Huna lolote ulijualo, polee kwa kukurupuka ku-comment pasi kusoma na kuelewa.Aliyeongea ni Ex president wa Urusi ambaye ni shoga na asiye na madaraka yoyote urusi
Kusema eti Urusi imesema sio kweli mleta mada badili heading
Mwanaume kaongea hapo na ndo ilivyo alafu ushoga ni tabia zenu Team NATO siyo urusi.hapo ni mwanaume rijali kaongea hao hawawezi kuongea from nowhere.Aliyeongea ni Ex president wa Urusi ambaye ni shoga na asiye na madaraka yoyote urusi
Kusema eti Urusi imesema sio kweli mleta mada badili heading
Tulia dawa iwaingie [emoji16]Urusi anahangaika kama kuku anayetaka kutaga.
[emoji16][emoji16][emoji16]Safi Sana good boy Russia japokuwa nalipenda taifa la marekani ila acha likomeshwe kdg September 2001 NI kitambo toka wafinywe
Sasa mumechanganyikiwa mnasikiliza hadi maraisi wastaafu wa Urusi wasio na role yoyote kwenye siasaMwanaume kaongea hapo na ndo ilivyo alafu ushoga ni tabia zenu Team NATO siyo urusi.hapo ni mwanaume rijali kaongea hao hawawezi kuongea from nowhere.
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Wakisha hukumiwa mabeberu wote wa America waliotenda war Crime,tutaangalia na Mwamba anayewatwisha beberu vitu vizito kama nae ameingia kwenye mtego wa war Crimeππππππππ½ββοΈπππ½ββοΈππππΏββοΈUrusi imeonya kuwa jaribio lolote la kutaka kuitumia mahakama ya ICC kuiadhibu Urusi dhidi ya jinai za vitani litakuwa ndio kufutwa kwenye uso wa dunia kwa hizo nchi zitazohusika.
Imesema Marekani imeua mamilioni ya watu kibao kwenye nchi nyingi na haijawajibishwa kwa lolote, hivyo Marekani isitegemee kuwa itaweza kujificha nyuma ya mahakama ya ICC kuiadhibu Urusi...hilo kamwe halitafanikiwa na wataziangamiza kwa nyuklia nchi zitazoingia mkenge.
Hatua hiyo imefuatana na mazoezi ya kivita ya silaha za nyuklia ambapo Urusi imetumia kombora la Yars linaloweza kuitwanga Uingereza na kokote Ulaya.
======
,View attachment 2282819 View attachment 2282820View attachment 2282821View attachment 2282822
Unajua aliyeongea ni Nani?ni Medvedev ambaye ni mwenyekiti wa Russia security council ambaye ambaye kama sikosei ni waziri mkuu wa Russia.acha kujiaibisha.Sasa mumechanganyikiwa mnasikiliza hadi maraisi wastaafu wa Urusi wasio na role yoyote kwenye siasa
Putin sasa hivi kafyata domo haongei baada ya kuona vita haiishi
Huyu ndie mwenye kuhangaika [emoji16]Urusi anahangaika kama kuku anayetaka kutaga.
Hajui kitu huyo ameshazoea siasa za hapo lumumba na kulipwa buku 7Unajua aliyeongea ni Nani?ni Medvedev ambaye ni mwenyekiti wa Russia security council ambaye ambaye kama sikosei ni waziri mkuu wa Russia.acha kujiaibisha.
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Shoga ambaye ni Deputy chairman of security πππ? Kweli kichwa chako ni kabati la meno!!!Aliyeongea ni Ex president wa Urusi ambaye ni shoga na asiye na madaraka yoyote urusi
Kusema eti Urusi imesema sio kweli mleta mada badili heading
Rusheni kakombora muone, unajua mchezo wa nyuklia huwa mtamu kimbelembele anaporusha kabom kake kamoja. Kisha unamfungulia turbo yani unarusha mizinga 5OO marekani nzima iwe chapati.Sasa mumechanganyikiwa mnasikiliza hadi maraisi wastaafu wa Urusi wasio na role yoyote kwenye siasa
Putin sasa hivi kafyata domo haongei baada ya kuona vita haiishi
Hizo nyukilia nani hana?Rusheni kakombora muone, unajua mchezo wa nyuklia huwa mtamu kimbelembele anaporusha kabom kake kamoja. Kisha unamfungulia turbo yani unarusha mizinga 5OO marekani nzima iwe chapati
Rusheni basi si anawakera sana urusi. Rusheni muanzishe gem la nyuklia kisha mtaona moto wake. Uzuri alieanza ndo atabeba tag ya criminal of war.Hizo nyukilia nani hana?
Mbona mnaimba wimbo wa kitoto utafikiri Urusi tu ndio anazo
Aanze yeye aone mziki wakeRusheni basi si anawakera sana urusi. Rusheni muanzishe gem la nyuklia kisha mtaona moto wake
Mtu mkipigana nayeRusheni basi si anawakera sana urusi. Rusheni muanzishe gem la nyuklia kisha mtaona moto wake. Uzuri alieanza ndo atabeba tag ya criminal of war.