Urusi yapeleka vifaa vya kijeshi kufanya mazoezi Carribean pembezoni mwa mipaka ya Marekani

Urusi yapeleka vifaa vya kijeshi kufanya mazoezi Carribean pembezoni mwa mipaka ya Marekani

Hitler aliiteka karibu nusu ya Ulaya ila alishindwa , Marekan kafanikiwa kuishawish Ulaya kumkabiri Putin , bado huon hili ni pigo kwa Urusi ? kama Ukraine imemsumbua je Ulaya wakiingia itakuwaj ?

Mtu mweusi huchambua mambo kimahaba sana , kama Putin angekuwa na nguvu angesema ataikabiri ulaya na Marekan directly na sio kupeleka meli tu , maana Macron ashasema atatangaza kuwa Ulaya ipo vitani na Urusi
Kwenye hii vita, mrusi anataka kuzichukua ardhi ya Ukraine, ilhali Ukraine anajitetea asipokwe ardhi yake yote. Dhamira kuu ya Russia, ni kuichapa Ukraine ili kutoa funzo kwa wengine, na kumzuia mmarekan asifungue kambi Ukraine au taifa lolote la karibu. Dhamira ya nato mbele ya Ukraine ni kumsaidia Ukraine ampige Russia. Ila Dhamira ya nato kiuhalisia, anataka kumdhoofisha Russia.

So far, Russia bado hajafanikiwa kumpoka Ukraine ardhi yake yotee, ila amefanikiwa kumpokonya eneo kubwa n bado anaendelea kulimega eneo la Ukraine. Russia amefanikiwa kumzuia Ukraine kuiruhusu marekani ajenge kambi ya kijeshi karibu n mpaka wake*ndani ya Ukraine. Pia, Russia amefanikiwa kumtoa chambo Ukraine kafara ili iwe fundisho kwa wengine.

Hii vita imekuja na madhaifu yake pia. Russia amefungiwa kufanya biashara n nchi nyingi za kichawa. Amepunguziwa shehena ya mafuta n gesi anayoiuzia dunia. Kwa upande wa nato wameshamhonga Ukraine mabilioni ya madola ili aendelee n vita, hasara. Pia wamehonga vifaa vya kivita n kujidhoofisha.

Kwa alichokifanya mrusi, ni dhahiri shahiri anayeweza. Mmarekan na nato wakimwaga mboga yeye anapiga dochi ugali. Hakuna mshenzi yeyote, ni narudia, hakuna mshenzi yeyote anayeweza kumzuia kivita duniani kwa sasa. Na kama atajitokeza yeyote (nayo), tukizingatia washirikq wa mrusi kwa sasa, China n India, basi hakuna atayepona. Ataipindua ardhi ya nato nzima juu chini, na yeye atafanyiwa vivyo hivyo. Hivi, hujiulizi kwann nato nzima imemshinwaje yule?? Ni kwasababu wanajua mrusi ni kaa la moto. Tyson aliogopwa sana kwa ngumi yake nzito. Mrusi ni mbabe wa makombola na mabomu ya nuklia. Yule hakuna wa kumzuia. Hakunaaaa
 
Mkuu wakati mwingine ukikaa kimya unapata credit.

Ukraine inasaidiwa hii vita na nchi ngapi? Wamepeleka vifaru vyote ambavyo wanasema ndio main battle tanks vyote vimelipuliwa.

Wametuma kila aina ya drones za kisasa zilizopo NATO hakuna kitu. Hivi unajua Ukraine imepotrza eneo lenye ukubwa sawa na UK? Unajua taifa lilikua na watu 38m + na sasa wapo chini ya 25m. Hivi unafahamu the best agricultural land and industrial areas zipo chini ya Urusi?

Kila siku anaambiwa kaa chini tuongee hataki anasema atashinda vita. Unafahamu 28% ya deni la Ukraine lipo kwa makampuni 2? N.k


Pia fikiria Urusi ina vikwazo 17,000+ hakuna nchi duniani iliwahi kuwekewa vikwazo hivyo na bado nchi inauchumi imara kuliko walioweka vikwazo.

Mwisho hakuna nchi hata moja Ulaya inayoweza kupigana na Urusi aidha yenyewe au collective west haipo. Hata USA peke yake hawezi kupigana na Urusi.

Kasome nuclear doctrines za mataifa wenye nazo. Pia ukiza tacticle nuclear missiles za nchi za NATO na Urusi na madhara yatokanayo kisha ujiulize nani anaweza kupigana na URUSI
ona akili za kikobazi uchumi gani russia inao kuzidi walioweka vikwazo?
 
Hitler aliiteka karibu nusu ya Ulaya ila alishindwa , Marekan kafanikiwa kuishawish Ulaya kumkabiri Putin , bado huon hili ni pigo kwa Urusi ? kama Ukraine imemsumbua je Ulaya wakiingia itakuwaj ?

Mtu mweusi huchambua mambo kimahaba sana , kama Putin angekuwa na nguvu angesema ataikabiri ulaya na Marekan directly na sio kupeleka meli tu , maana Macron ashasema atatangaza kuwa Ulaya ipo vitani na Urusi
Unabeza kupeleka meli wakati hizo ndio silaha za vita unataka awakabili vipi??? Kwa ngumi???? 😆😆
 
Niliwaambiaga huyo mrusi ni nxt level mkanikalia kooni, ckuwa n helmet nikawakimbia. Aya sasa, mwanaume anaonyesha uanaume wake.
Ningependa kuwakumbusha kwamba huyo mwamba allikuwa akiilisha dunia mafuta n gesi kwa sio chini ya wastani 40% kwa miaka kibaooo. Walipogutuka n kupunguza kumtegemea, mwamba ameshatengeneza akiba isiyofikirika. Ana kila kitu, viwanda vyake vingi vimebadilisha n kugeuzwa kuwa viwanda vya silaha. Yaani, silaha alizonazo sasa ni nyingi kuliko kabla ya ile vita. Maskini Ukraine kakaza, ila anazidi kuzitia umaskini nchi za nato. Juu ya yote, ardhi yake inazidi kumegwa.
Nasikia amekuwa wanne (4) kiuchumi Duniani. Amempita hadi Ujerumani.
 
Tabia ya uchokozi ya Marekani kwa nchi kadhaa duniani sasa kunaigharimu nchi hiyo kuporomoka nguvu zake kwa kasi ya ajabu.
Unaota mchana dogo🙄😜
 
Mijitu ina akili za kitumwa huyo us anapigwa tuh na sio lazima kua na silaha kali tuh ndio ushinde Vita
 
Back
Top Bottom