Urusi yapeleka vifaa vya kijeshi kufanya mazoezi Carribean pembezoni mwa mipaka ya Marekani

Urusi yapeleka vifaa vya kijeshi kufanya mazoezi Carribean pembezoni mwa mipaka ya Marekani

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Marekani imekuwa ikifuatilia mwenendo wa meli za kijeshi ambazo zimeonekan zikielekea upande wao kwenye visiwa vya Carribean.

Haijajulikana kiuhakika meli hizo za kawaida za kijeshi na zile za kubebea ndege zitatia nanga eneo gani,hata hivyo inakisiwa itakuwa ni Venezuela na Cuba.Mazoezi hayo ya kijeshi yanatarajiwa kuanza wiki chache zijazo.

Katika siku za karibuni kuhusiana na vita vinavyoendelea kule Ukraine na hasa pale baadhi ya nchi za NATO kutoa ruhusa ya silaha zao kutumiwa na Ukraine kupiga popote ndani ya Urusi,nchi hiyo imesema ruhusa hiyo itajibiwa kwa namna stahiki.

Jibu jengine la Urusi kwa hatua hizo za nchi za NATO limetolewa na raisi Vladmir Putin hapo jana,pale aliposema nchi yake itawapa silaha wapinzani wa kila nchi itakayotoa silaha kwa Ukraine ili iipige Urusi.

Russian warships headed to Caribbean for drills as tensions rise over Ukraine, US officials say

 
Jana Putin kawajibu Marekani na wasirika wake.

Kwamba Ukraine haina uwezo na nyenzo za kupigwa makonbora ya masafa marefu bila support ya USA na Allies. Ukraine atakuwa anavuta TU kitufe lakini vingine lazima vifanywe na mataifa makubwa US, UK France n.k. Hii maana yake na wao wameingia vitani rasmi.

Majibu yake ni kwamba Urusi itazipa nchi maadui wa US, UK n.k ambazo zinaweza kuzipiga kupigwa makonbora kwenye maeneo strategic ya NATO.

Pili wataimarisha ulinzi wa Anga kuhakikisha yanaharibiwa makonbora hayo.

Tatu amesema wao matumizi ya nyuklia ni kulinda mipaka yake, uhuru wake na usalama wake hivyo pale usalama wa nchi utakuwa hatarini haitasita kuitumia kama ilivyoandikwa Nuclear doctrine. Na kakumbushia maboom ya nuclear yaliyopigwa japani yalikuwa ni 20kilotan na mdhara yake yalionekana. Tactical nuclear za Urusi ni 70kilotani hivyo madhara yake ni 4times ya Hiroshima na Nagasaki. Hivyo Kila step ya NATO itajibiwaipaswavyo.
 
Niliwaambiaga huyo mrusi ni nxt level mkanikalia kooni, ckuwa n helmet nikawakimbia. Aya sasa, mwanaume anaonyesha uanaume wake.
Ningependa kuwakumbusha kwamba huyo mwamba allikuwa akiilisha dunia mafuta n gesi kwa sio chini ya wastani 40% kwa miaka kibaooo. Walipogutuka n kupunguza kumtegemea, mwamba ameshatengeneza akiba isiyofikirika. Ana kila kitu, viwanda vyake vingi vimebadilisha n kugeuzwa kuwa viwanda vya silaha. Yaani, silaha alizonazo sasa ni nyingi kuliko kabla ya ile vita. Maskini Ukraine kakaza, ila anazidi kuzitia umaskini nchi za nato. Juu ya yote, ardhi yake inazidi kumegwa.
 
Niliwaambiaga huyo mrusi ni nxt level mkanikalia kooni, ckuwa n helmet nikawakimbia. Aya sasa, mwanaume anaonyesha uanaume wake.
Ningependa kuwakumbusha kwamba huyo mwamba allikuwa akiilisha dunia mafuta n gesi kwa sio chini ya wastani 40% kwa miaka kibaooo. Walipogutuka n kupunguza kumtegemea, mwamba ameshatengeneza akiba isiyofikirika. Ana kila kitu, viwanda vyake vingi vimebadilisha n kugeuzwa kuwa viwanda vya silaha. Yaani, silaha alizonazo sasa ni nyingi kuliko kabla ya ile vita. Maskini Ukraine kakaza, ila anazidi kuzitia umaskini nchi za nato. Juu ya yote, ardhi yake inazidi kumegwa.
Hatari sana
 
Jana Putin kawajibu Marekani na wasirika wake.

Kwamba Ukraine haina uwezo na nyenzo za kupigwa makonbora ya masafa marefu bila support ya USA na Allies. Ukraine atakuwa anavuta TU kitufe lakini vingine lazima vifanywe na mataifa makubwa US, UK France n.k. Hii maana yake na wao wameingia vitani rasmi.

Majibu yake ni kwamba Urusi itazipa nchi maadui wa US, UK n.k ambazo zinaweza kuzipiga kupigwa makonbora kwenye maeneo strategic ya NATO.

Pili wataimarisha ulinzi wa Anga kuhakikisha yanaharibiwa makonbora hayo.

Tatu amesema wao matumizi ya nyuklia ni kulinda mipaka yake, uhuru wake na usalama wake hivyo pale usalama wa nchi utakuwa hatarini haitasita kuitumia kama ilivyoandikwa Nuclear doctrine. Na kakumbushia maboom ya nuclear yaliyopigwa japani yalikuwa ni 20kilotan na mdhara yake yalionekana. Tactical nuclear za Urusi ni 70kilotani hivyo madhara yake ni 4times ya Hiroshima na Nagasaki. Hivyo Kila step ya
 
Niliwaambiaga huyo mrusi ni nxt level mkanikalia kooni, ckuwa n helmet nikawakimbia. Aya sasa, mwanaume anaonyesha uanaume wake.
Ningependa kuwakumbusha kwamba huyo mwamba allikuwa akiilisha dunia mafuta n gesi kwa sio chini ya wastani 40% kwa miaka kibaooo. Walipogutuka n kupunguza kumtegemea, mwamba ameshatengeneza akiba isiyofikirika. Ana kila kitu, viwanda vyake vingi vimebadilisha n kugeuzwa kuwa viwanda vya silaha. Yaani, silaha alizonazo sasa ni nyingi kuliko kabla ya ile vita. Maskini Ukraine kakaza, ila anazidi kuzitia umaskini nchi za nato. Juu ya yote, ardhi yake inazidi kumegwa.
Hitler aliiteka karibu nusu ya Ulaya ila alishindwa , Marekan kafanikiwa kuishawish Ulaya kumkabiri Putin , bado huon hili ni pigo kwa Urusi ? kama Ukraine imemsumbua je Ulaya wakiingia itakuwaj ?

Mtu mweusi huchambua mambo kimahaba sana , kama Putin angekuwa na nguvu angesema ataikabiri ulaya na Marekan directly na sio kupeleka meli tu , maana Macron ashasema atatangaza kuwa Ulaya ipo vitani na Urusi
 
Back
Top Bottom