Urusi yapeleka vifaa vya kijeshi kufanya mazoezi Carribean pembezoni mwa mipaka ya Marekani

Mahaba niue shida kwelikweli russia iishinde USA? Hii russia inayosaidiwa na iran (drones), north korea (missiles) na china kuikabili ukraine? Hii russia iliyouza alaska kwa USA, hii russia iliyomeguka from soviet baada ya akili kubwa ya USA kuimaliza USSR?
Russia kamwe hana ubavu wa kuishinda USA achilia mbali europe eunion pasipo USA kwenye vita napo hana huo ubavu.
 
Wewe naye tumia akili,kama tokea miaka hiyo Ulaya nzima imeungana na USA kuunda NATO kwa ajili ya kumkabili Urusi ndio ataanzaje kusumbuliwa na Ukraine??

Na huko kusumbuliwa unavyosemea ni kupi?? Maana Urusi amechukua zaidi ya 25 ya Ardhi ya Ukraine na kujenga hiyo miji upya.
 
Walioshuhudia vita vya 1 & 2 vya Dunia waliona wanafaidi sasa sisi ndio tunaenda kufaidi kuona vita vya 3.
 
Tatizo watu wanaandika wakiweka mahaba mbele.
Putinya tokea vita ianze mara kibao linatishia russia ina nyuklia russia ina nyuklia🤣😂😆 utafikiri wenzake wana manati
Na sasa zele anamgonga nje ndani.
 
Inamaana hapo Cuba, Venezuela watashushiwa mizigo ya maana
 
Why NATO???????
 
Izo bangi anazozisema Putin. Anazo taarifa kamili kuwa G7 wote wanazo hayo manyuklia kama yeye. Kwa iyo akirusha moja anajibiwa na G7 wote atakuwa amekwisha vibaya na uzuri wa G7 uwezi kukuta wanajisifia Sofia upuuzi wa hayo manyuklia
Kwani sababu ya ulaya kugeuzwa watumwa wa America kupitia NATO ni Nini?
 
Tatizo watu wanaandika wakiweka mahaba mbele.
Putinya tokea vita ianze mara kibao linatishia russia ina nyuklia russia ina nyuklia🤣😂😆 utafikiri wenzake wana manati
Na sasa zele anamgonga nje ndani.
Kinachosemwa ni hivi unajua kabisa huyu bwana " mganga halisi wa kienyeji halafu unataka ukamloge" au "ni mchamungu sana Hadi wachawi wanakwama kwake na wewe unasema ngoja nijaribu." Hivyo elewa mwenye nyuklia hachezewi kwa namna yeyote ile.

Google kitu kinaitwa Tsar boom. Ujuwe nini kilitokea at 50kilotani halafu imagine 70kilotan itakuwaje
 
Mgunduzi wa nuclear ni USA
 
Na US inavyoogopa vita karibu na mipaka yake.
Dunia imechangamka kweli kweli! Wajinga wamebaki Afrika
 
Urusi ilikuwa ni USSR lakini hii Russia ni joka la kibisa tu hana lolote na mikwara ndio mingi, mwaka wa tatu ameshindwa kutulia Ukraine hadi amepeleka wafungwa vitani.

Yeye akili yote iko kwenye nyuklia na tayari watu wameshamjulia kwani kila moja ana nyuklia yake hivyo hakuna wa kutishiwa nyau.

Hakuna nchi itakayokubali kuchukua silaha za Mrusi na kisha eti ianze tu kuichokoza nchi yoyote ya Nato kisa wameambiwa na Russia, hiyo ndoto haipo na hiyo nchi haipo na kilichopo ni kwamba vita vya Ukraine lazima sasa vimalizike ili maisha yaendelee na dikteta Putin na genge lake wapelekwe mahakamani The Hague.
 
Urusi ni kelele nyingi tu, Nagasaki ilikuwa ni kupiga bila majibu, nchi za NATO zina majibu mazuri mpaka hizo nuclear anazozitaja kila vita ikiwa ngumu.
 
Hizo ni biti tu, Urusi ameshazungukwa na NATO pande zote hana ujanja. Tena USA ampe Ukraine nuclear kabisa ila vita iishe mapema.
 
Hivi unafikir vita vya Urusi na Nato vinaweza kuchukua hata masaa 24 havijaisha? Hakuna cha ndege yoyote au askari atakayeenda front ni mwendo Wa ICBM na Nyuklia zinapishana hewani, ni vita vitakavyochua muda mfupi sana katika historia ya dunia, ache ni ushabiki maandazi dunia imesimamia kuchaa hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…