Urusi yaonekana kulegeza masharti yake, yasema almradi Ukraine watoe ahadi hawatajiunga NATO

Urusi yaonekana kulegeza masharti yake, yasema almradi Ukraine watoe ahadi hawatajiunga NATO

Russia ameshafahamu fika kwamba hawezi kushinda vita na kuikalia ardhi ya Ukraine kwa amani hivyo lazima atafute gia ya kuondokea Ukraine.

Na pia uchumi wake ndio unazidi kuangamia kila uchao. Nchi za magharibi zina uchumi mkubwa huwezi ukapambana nao ukashinda, ni kujidanganya tu.
Point mkuu , upewe maua YAKO mkuu. Sasa usipouza vitu vyako USA na EU utakuja kuiuzia Mali au Niger Niger, Ndio maana China anaogopa kuivamia Taiwan , maana anajua uchumi wake unategemea USA
 
Hii ni kweli kabisa, Ukraine wakubali hii option kwani ni dhahiri hii vita haina mshindi. Hata Ukraine akakubali hili sharti na baadae akaachana nalo, kwa hasara iliyopatikana, itaichukua Urusi miaka zaidi ya 10 kabla ya kuanzisha tena vita nyingine.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app

Urusi ikipewa fursa na kuachiwa ijipange upya itakua hatari zaidi ya mwanzo, watakua wamejifunza kutokana na hili kosa walilolifanya na kurekebisha, uvamizi wake hata baada ya miaka 20 utakua wa hatari, kwa sasa mataifa yote yaliyo jirani na Urusi nafuu yao ni NATO.
 
Endeleeni kujifariji humu..Ukraine vijana wanakufa..Russia hawatembei na mihemuko...West wameishaanza kuchoka...
Russia wanafukuza mwizi kimya kimya..counter- offensive imefail...hata ukiingia MSMs habari za Ukraine mvuto zimepunguza...
Ukraine alipaswa kuwa na busara kama Armenia tu...kaona isiwe tabu..Nogorkaraba inaenda kwa Azerbaijan....akili mara nyingi ina busara kuliko hisia..
Sasa Armenia alikuwa anapata support ya russia naona sasa mtoa support mwenyewe hoi kaona basi awe mpole tu.
 
Kama anarudisha maeneo Urusi aheshimiwe hitaji lake. Wale ni ndugu na majirani wasikilizane sababu raia wao wanataka amani na raha hata wanaume wavizie binti wa kirusi na vice versa.
Akikubali kuachia maeneo ikiwemo Crimea itapendeza.., lakini vinginevyo naona aendelee kuchakazwa tu!

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Russia ameshafahamu fika kwamba hawezi kushinda vita na kuikalia ardhi ya Ukraine kwa amani hivyo lazima atafute gia ya kuondokea Ukraine.

Na pia uchumi wake ndio unazidi kuangamia kila uchao. Nchi za magharibi zina uchumi mkubwa huwezi ukapambana nao ukashinda, ni kujidanganya tu.
Putin mpaka sasa ameshakiona cha mtema kuni na bado atapata tabu Sana.
 
Endeleeni kujifariji humu..Ukraine vijana wanakufa..Russia hawatembei na mihemuko...West wameishaanza kuchoka...
Russia wanafukuza mwizi kimya kimya..counter- offensive imefail...hata ukiingia MSMs habari za Ukraine mvuto zimepunguza...
Ukraine alipaswa kuwa na busara kama Armenia tu...kaona isiwe tabu..Nogorkaraba inaenda kwa Azerbaijan....akili mara nyingi ina busara kuliko hisia..
Hiyo ni vita kufa ni kitu Cha kawaida kwa askari ila inasikitisha kufa kwa ajili ya kumtetea mpuuzi mmoja anayejifanya ana nguvu ili Hali ni Mwepesi tu, kama hujawahi ona askari wa Urusi wakifa kama kuku nenda jukwa la picha Kuna Uzi wa Figaniga upitie japo kwa sekunde 10 tu
 
Hiyo ni vita kufa ni kitu Cha kawaida kwa askari ila inasikitisha kufa kwa ajili ya kumtetea mpuuzi mmoja anayejifanya ana nguvu ili Hali ni Mwepesi tu, kama hujawahi ona askari wa Urusi wakifa kama kuku nenda jukwa la picha Kuna Uzi wa Figaniga upitie japo kwa sekunde 10 tu
Wewe hujitambui huna akili kuwazidi warusi
 
Mwanzo Urusi ilipokua na mihemko ya kuivamia Ukraine ilitoa masharti mengi sana na vijisababu vya kila aina, ila mziki ulibadilishwa, msafara ukapigwa na wabeba javelin, leo hii Ukraine ndio wanafukuzia Warusi, sasa Urusi imeanza kupunguza na masharti na kubaki na moja tu, kwamba Ukraine isijiunge NATO.

Japo imehelewa kwenye hilo, hamna namna Ukraine watajiunga tu.....

A top Kremlin official on Saturday suggested Russia could agree to an end to the war in Ukraine if a key condition is met.

During a press conference at the United Nations General Assembly, Russian Foreign Minister Sergey Lavrov indicated Russia would recognize Ukraine's borders prior to Moscow's invasion if Kyiv pledges to not join a military alliance.

Since Russian President Vladimir Putin began the war on February 24, 2022, he and Kremlin officials have cited various justifications for the conflict. But one of the most frequently stated reasons is Putin's opposition to the expansion of NATO on his country's borders, and he is said to be especially against Ukraine becoming a member of the military bloc.
Sema hivi watoe ahadi ya kutokujiunga NATO na majimbo yaliyomegwa ndio basi tena warusi wayachukue tu
 
Mwanzo Urusi ilipokua na mihemko ya kuivamia Ukraine ilitoa masharti mengi sana na vijisababu vya kila aina, ila mziki ulibadilishwa, msafara ukapigwa na wabeba javelin, leo hii Ukraine ndio wanafukuzia Warusi, sasa Urusi imeanza kupunguza na masharti na kubaki na moja tu, kwamba Ukraine isijiunge NATO.

Japo imehelewa kwenye hilo, hamna namna Ukraine watajiunga tu.....

A top Kremlin official on Saturday suggested Russia could agree to an end to the war in Ukraine if a key condition is met.

During a press conference at the United Nations General Assembly, Russian Foreign Minister Sergey Lavrov indicated Russia would recognize Ukraine's borders prior to Moscow's invasion if Kyiv pledges to not join a military alliance.

Since Russian President Vladimir Putin began the war on February 24, 2022, he and Kremlin officials have cited various justifications for the conflict. But one of the most frequently stated reasons is Putin's opposition to the expansion of NATO on his country's borders, and he is said to be especially against Ukraine becoming a member of the military bloc.
Juzi makamanda wao kichopa wamekula shaba sasaiv urusi anapigana kwa hasara sana na hajui ngoma itaisha lini ndio kwanza Kyiv watapokea Advanced long range ili huko walikojificha zaidi nako warambe mchanga
 
Mwanzo Urusi ilipokua na mihemko ya kuivamia Ukraine ilitoa masharti mengi sana na vijisababu vya kila aina, ila mziki ulibadilishwa, msafara ukapigwa na wabeba javelin, leo hii Ukraine ndio wanafukuzia Warusi, sasa Urusi imeanza kupunguza na masharti na kubaki na moja tu, kwamba Ukraine isijiunge NATO.

Japo imehelewa kwenye hilo, hamna namna Ukraine watajiunga tu.....

A top Kremlin official on Saturday suggested Russia could agree to an end to the war in Ukraine if a key condition is met.

During a press conference at the United Nations General Assembly, Russian Foreign Minister Sergey Lavrov indicated Russia would recognize Ukraine's borders prior to Moscow's invasion if Kyiv pledges to not join a military alliance.

Since Russian President Vladimir Putin began the war on February 24, 2022, he and Kremlin officials have cited various justifications for the conflict. But one of the most frequently stated reasons is Putin's opposition to the expansion of NATO on his country's borders, and he is said to be especially against Ukraine becoming a member of the military bloc.


Unapoteza mda mwingi sana kwenye mambo ya kijinga.
 
Mwanzo Urusi ilipokua na mihemko ya kuivamia Ukraine ilitoa masharti mengi sana na vijisababu vya kila aina, ila mziki ulibadilishwa, msafara ukapigwa na wabeba javelin, leo hii Ukraine ndio wanafukuzia Warusi, sasa Urusi imeanza kupunguza na masharti na kubaki na moja tu, kwamba Ukraine isijiunge NATO.

Japo imehelewa kwenye hilo, hamna namna Ukraine watajiunga tu.....

A top Kremlin official on Saturday suggested Russia could agree to an end to the war in Ukraine if a key condition is met.

During a press conference at the United Nations General Assembly, Russian Foreign Minister Sergey Lavrov indicated Russia would recognize Ukraine's borders prior to Moscow's invasion if Kyiv pledges to not join a military alliance.

Since Russian President Vladimir Putin began the war on February 24, 2022, he and Kremlin officials have cited various justifications for the conflict. But one of the most frequently stated reasons is Putin's opposition to the expansion of NATO on his country's borders, and he is said to be especially against Ukraine becoming a member of the military bloc.
Wabeba javellin walotekefeza vifaru vingapi vya Urusi - tuliona kilicho kuwa kinaendelea kwenye luninga - Waukraine waliteketeza vifaru vichache vya Urusi ndio maana msafara ulikuwa unaendelea bila wasi wasi, mtu ulikuwa unaona ni kufaru kimaja kimoja kinacho lipuliwa na si vingi kivile - acheni kuwadanganya watu, by the way video clips nyingine zilizokuwa zinaonyeshwa na jeshi la Ukraine yalikuwa wanazicopy kutoka kwenye archive ya vita ya 2014/15 wakati Urusi ilipo vilipuwa vifaru vingi na magari ya deraya ya jeshi la Ukraine - lakini kwenye propaganda wanageuza kibao na kujifanya wao ndio walitekeleza mashambilizo hayo.

Jeshi la Ukraine ni walaghai sana na waongo ndio maana wanaendelea kuzuga kuhusu their 2nd impending massive counter offensive dhidi ya Urusi baada ya kwanza kishindwa vibaya sana na kizitia aibu mataifa ya magharibi specifically the USA - lakini inaelekea Biden bado yupo overly determined kuishinda Urusi kwa kupitia vita ya Ukraine hata akiitumbukiza Dunia kwenye WW3 yeye hilo hajali - He still thinks he and his family and close friends can easily survive thermonuclear exchange and live to tell the tale the morning after. Personally don't see his term in office ending without WW3, this man is very dangerous for World peace, as I said is not bothered by waging WW3 as long as his rabid hatred of Putin and everything Russians are fulfilled.
 
Endeleeni kujifariji humu..Ukraine vijana wanakufa..Russia hawatembei na mihemuko...West wameishaanza kuchoka...
Russia wanafukuza mwizi kimya kimya..counter- offensive imefail...hata ukiingia MSMs habari za Ukraine mvuto zimepunguza...
Ukraine alipaswa kuwa na busara kama Armenia tu...kaona isiwe tabu..Nogorkaraba inaenda kwa Azerbaijan....akili mara nyingi ina busara kuliko hisia..
Ukisikia USA, amemchoka hapo ndipo mwisho, lakini anasema mimi nipo na wewe tu hadi mwisho, hapo Putin lazima apate taabu sana!!! Tuwe wakweli tu RUSSIA, hii vita imemdharirisha sana, ni vile hana jinsi tu lakini, kumbe hakuna kitu.
 
Back
Top Bottom