Weka evidence Kwa Sababu wenyewe waliotupa hayo makombora wamesema wamefikia malengo yao.na huoni maafisa wa NATO wanavyouawa kwenye mahandaki Yao?wanauawa Kwa nini?
Sijui war fight huwa mnaifikiriaje ? Sijui mnaamini kuna silaha dunian itashambulia tu bila kushambuliwa kama mnavyodanganywaKwa hiyo ile patriotic ilijidungua yenyewe pale Kiev, si uwega na aibu hata kdgo
Swali bila alama ya kuuliza ?hv mmesomea shule gan?Ulivyo Zuzu unacho kijibu Na Ulicho ulizwa Haviendani!!
Yaani wejamaa nimpuuzi kweli kweli
Unawaza ushoga mkuu , ndo tabia zako ?Lile dude mfano wa tango, likimwingilia mtu Sehemu ya haja kubwa, hawezi kubaki na haibu wala hekima,,
kwahiyo Usimlaumu; tatizo ni hilo.(ugasho)
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Mbona unawaza kufanywa na huwez kufanya? Ndo tabia zako kufanywa ?
Mi ninayo nyumbani kwangu. Nina brands za Tanga, Sumbuwanga, Kigoma, Mtwara na Gamboshi: hata uje na scud haipiti🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jameni Afrika lini tutakua na mifumo kama patriot air defence, yaani Urusi imeshambulia Kyiv kwa aina tofauti ya mizinga zikiwemo drones, lakini zote zimepigwa chini....ama kwa kweli haya mambo bana...dah! Sayansi aisei