Urusi yazipa onyo Finland na Sweden mpango wao wa kujiunga na NATO

kiduku ameandaliwa kupiga washngtn... ndio maana marekani amekuwa mpole... huku hajui china atapiga wapi.... hahahahahahahah
United states yaan zipo states 54 , aya anza kutupangia mlivyopeana majukumu
 
Vita ya tatu ya dunia inafuata na sio vita tu bali ni vita ya nuclear.
Putin sio mtu pekee mwenye nuclear weapons lakini ndio mtu pekee mwenye will na uwezo wa kuzitumia na ndio sababu amewapa onyo.
psychologically mtu anapotoa onyo basi anamaanisha tayari anajua nini cha kufanya kinachompa ubavu wa kutoa onyo lakini hapo hapo hataki kufanya hicho kitu.

Kama Putin atabanwa kila sehemu na wao kukataa hilo onyo means option pekee iliyobaki ni kudrop nuke somewhere ili kurestore order na hicho ndicho kinachoenda kutokea.
 
Na masikini ni mtu anayeshindwa kubadili rasilimali alizonazo kuwa pesa, Urusi pamoja na rasilimali zote alizonazo lakini anazidiwa uchumi na South Korea.
Ajabu hii,una maanisha uchumi wa south Korea ni mkubwa kuliko wa urusi YOTE na ukubwa wake na teknolojia zake?
 
Nani anakaa upande wa masikini, watu wanataka kuwa karibu na matajiri, na Russia kama anataka watu wawe upande wake basi atajirike kwanza, aige mfano wa US na China.
Safi kabisa.
 
Na statics inaonyesha kuwa vifo vingi vya black americans vinasababishwa na black wenzao. Na ndio kundi linaloongoza kwa mauaji likifatiwa na latin
 
proπŸ‡·πŸ‡ΊπŸ‡·πŸ‡ΊπŸ‡·πŸ‡Ί wepesi kupaniki sana , jamaa kakuuliza πŸ‡·πŸ‡ΊπŸ‡·πŸ‡Ί ambaye ana kila kitu nchini kwake. Analisha 🌍 nzima . inakuaje uchumi wake azidiwe na south AfricaπŸ‡ΏπŸ‡¦πŸ‡ΏπŸ‡¦? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Na statics inaonyesha kuwa vifo vingi vya black americans vinasababishwa na black wenzao. Na ndio kundi linaloongoza kwa mauaji likifatiwa na latin
πŸ™πŸ™πŸ™mkuu . kwa kweli humu jukwaani tunamtihani na hawa jamaa . si jui nani anawalisha sumu kuhusu πŸ‡ΊπŸ‡ΈπŸ‡ΊπŸ‡ΈπŸ‡ΊπŸ‡Έ yaani wanachuki ya kiwango cha juu .πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Dogo bora ukojoe ukalale, pale juu umesema Marekani inaongoza kwa ubaguzi, hujatawadha vizuri , unasema wayahudi wanaongoza kwa ubaguzi. Nakushauri ukojoe ukalale kuliko kuleta uharo hapa.
Wewe ndio unaleta uharo. Tafuta data uone, California ndio jimbo lenye Wayahudi wengi kwa Marekani na ndilo jimbo lenye kiasi kikubwa cha ubaguzi katika US nalo utabisha?
Then find out mim na wew nani anaharisha.
 
Yaani watu wanaamini Urusi inaweza ikapigana vita pande zote na kila mtu.
Hata mimi naamini hivyo. Hasa baada yakuona Marekani na wenzake wanaounda NATO wanaona wakiwa 30 hawamuwezi Russia, wanahangaika kutafuta nchi zingine Jirani na Urusi ili kuongeza nguvu.
Russia sio Somalia

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Ww jamaa ndio maana nakuita shoga maana una tabia za kukurupuka kama shoga.
Hapo kuna sehemu huyo mpuuzi mwenzako kaandika S.Afrika?

Ngoja nikuelimishe GDP ya S.Afrika ni billion 370$ wakati GDP ya Urusi ni zaidi trion1.7$ sasa hapo kamzidi wapi?

Yaani uchumi wa S.afrika ni sawa na asilimia 60 tu ya uchumi wa jiji la Moscow. kabla hujaongea jambo huwe unajielimisha kwanza sio kulopoka hovyo.
 
Dogo bora ukojoe ukalale, pale juu umesema Marekani inaongoza kwa ubaguzi, hujatawadha vizuri , unasema wayahudi wanaongoza kwa ubaguzi. Nakushauri ukojoe ukalale kuliko kuleta uharo hapa.
Sasa unachotaka kusema ni nin? Marekani hakuna wayahudi au?
Tafuta data uone, US kuna wayahudi zaidi ya milioni 10, na jimbo lenye wayahudi wengi US ni California.

Jimbo la California ndio lenye cases nyingi za kibaguzi kuliko majimbo mengine US.

Njoo na fact zako tuone kati ya mimi na wewe nani anayeleta uharo!
 
Russia au China mtu mweusi hawezi kuruhusiwa hata kufanya kazi ya usafi kwenye choo cha stendi iwe ni Moscow au Beijing kwa sababu wanafahamu huyo sio binadamu ila ni linyani fulani tu vile. Hao siyo watu ila ni wanafiki wakubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…