Urusi yasema haitokubali kuadhibiwa kwa jinai za vitani wakati US anazo kibao, yaahidi vita ya nyuklia kwa nchi zitazojaribu kuiadhibu Urusi

Urusi yasema haitokubali kuadhibiwa kwa jinai za vitani wakati US anazo kibao, yaahidi vita ya nyuklia kwa nchi zitazojaribu kuiadhibu Urusi

Aliyeongea ni Ex president wa Urusi ambaye ni shoga na asiye na madaraka yoyote urusi

Kusema eti Urusi imesema sio kweli mleta mada badili heading
 
Aliyeongea ni Ex president wa Urusi ambaye ni shoga na asiye na madaraka yoyote urusi

Kusema eti Urusi imesema sio kweli mleta mada badili heading
Mwanaume kaongea hapo na ndo ilivyo alafu ushoga ni tabia zenu Team NATO siyo urusi.hapo ni mwanaume rijali kaongea hao hawawezi kuongea from nowhere.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Mwanaume kaongea hapo na ndo ilivyo alafu ushoga ni tabia zenu Team NATO siyo urusi.hapo ni mwanaume rijali kaongea hao hawawezi kuongea from nowhere.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Sasa mumechanganyikiwa mnasikiliza hadi maraisi wastaafu wa Urusi wasio na role yoyote kwenye siasa

Putin sasa hivi kafyata domo haongei baada ya kuona vita haiishi
 
W
Urusi imeonya kuwa jaribio lolote la kutaka kuitumia mahakama ya ICC kuiadhibu Urusi dhidi ya jinai za vitani litakuwa ndio kufutwa kwenye uso wa dunia kwa hizo nchi zitazohusika.

Imesema Marekani imeua mamilioni ya watu kibao kwenye nchi nyingi na haijawajibishwa kwa lolote, hivyo Marekani isitegemee kuwa itaweza kujificha nyuma ya mahakama ya ICC kuiadhibu Urusi...hilo kamwe halitafanikiwa na wataziangamiza kwa nyuklia nchi zitazoingia mkenge.

Hatua hiyo imefuatana na mazoezi ya kivita ya silaha za nyuklia ambapo Urusi imetumia kombora la Yars linaloweza kuitwanga Uingereza na kokote Ulaya.
======
,View attachment 2282819 View attachment 2282820View attachment 2282821View attachment 2282822
Wakisha hukumiwa mabeberu wote wa America waliotenda war Crime,tutaangalia na Mwamba anayewatwisha beberu vitu vizito kama nae ameingia kwenye mtego wa war Crime🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏽‍♀️🏃🏃🏽‍♀️🏃🏃🏃🏿‍♂️
 
Tumemla kichwa Boris Johnson, Waziri Mkuu wa hovyo zaidi kuwahi tokea Uingereza

SmartSelect_20220707-115701_Chrome.jpg
 
Sasa mumechanganyikiwa mnasikiliza hadi maraisi wastaafu wa Urusi wasio na role yoyote kwenye siasa

Putin sasa hivi kafyata domo haongei baada ya kuona vita haiishi
Unajua aliyeongea ni Nani?ni Medvedev ambaye ni mwenyekiti wa Russia security council ambaye ambaye kama sikosei ni waziri mkuu wa Russia.acha kujiaibisha.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Sasa mumechanganyikiwa mnasikiliza hadi maraisi wastaafu wa Urusi wasio na role yoyote kwenye siasa

Putin sasa hivi kafyata domo haongei baada ya kuona vita haiishi
Rusheni kakombora muone, unajua mchezo wa nyuklia huwa mtamu kimbelembele anaporusha kabom kake kamoja. Kisha unamfungulia turbo yani unarusha mizinga 5OO marekani nzima iwe chapati.

Russia akimfumua US wataingizwa kwenye criminals of war list na kufilisiwa na madeni.Hii huwa anatakiwa mmoja aanze kisha mwanaume amalize kazi.
 
Rusheni kakombora muone, unajua mchezo wa nyuklia huwa mtamu kimbelembele anaporusha kabom kake kamoja. Kisha unamfungulia turbo yani unarusha mizinga 5OO marekani nzima iwe chapati
Hizo nyukilia nani hana?

Mbona mnaimba wimbo wa kitoto utafikiri Urusi tu ndio anazo hizi nyukilia
 
Rusheni basi si anawakera sana urusi. Rusheni muanzishe gem la nyuklia kisha mtaona moto wake
Aanze yeye aone mziki wake
Si anabweka kama mbwa kuwa atatumia nyukilia ambayo hata Rwanda tu.hapo wameanza ku develop
Anamtishia nyau nani?
 
Rusheni basi si anawakera sana urusi. Rusheni muanzishe gem la nyuklia kisha mtaona moto wake. Uzuri alieanza ndo atabeba tag ya criminal of war.
Mtu mkipigana naye
Mpiganaji kweli wala hakutishii ohh nitakupiga ngumi anapiga tu

Russia Bwege tu ana mkwara Mbuzi
 
Back
Top Bottom