tamko au ombi ni kwa fqida ya ulaya nzima kwa sababu Russia atalazimika kujibu kwanuzito huo huo ambao itakuwa hatari sio kwa Ukraine tu bali kwa ulaya nzima. Ikumbukwe kuwa vita inapiganwa Ukraine sio Russia hivyo bomu la hatari likipigwa, linapigwa ndani ya Ukraine. Ungeandika kwa hekima badala ya kuandika kishabiki.
we ni mpuuz ,.unamuunga mkono mtu alienza uchokoz dhidi ya jiran , ni yeye aliimega Crimea , ni yeye alifadhili uasi ndan ya ukraine , ni yeye aliamua kuivamia nchi iliyo huru kiutawala , Leo anashauri awashauri wapumbav wenzie , ANGEKUWA TIMAMU ANGEDAI REFERENDUM BADALA TA KUVAMIA NA KUUA RAIA WEMA., huku akiwashika masikio wapumbav wenzie et anaua huko Ukraine kisa Marekan pia aliua huko Syria , Iraq , Afghanstan ( hili jibu nimeliona ofisa mmoja wa Urusi alijibu alipokuwa kwenye debate na ofisa wa Marekani ) yaan ni mpuuz anaeza toa jibu km hili
 
Vlad anatengeneza kajimpango hapa ili aseme alishasema Ukraine ndio wameplan mbinu chafu.
mm ningekuwa Zele ningetuma drones 100 kweny majiji makubwa 5 ya Urusi , 20 kila jiji kubwa la Urusi , then nashusha mvua ya mabomu kuanzia mida ya saa 7 usk , ili warusi waone utamu wa vita
 
Umeelewa au unataka mashindano?

Unajua maana ya “False flag attack” ?…

Mrussi kali a au kaonya kuwa Ukrainia anataka kujipiga bomu ili kuishutumu Russia .

Someni habari muelewe kwanza, siyo kujaza maneno yenu.

Hata Ukrainia amekanusha, anasema hiyo ni mbinu ya Mrussi kuzuga ili au pige Nuke Ukrainia Halafu aseme Ukrainia kujipiga mwenyewe
nan amewai kutishia nyuklia ? Urusi imekuwa ikijilipua ili iisingizie Ukraine , nakumbuka ile kisima cha mafuta , Ukraine walikana
 
Ukraine hajawahi kutishia matumizi ya nyuklia wao wanataka eneo la nchi Yao lirudishwe, hizi chokochoko za bomu la nyuklia ni urusi anazitoa tokea vita vimeanza mpaka leo
bado hujajibu swali mkuu , kati yao wawili nan aliwai kutishia kutumia nyuklia ? alietishia ndo huyo atatumia nyuklia
 
Marekani anasema huo ni uongo wa Urusi ili ahalalishe kuipiga Ukraine ña Nyuklia !!
Urusi inadai imepata intelijensia kwamba Ukraine wanafanya maandalizi ya kutumia 'dirty bombs', aina mabomu hatari ambayo yanaweza kufanya maangamizi makubwa na maafa. Juzi hapa hawa hawa Urusi walitishia kwamba wapo radhi kutumia nyuklia kulinda maeneo ambayo walijimegea kutoka kwa Ukraine, leo wanalialia.

Hivi vita ni hatari na vinaweza vikabadilika muda wowote, ifahamike hao Ukraine walikua na silaha za nyuklia na walikubali kuziacha baada ya Urusi kuahidi kwamba haitokuja siku iwavamie, leo hii Urusi imekiuka hiyo ahadi, kwa kifupi ikumbukwe kwamba Ukraine bado wana uwezo huo wa mabomu hatari, na kama wakifikishwa ukingoni watalazimika kuyatumia....

Muda umefika Putin aache uchizi aachane na nchi ya watu arudishe wanajeshi wake nyumbani maana tunakokwenda hapafai....hata waarabu wa Bongo mnaounga mkono Urusi iko siku mtajikuta mnamchukia Putin..

==========================
Russia call on the West to influence Ukraine to abandon plans of the possible use of a ‘dirty bomb’ and nuclear blackmail, Foreign Ministry Spokeswoman Maria Zakharova told a briefing on Thursday.

“We call on the West to influence its Ukrainian proteges to abandon this highly dangerous risky undertaking. And not only this one, but all those steps, activities and actions that involve nuclear blackmail, since all this leads to irreversible consequences and possible mass deaths of innocent civilians,” she said.

Radiation has no borders, she stressed. “It does not need passports, visas or permissions. It cannot be sanctioned and prevented from crossing the border. It is much more insidious and does not ask anyone’s permission to penetrate anywhere and critically affect people’s health,” the diplomat added.

Head of the Russian Radiation, Chemical and Biological Protection Forces Lieutenant General Igor Kirillov told reporters on Monday that the Russian Defence Ministry alerted its troops to be ready to act In conditions of radioactive contamination, because it had obtained information that Kiev is preparing to detonate a dirty bomb.

Russian Foreign Minister Sergey Lavrov has also said that there’s a dirty- bomb risk. Russia has raised the issue at the UN Security Council. Russian Defence Minister Sergey Shoigu has held telephone conversations with his counterparts in the UK, US, Turkey and France to warn about the threat from Ukraine. Washington, London and Paris have said, however, that they don’t believe Russia.- TASS

MSN
 
we ni mpuuz ,.unamuunga mkono mtu alienza uchokoz dhidi ya jiran , ni yeye aliimega Crimea , ni yeye alifadhili uasi ndan ya ukraine , ni yeye aliamua kuivamia nchi iliyo huru kiutawala , Leo anashauri awashauri wapumbav wenzie , ANGEKUWA TIMAMU ANGEDAI REFERENDUM BADALA TA KUVAMIA NA KUUA RAIA WEMA., huku akiwashika masikio wapumbav wenzie et anaua huko Ukraine kisa Marekan pia aliua huko Syria , Iraq , Afghanstan ( hili jibu nimeliona ofisa mmoja wa Urusi alijibu alipokuwa kwenye debate na ofisa wa Marekani ) yaan ni mpuuz anaeza toa jibu km hili
Mtu mwenye upungufu wa akili hukimbilia kwenye matusi badala ya kujibu kwa staha.
 
Umekurupuka kujibu, haujatulia usome nilichoandika, hata hivyo Urusi aache kulialia aondoke kwenye nchi ya watu.
Hujui ulichoandika kwa sababu hukuelewa kilichoandikwa.
 
Back
Top Bottom