Uchaguzi 2020 US Ambassador to Tanzania: I am concerned, if election officials do not take necessary steps, country's democracy will lose credibility

Kama hatuwezi jisimamia kwann dunia isitusimamie, mbona 2015 ulipigwa uchaguzi wa utulivu Sana kabla ya jiwe kulewa na kuwafundisha tume uhuni wa kupita bila kupingwa
 
Wanajitahidi! ila yule nyangau mpenda ushoga hatumchagui ng'oooo!
 
Habari hii ni mwiba mchungu kwa mkoloni mweusi, chakupimbi, bashiri, chama fulani wakiwamo mataga na buku 7 wote.

Hivi kwa nini madhalimu nyie neno haki hatakulitamka tu hamuwezi?
Baada ya uchaguzi huu,tegemea sheria nyingi kandamiz kwa wananchi kufutwa kupitia shinikizo la jumuiya ya kimataifa ikiwemo ubadilishwaji wa tume ya uchaguzi.Bila Support ya Marekani Tanzania haiwezi survive
 
Kabisa maana amna hata moja analoweza thibitisha halafu anajidai yeye yupo neutral.

Mahaba yao na vibaraka wao mwisho 28102020

Na wanatapatapa sababu wanajua wakitukosa mwaka huu hawatupati milele

Rais wetu anawavuruga sana kwa uzalendo alionao, utendaji na misimamo yake

John Pombe Magufuli shikilia hapohapo🔥🔥🔥🔥
 
Hii habari si nzuri sana kwa sisi tuliozoea kuteka mawakala na kukimbia na mabox.
Mmechelewesha kupeleka mawakala makusudi NEC imewaongezea siku za kuapisha.

Safari hii lazima unafiki wa CDM uwekwe wazi mabeberu yote yanaona aibu jinsi serikali ilivyoweka mchakato wazi na sawa; kabakia Amsterdam na huyu mwingine nae anaanza kujipendekeza.
 
Yaani mataifa yote ya mabeberu yamenywea jinsi mchakato ulivyokuwa wa haki; kabaki Amsterdam peke yake anaropoka huko twitter.

Huyu mzungu mpya naona keshaanza kuwa bored hana cha kufanya bora wamuandalie ziara ya Serengeti kuliko kupayuka mambo ambayo awezi thibitisha.
 
Nadhani misaada ikikatwa waathirika wakuu ni wananchi wa kawaida, mfano ikikatwa misaada ya afya (Dawa na matibau ya ukimwi na kifua kikuu), fusra za ufadhili vyuo vikuu watakaoumia ni wananchi wa kawaida, lakini viongozi walio madarakani na jamaa zao hawataathirika, kwani kidogo kitakachobaki kinabaki kwao na mlalahoi ataendeleea kutaabika.
 
Mama mtu katokea sasa kaona kifaranga hakitoboi. Na bado. 28 tunarudi chama kimoja
 

Walishaweka mikakati ya kutupora sasa wanashangaa kila mtego mzee baba John Pombe Magufuli kaunasua. Kwa misimimamo yake hadi CORONA imepita kushoto ikaenda Kenya na Uganda

Watanzania hatuchagui vibaraka wa amerika wala nchi yoyote ya ulaya. Tunasema 5tena kwa John Pombe Magufuli
 
Daah ama kweli US wameamua namba ninukuu kwa kiswahili chetu pengelee cha mwisho anasema " nahuwiwa kuwa iwapo maofisa wa uchaguzi hawatachukua hatua hizi, demokrasia ya Tanzania itapoteza uhalali katika macho ya jumuia ya kimataifa. Muhimu zaidi, Mshindi atakayetangazwa huenda akakosa uhalali kwenye macho ya Watanzania wenyewe" mwisho wa kunukuu. Huu ni ushahidi kuwa tunamulikwa hatuna pakutokea kama watavuluga uchaguz
 
Thank you so much Mr Ambassador. We really need America to take serious actions this year. It’s obvious that this election is being rigged in a very serious manner.
 
Ukweli mtupu
 
Hatu chomoki safari hii wamesha pandisha mzuka
 
We mtoto wa tandale,ungeishi kule usingemshabikia jiwe matendo yake ya kinauncivilized utadhani akupita skull
Ulivyo na uwezo mdogo wa kufikiria unafikiri kuishi tandale Tanzania na kuishi masaki kuna tofauti kubwa kama ardhi na mbingu.
Hebu pita kushoto kanunuliwe kama mlivyozoea kujiuza. Mlijiuza kwa Lowasa mkaachwa sasa mnajiuza kwa Amstadamz na team yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…