Mahaba niue shida kwelikweli russia iishinde USA? Hii russia inayosaidiwa na iran (drones), north korea (missiles) na china kuikabili ukraine? Hii russia iliyouza alaska kwa USA, hii russia iliyomeguka from soviet baada ya akili kubwa ya USA kuimaliza USSR?Mkuu wakati mwingine ukikaa kimya unapata credit.
Ukraine inasaidiwa hii vita na nchi ngapi? Wamepeleka vifaru vyote ambavyo wanasema ndio main battle tanks vyote vimelipuliwa.
Wametuma kila aina ya drones za kisasa zilizopo NATO hakuna kitu. Hivi unajua Ukraine imepotrza eneo lenye ukubwa sawa na UK? Unajua taifa lilikua na watu 38m + na sasa wapo chini ya 25m. Hivi unafahamu the best agricultural land and industrial areas zipo chini ya Urusi?
Kila siku anaambiwa kaa chini tuongee hataki anasema atashinda vita. Unafahamu 28% ya deni la Ukraine lipo kwa makampuni 2? N.k
Pia fikiria Urusi ina vikwazo 17,000+ hakuna nchi duniani iliwahi kuwekewa vikwazo hivyo na bado nchi inauchumi imara kuliko walioweka vikwazo.
Mwisho hakuna nchi hata moja Ulaya inayoweza kupigana na Urusi aidha yenyewe au collective west haipo. Hata USA peke yake hawezi kupigana na Urusi.
Kasome nuclear doctrines za mataifa wenye nazo. Pia ukiza tacticle nuclear missiles za nchi za NATO na Urusi na madhara yatokanayo kisha ujiulize nani anaweza kupigana na URUSI
Russia kamwe hana ubavu wa kuishinda USA achilia mbali europe eunion pasipo USA kwenye vita napo hana huo ubavu.