Wewe ndio mzushi hujui historia why blacks are in US, na sio China, India wala Russia.Acha uzushi hv kunanchi gan nje yabara la afrika ambako mweusi anaheshimika kama US japo mapungufu yapo, wamefikia had kutoa rais mweny asil yaweusi, wapo mastaa kibao kwenye nyanja mbalmbal niblacks hii huwez kuikuta popote huko urussi, china, india au uarabun
Ha ha ha [emoji23].ndio maana namkubali Putin ,Huyu Putin tukimuendekeza atakuja kutupiga mkwara na sie huku
Swali mkuu:Kwani blacks walifikaje USA?Acha uzushi hv kunanchi gan nje yabara la afrika ambako mweusi anaheshimika kama US japo mapungufu yapo, wamefikia had kutoa rais mweny asil yaweusi, wapo mastaa kibao kwenye nyanja mbalmbal niblacks hii huwez kuikuta popote huko urussi, china, india au uarabun
Biashara yautumwaSwali mkuu:Kwani blacks walifikaje USA?
Ameivamia na hamna kitu cha kufanyaRussia si alisema hataivamia Ukraine,
Mbona unachagua vya kukumbuka ?
China na Urusi ziliwahi kufanya biashara hio?Biashara yautumwa
Zile silaha kutoka Nchi za NATO ni ma toy ?Ameivamia na hamna kitu cha kufanya
Hazikufanya kwa sababu na zenyewe zilikuwa maskini wa kutupwa. Kama China ilikuwa colonized na Japan.China na Urusi ziliwahi kufanya biashara hio?
Swali ni rahisi tu:China na Russia walishawahi kufanya biashara ya utumwa?Hazikufanya kwa sababu na zenyewe zilikuwa maskini wa kutupwa. Kama China ilikuwa colonized na Japan.
Kwan marekan amefanya biashara hio! Hao walikua waingereza kipind hiko wameitawala USA, nahao chini enz hizo walikua wametawaliwa na japan hawakua napesa walikua masikin kama russiaChina na Urusi ziliwahi kufanya biashara hio?
Hii brainwashing process huwa mnafanyiwa wapi ?Black American walio uawa USA wameuliwa na Russian? Critical cases ngapi za kibaguzi zimetokea USA na serikali zao zimekaa kimya?
Kama hujui sasa ndio nakufungua US kuna ubaguzi kuliko nchi yoyote duniani, kuna majimbo mengine ukipita kupigwa shaba ni halali.
Huyo wanaua, mark my wordMJUE KAMANDA MPYA WA OPERATIONS UKRAINE.
Ni mwanajeshi mwenye uzoefu
Baada ya mambo kuwa magumu huko Ukraine, Rais Putin amemteua ndugu Dvornikov kuwa kqmqnda wa opérations.
Dvornikov alijiunga na jeshi la Usovieti katika mwaka 1978 baada ya kuhitimu kutoka shule ya kijeshi iliyoko mashariki mwa Urusi.
Alianza kazi yake kwa kupanda cheo haraka baada ya kupata cheo kama platuni kamanda katika mwaka1982.
Alipata diploma ya masuala ya kijeshi katika chuo cha jeshi cha Frunze katika mwaka 1991, katikati ya kuvunjika kwa Muungano wa Usovieti.
Katika miaka ya 2000, Dvornikov alipigana katika vita ya pili nchini Chechnya na kushikilia vyeo vya juu kadhaa kabla yar ais wa Urusi Vladimir Putin kumteua kuwa mkuu wa majeshi ya Urusi nchini Syria katika mwaka 2015.
Dvornikov alihudumu kama kamanda wa kwanza wa jeshi la Urusi katika operesheni za nchi ya kiarabu, baada ya putin kutuma vikosi huko mwezi septemba 2015 , kuiunga mkono serikali ya rais wa Syria Bashar al - Assad.
Urusi ilimpatia Al-Assad, ambaye alikuwa anahofia kupinduliwa, msaada wa ndege za kijeshi na kumsaidia kumaliza vita lakini kwa kwa garama kubwa.
Chini ya amri ya Dvornikov, vikosi vya Urusi nchini Syria viliripotiwa kukabiliana na wenyeji na na kuangamiza miji kwa kupiga makombora, kutumia silaha zilizopigwa marufuku kimataifa yakiwemo mabomu.
Alipochukua uongozi, Dvornikov alianzisha haraka sana ngome ya majeshi ya anga karibu na mwambao wa Kusini mashariki mwa Syria na kutoka kule aliangamiza miji na jiji katika jimbo la Idlib.
Dogo bora ukojoe ukalale, pale juu umesema Marekani inaongoza kwa ubaguzi, hujatawadha vizuri , unasema wayahudi wanaongoza kwa ubaguzi. Nakushauri ukojoe ukalale kuliko kuleta uharo hapa.so who raised mada ya kibaguzi?
Sasa mim naweza nikakwambia hakuna watu wabaguzi Duniani kama Wayahudi.
Kwa muda wako utaniuliza kwanin nimewa appoint Wayahudi
AiseeeeKwan marekan amefanya biashara hio! Hao walikua waingereza kipind hiko wameitawala USA, nahao chini enz hizo walikua wametawaliwa na japan hawakua napesa walikua masikin kama russia
Tanzania inatengeneza silaha za nyuklia ?Swali ni rahisi tu:China na Russia walishawahi kufanya biashara ya utumwa?
Haaa watz buana.Na masikini ni mtu anayeshindwa kubadili rasilimali alizonazo kuwa pesa, Urusi pamoja na rasilimali zote alizonazo lakini anazidiwa uchumi na South Korea.
Tumia akili acha kuwa mpuuz , kwa kilichomkuta Ukraine lzm majirana wengine wa Urusi watume maombi kujiunga na NATONa Marekani nchi ambayo haipo ulaya ndio inachagiza hizo nchi zijiunge.halafu baadae ziingie vitani na Urusi Kisha zibaki magofu Huku Marekani ikifurahi kwamba Sasa Urusi itadhoofika.
Aisee sikujua kumbe wazungu ni wajinga pia.
Hapa sioni nchi hata moja ya ulaya ikizichagiza nchi hizi.
Ajifunz kuish vzr na majiran zake , hili ttzo hata china analo , kila kitu ubabePutin anataka ku restore legacy ya Soviet..
Kwamba dunia haiwezi kusonga mbele kwa pande moja tu ya watu wa Magharibi ..kufanya hivyo kutakosa balance na ndiyo maana Putin anasimama kuzuia hilo...
[emoji23][emoji23][emoji23] watajipigia sioNa Mrusi nimeshamuona hatafanya kitu atabaki analia lia tu wameshamuona ni dhaifu sana...Pale Ukraine alitakiwa aonyeshe nguvu yake kwa kupiga na kusambaratisha kila kitu ndani ya week 2 halafu aseme nani anabisha sasa aje!!!!...Sasa kalegea kama mlenda anarudi nyuma hovyo kabisa....yaani Putin umetutia aibu sana kabisa....
NILIVYOKUA Namkubali Putin na kile amefanya Ukraine ni udhaifu mkubwa sana....Hata NATO wamemsoma ipo siku watajipigia....