Uchaguzi 2020 US Ambassador to Tanzania: I am concerned, if election officials do not take necessary steps, country's democracy will lose credibility

Uchaguzi 2020 US Ambassador to Tanzania: I am concerned, if election officials do not take necessary steps, country's democracy will lose credibility

Wataishia kutoa vipeperushi tu ,wale vibaraka wao waliowatuma kuja kugombea Tanzania hawapati kitu

Tanzania haigusiki
 
Hakuna kitu hapo, hyo anawachezea maslow thinking chadema akili, vinginevyo asingezunguka hivyo, ...
Kwa ww mvivu wa kusoma ndio unaona amezunguka. Hapo kila neno linasimama na uzito wake!!!!
 
We mtoto wa tandale,ungeishi kule usingemshabikia jiwe matendo yake ya kinauncivilized utadhani akupita skull
Nimekupuuza rasmi baada ya kugundua wewe sio mjinga maana mjinga anaelimika ila mpumbavu ni ulemavu
Endelea kusubiri amerika waje wakupe maisha bora
 
Nimekupuuza rasmi baada ya kugundua wewe sio mjinga maana mjinga anaelimika ila mpumbavu ni ulemavu
Endelea kusubiri amerika waje wakupe maisha bora
Aliyeishi USA apingani na demokrasia na si muumini wa udikteta, udikteta uleta Vita afrika
 
Kateni misaada na mikopo vinginevyo mambo haya kamwe hayatakoma.

Sijui kwanini nchi wahisani wanashindwa kuweka shariti la kutoa misaada na mikopo kuwa ni lazima nchi husika iwe na Tume Huru ya Uchaguzi inayokubalika na makundi yote.

Ningekuwa na ushawishi, ningeanzisha movement ya kuzitaka nchi tajiri na mashirika ya fedha ya kimataifa kuweka shariti kwamba, kila nchi inayotaka msaada au mkopo, ni shariti nchi hiyo iwe na Tume Huru ya Uchaguzi inayokubalika na wadau wote wa uchaguzi katika nchi hiyo.

Au kama hili gumu,basi movement yangu nyingine ni kuzishawishi nchi hizi kuweka shariti linaloweza kuwa kama incentive ambapo nchi yenye kuonyesha demokrasia ya kweli, kwa kuwa na Tume Huru na Katiba inayokubalika na makundi yote katika nchi kuwa ni moja ya kigezo ncha kwa nchi kupunguziwa au kufutiwa madeni.

Jitihada za nchi wahisani na mashirika ya fedha ya kimataifa za kuondoa umasikini katika mataifa yanayoendelea,hasa Afrika, haziwezi kufanikiwa iwapo katika nchi hizi hakuna demokrasia ya kweli, hivyo kuna ulazima wa kulazimisha nchi hizi kuwa na demokrasia vinginevyo maendeleo yatachukuwa muda mrefu kufikia katika nchi hizi.

Demokrasia ya kweli inafanya watawala wawajibike kwa watu wao na nchi zao na hivyo kuwezesha maendeleo kupatikana kwa haraka zaidi.
Tanzania is safe and will conduct free and fair election as always.
 
Kwenye wewe weka mimi
Nakuona ulivyo na ID nyingi😁😁😁


Nimekupuuza rasmi baada ya kugundua wewe sio mjinga maana mjinga anaelimika ila mpumbavu ni ulemavu
Endelea kusubiri amerika waje wakupe maisha bora
Hazikusaidii hizo pambana na maisha yako, mmarekani anapambana na maisha yake
We mtoto wa tandale,ungeishi kule usingemshabikia jiwe matendo yake ya kinauncivilized utadhani akupita skull
 
Mnachaguxi mbili umsindikize jiwe chattotown au the Hague,lzm tuikomboe nchi yetu sio Mali ya jiwe na wapwa zake
Jikomboe kwanza mwenyewe huo ufahamu wako kabla hujasema unaikomboa nchi
 
Back
Top Bottom