Hitler aliiteka karibu nusu ya Ulaya ila alishindwa , Marekan kafanikiwa kuishawish Ulaya kumkabiri Putin , bado huon hili ni pigo kwa Urusi ? kama Ukraine imemsumbua je Ulaya wakiingia itakuwaj ?
Mtu mweusi huchambua mambo kimahaba sana , kama Putin angekuwa na nguvu angesema ataikabiri ulaya na Marekan directly na sio kupeleka meli tu , maana Macron ashasema atatangaza kuwa Ulaya ipo vitani na Urusi
Kwenye hii vita, mrusi anataka kuzichukua ardhi ya Ukraine, ilhali Ukraine anajitetea asipokwe ardhi yake yote. Dhamira kuu ya Russia, ni kuichapa Ukraine ili kutoa funzo kwa wengine, na kumzuia mmarekan asifungue kambi Ukraine au taifa lolote la karibu. Dhamira ya nato mbele ya Ukraine ni kumsaidia Ukraine ampige Russia. Ila Dhamira ya nato kiuhalisia, anataka kumdhoofisha Russia.
So far, Russia bado hajafanikiwa kumpoka Ukraine ardhi yake yotee, ila amefanikiwa kumpokonya eneo kubwa n bado anaendelea kulimega eneo la Ukraine. Russia amefanikiwa kumzuia Ukraine kuiruhusu marekani ajenge kambi ya kijeshi karibu n mpaka wake*ndani ya Ukraine. Pia, Russia amefanikiwa kumtoa chambo Ukraine kafara ili iwe fundisho kwa wengine.
Hii vita imekuja na madhaifu yake pia. Russia amefungiwa kufanya biashara n nchi nyingi za kichawa. Amepunguziwa shehena ya mafuta n gesi anayoiuzia dunia. Kwa upande wa nato wameshamhonga Ukraine mabilioni ya madola ili aendelee n vita, hasara. Pia wamehonga vifaa vya kivita n kujidhoofisha.
Kwa alichokifanya mrusi, ni dhahiri shahiri anayeweza. Mmarekan na nato wakimwaga mboga yeye anapiga dochi ugali. Hakuna mshenzi yeyote, ni narudia, hakuna mshenzi yeyote anayeweza kumzuia kivita duniani kwa sasa. Na kama atajitokeza yeyote (nayo), tukizingatia washirikq wa mrusi kwa sasa, China n India, basi hakuna atayepona. Ataipindua ardhi ya nato nzima juu chini, na yeye atafanyiwa vivyo hivyo. Hivi, hujiulizi kwann nato nzima imemshinwaje yule?? Ni kwasababu wanajua mrusi ni kaa la moto. Tyson aliogopwa sana kwa ngumi yake nzito. Mrusi ni mbabe wa makombola na mabomu ya nuklia. Yule hakuna wa kumzuia. Hakunaaaa