Urusi yashambulia kwa aina tofauti ya mizinga kwa mkupuo, yote yapigwa chini

Urusi yashambulia kwa aina tofauti ya mizinga kwa mkupuo, yote yapigwa chini

Weka evidence Kwa Sababu wenyewe waliotupa hayo makombora wamesema wamefikia malengo yao.na huoni maafisa wa NATO wanavyouawa kwenye mahandaki Yao?wanauawa Kwa nini?

Wamefikia malengo wakati Bakhmut imeshindikana kuifumua, kwanza wanakimbiana wenyenwe hehehe
 
Jameni Afrika lini tutakua na mifumo kama patriot air defence, yaani Urusi imeshambulia Kyiv kwa aina tofauti ya mizinga zikiwemo drones, lakini zote zimepigwa chini....ama kwa kweli haya mambo bana...dah! Sayansi aisei
Mi ninayo nyumbani kwangu. Nina brands za Tanga, Sumbuwanga, Kigoma, Mtwara na Gamboshi: hata uje na scud haipiti🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom