Uchaguzi 2020 US Ambassador to Tanzania: I am concerned, if election officials do not take necessary steps, country's democracy will lose credibility

Uchaguzi 2020 US Ambassador to Tanzania: I am concerned, if election officials do not take necessary steps, country's democracy will lose credibility

Kateni misaada na mikopo vinginevyo mambo haya kamwe hayatakoma.

Sijui kwanini nchi wahisani wanashindwa kuweka shariti la kutoa misaada na mikopo kuwa ni lazima nchi husika iwe na Tume Huru ya Uchaguzi inayokubalika na makundi yote.

Ningekuwa na ushawishi, ningeanzisha movement ya kuzitaka nchi tajiri na mashirika ya fedha ya kimataifa kuweka shariti kwamba, kila nchi inayotaka msaada au mkopo, ni shariti nchi hiyo iwe na Tume Huru ya Uchaguzi inayokubalika na wadau wote wa uchaguzi katika nchi hiyo.

Au kama hili gumu,basi movement yangu nyingine ingekuwa ni kuzishawishi nchi hizi kuweka shariti linaloweza kuwa kama incentive ambapo nchi yenye kuonyesha demokrasia ya kweli, kwa kuwa na Tume Huru na Katiba inayokubalika na makundi yote katika nchi kuwa ni moja ya kigezo ncha kwa nchi kupunguziwa au kufutiwa madeni.

Jitihada za nchi wahisani na mashirika ya fedha ya kimataifa za kuondoa umasikini katika mataifa yanayoendelea,hasa Afrika, haziwezi kufanikiwa iwapo katika nchi hizi hakuna demokrasia ya kweli, hivyo kuna ulazima wa kulazimisha nchi hizi kuwa na demokrasia vinginevyo maendeleo yatachukuwa muda mrefu kufikiwa katika nchi hizi.

Demokrasia ya kweli inafanya watawala wawajibike kwa watu wao na nchi zao na hivyo kuwezesha maendeleo kupatikana kwa haraka zaidi.

najua kabisa we ni mtetezi wa lissu, ila umeongea point nzuri! but i still wanna see magufuli in office 5 more years
 
1603378628341.png
 

Attachments

  • 1603378518539.png
    1603378518539.png
    7.5 KB · Views: 1
najua kabisa we ni mtetezi wa lissu, ila umeongea point nzuri! but i still wanna see magufuli in office 5 more years
Kabla hiyo miaka 5 haijaisha,ipo siku, panapo majaliwa,utakuja hapa kulalamika kwanini Magu alipita tena iwapo atapita kama unavyotaka.
 
"Election officials can go far in restoring faith in the electoral process by ensuring that polling station results are posted publicly, that all party polling agents are sworn in, given access to polling stations and tallying centers nationwide on election day, and provided copies of tallying sheets at the end of the ballot count".

=============
Tafsiri kwa Maccm yasiyojua Lugha
=============

Maafisa wa Uchaguzi( Tume) wanaweza kwenda mbali kwa kurejesha imani katika mchakato wa uchaguzi kwa kuhakikisha matokeo ya vituo vya kupigia kura yanawekwa hadharani, kwamba mawakala wa vyama vyote vya siasa wanaapishwa, wanapewa fursa ya kuingia kwenye vituo vya kupigia kura na vya kujumlishia kura nchi nzima katika siku ya uchaguzi, na wanapewa nakala ya matokeo yaliyojumlishwa na kutangazwa.
Hapa ndipo chama cha kijani hawatokubali manake hawataki fairness
 
Two major problems with respect to whatever is said by the US embassy:
1. Some Africans see such messages as dishonest respect to Africa where no single former slave traders had ever officially regretted being involved in that noxious activity. Africans still see the US as a state with a lot of inhumane lust unfortunately, the US internal failure to respect African Americans rights cements this argument.

2. Opposition parties in Tanzania misinterpret such similar statements in their favour. Anything said is considered of a positive use for their campaign to power whilst, they are underqualified for leadership.
When you say that opposition leaders are under qualified for leadership, bear in mind that ccm candidate have refused to participate in a debate which would be a perfect yardstick to prove suitability of candidates. On that platform, moderators/facilitators would cross-examine the candidates and the audience/public would have a chance to see them narrate on national issues. It's very unfortunate that we missed that opportunity due to the cowardnes of ccm candidate. Hence he is the underqualified one.
 
Marekani huwa hawamung'unyi maneno.U

Calling for free, fair, and credible elections is not meddling in Tanzania’s politics, it is simply standing up for the simple yet fundamental aspiration shared by all people, Americans and Tanzanians alike: to have their voices heard, especially when it comes to choosing who will lead and represent them. THANK YOU MR AMBASSADOR.
Thank you for what? For saying what they (US) can't entertain to be done in their country! Nowadays, I am extra careful not to invite Lucifer to start pleaching for heavenly life whilst he knows better devilish life.
 
I first came to Tanzania over 30 years ago to volunteer as a doctor, and that experience instilled in me a deep and lasting affection and respect for Tanzania and the Tanzanian people. It was the greatest honor of my life to be given the opportunity to come back all these years later to serve as the U.S. Ambassador to Tanzania. Since my arrival in August, I have seen first-hand and spoken about how U.S. assistance is improving the lives of ordinary Tanzanians, and how increased cooperation and trade will benefit both our peoples.

The bond between the United States and Tanzania dates back to the earliest days of independence, when President Kennedy’s friendship with Mwalimu Nyerere formed the foundation of an enduring partnership based on mutual respect and understanding, with the well-being and prosperity of both of our people at its core. In support of that goal, the United States will contribute more than $546 million to Tanzania’s economic and social development in 2020, and it has contributed more than $7.5 billion in assistance over the past 20 years, much of that to improve the Tanzanian people’s health. The U.S. government also proudly invests in the people of Tanzania through our support for the participation of the country’s talented youth in exchange programs like the Young African Leaders Initiative. Moreover, the U.S. private sector has invested in Tanzania as well, creating jobs for Tanzanians and mutual prosperity for both of our countries.

At the same time as I have promoted the importance of trade and investment, I have also been vocal about the importance of fundamental freedoms, human rights, and democratic processes – including free, fair, and credible elections – as critical foundations of sustainable development.

Calling for free, fair, and credible elections is not meddling in Tanzania’s politics, it is simply standing up for the simple yet fundamental aspiration shared by all people, Americans and Tanzanians alike: to have their voices heard, especially when it comes to choosing who will lead and represent them.

I want to be very clear on this point: the United States does not support a candidate, or a political party, in this election campaign. The United States’ overarching interest in this election is that it be free, fair, and credible, and that the results reflect the will of the Tanzanian people as expressed at the ballot box. That is truly the purest expression of democracy.

To my dismay, I have seen and heard reports of government and security representatives disrupting and preventing candidates’ ability to campaign freely. As we get closer to election day, the pace and severity of these disruptions is quickening and deepening. We have seen political violence, restrictions on media, and a candidate certification process that, by all appearances, gave a clear advantage to the ruling party. Already, we are hearing reports of officials denying poll watchers the ability to do their jobs. Taken together, these developments paint a picture of an electoral process that does not provide a level playing field.

Luckily, there is still time to ensure a more transparent process on October 28. Transparency leads to credibility. One way to promote a transparent election process is to allow independent observers to witness the election and have the freedom to express what they observe. Election officials can go far in restoring faith in the electoral process by ensuring that polling station results are posted publicly, that all party polling agents are sworn in, given access to polling stations and tallying centers nationwide on election day, and provided copies of tallying sheets at the end of the ballot count. As U.S. Supreme Court Justice Louis Brandeis wrote, “sunlight is the best disinfectant.” In other words, government and election transparency can ensure a more credible electoral process. The United States has a long-standing tradition of inviting international observers to our elections, and we welcome them again this year.

I am concerned that if election officials do not take these steps, Tanzania’s democracy will lose credibility in the eyes of the international community. More important, the declared winner may lack legitimacy in the eyes of Tanzanians themselves.


By U.S. Embassy Dar es Salaam | 22 October, 2020 | Topics: Op-Eds, Press Releases
Ccm wanaziba masikio wanataka tuwekewe vikwazo
 
Mmechelewesha kupeleka mawakala makusudi NEC imewaongezea siku za kuapisha.

Safari hii lazima unafiki wa CDM uwekwe wazi mabeberu yote yanaona aibu jinsi serikali ilivyoweka mchakato wazi na sawa; kabakia Amsterdam na huyu mwingine nae anaanza kujipendekeza.
Nina mashaka kama post umeisoma yote na kuielewa.
 
When you say that opposition leaders are under qualified for leadership, bear in mind that ccm candidate have refused to participate in a debate which would be a perfect yardstick to prove suitability of candidates. On that platform, moderators/facilitators would cross-examine the candidates and the audience/public would have a chance to see them narrate on national issues. It's very unfortunate that we missed that opportunity due to the cowardnes of ccm candidate. Hence he is the underqualified one.
Boss, we are not here to emulate whatever practiced in the US. Us have debates as part of their presidential campaigns. We are not! Should we do it just to show our congruence to the Americans? Which voter in this country has no follow-up paragraphs of all the candidates? Magufuli? Lissu? Mtamwega? Rungwe? They are the same people we have known for the past 20 years.
 
Sana mkuu sioni pakutokea tunaenda kuwa Zimbabwe
Ni lazima giza lije ili nuru ionekane,hawa watawala wetu wanafikiri wanatawala mbuzi na siyo watu-Sanctions mwaka huu ni guarantee,na vikitokea tutaelewana Lugha watu wote
 
Mna wasiwasi mapandikizi yenu yatashindwa.

Kwa kifupi ndio yameshashindwa! Tena mtulie kabisa watanzania wanajua wanachokitaka

Hatupangiwi
I first came to Tanzania over 30 years ago to volunteer as a doctor, and that experience instilled in me a deep and lasting affection and respect for Tanzania and the Tanzanian people. It was the greatest honor of my life to be given the opportunity to come back all these years later to serve as the U.S. Ambassador to Tanzania. Since my arrival in August, I have seen first-hand and spoken about how U.S. assistance is improving the lives of ordinary Tanzanians, and how increased cooperation and trade will benefit both our peoples.

The bond between the United States and Tanzania dates back to the earliest days of independence, when President Kennedy’s friendship with Mwalimu Nyerere formed the foundation of an enduring partnership based on mutual respect and understanding, with the well-being and prosperity of both of our people at its core. In support of that goal, the United States will contribute more than $546 million to Tanzania’s economic and social development in 2020, and it has contributed more than $7.5 billion in assistance over the past 20 years, much of that to improve the Tanzanian people’s health. The U.S. government also proudly invests in the people of Tanzania through our support for the participation of the country’s talented youth in exchange programs like the Young African Leaders Initiative. Moreover, the U.S. private sector has invested in Tanzania as well, creating jobs for Tanzanians and mutual prosperity for both of our countries.

At the same time as I have promoted the importance of trade and investment, I have also been vocal about the importance of fundamental freedoms, human rights, and democratic processes – including free, fair, and credible elections – as critical foundations of sustainable development.

Calling for free, fair, and credible elections is not meddling in Tanzania’s politics, it is simply standing up for the simple yet fundamental aspiration shared by all people, Americans and Tanzanians alike: to have their voices heard, especially when it comes to choosing who will lead and represent them.

I want to be very clear on this point: the United States does not support a candidate, or a political party, in this election campaign. The United States’ overarching interest in this election is that it be free, fair, and credible, and that the results reflect the will of the Tanzanian people as expressed at the ballot box. That is truly the purest expression of democracy.

To my dismay, I have seen and heard reports of government and security representatives disrupting and preventing candidates’ ability to campaign freely. As we get closer to election day, the pace and severity of these disruptions is quickening and deepening. We have seen political violence, restrictions on media, and a candidate certification process that, by all appearances, gave a clear advantage to the ruling party. Already, we are hearing reports of officials denying poll watchers the ability to do their jobs. Taken together, these developments paint a picture of an electoral process that does not provide a level playing field.

Luckily, there is still time to ensure a more transparent process on October 28. Transparency leads to credibility. One way to promote a transparent election process is to allow independent observers to witness the election and have the freedom to express what they observe. Election officials can go far in restoring faith in the electoral process by ensuring that polling station results are posted publicly, that all party polling agents are sworn in, given access to polling stations and tallying centers nationwide on election day, and provided copies of tallying sheets at the end of the ballot count. As U.S. Supreme Court Justice Louis Brandeis wrote, “sunlight is the best disinfectant.” In other words, government and election transparency can ensure a more credible electoral process. The United States has a long-standing tradition of inviting international observers to our elections, and we welcome them again this year.

I am concerned that if election officials do not take these steps, Tanzania’s democracy will lose credibility in the eyes of the international community. More important, the declared winner may lack legitimacy in the eyes of Tanzanians themselves.


By U.S. Embassy Dar es Salaam | 22 October, 2020 | Topics: Op-Eds, Press Releases
 
Sana mkuu sioni pakutokea tunaenda kuwa Zimbabwe
Mbona hamjitahidi kusoma matukio ya Dunia? Je, una elimu gani boss? Ili uielewe western world soma uelewe kwa nini Zimabwe haikuwekewa vikwazo kwa mauaji ya Matabeleland. Vikwazo vimekuja kwa sababu ya Mashamba ya wazungu.
 
Sana mkuu sioni pakutokea tunaenda kuwa Zimbabwe
Watawala wetu wanajiona wao wana mamlaka na mioyo yetu. Haiwezekani kbs kinachofanyika tunaonekana wote mbuzi ww subiri tuuumie. Maana ukimsikiliza JPM hotuba zake za kampeni utadhani hii nchi ilikuwa chini ya mpinzani. Ukweli kbs kura yangu ni TAL acha liwe
 
Kateni misaada na mikopo vinginevyo mambo haya kamwe hayatakoma.

Sijui kwanini nchi wahisani wanashindwa kuweka shariti la kutoa misaada na mikopo kuwa ni lazima nchi husika iwe na Tume Huru ya Uchaguzi inayokubalika na makundi yote.

Ningekuwa na ushawishi, ningeanzisha movement ya kuzitaka nchi tajiri na mashirika ya fedha ya kimataifa kuweka shariti kwamba, kila nchi inayotaka msaada au mkopo, ni shariti nchi hiyo iwe na Tume Huru ya Uchaguzi inayokubalika na wadau wote wa uchaguzi katika nchi hiyo.

Au kama hili gumu,basi movement yangu nyingine ingekuwa ni kuzishawishi nchi hizi kuweka shariti linaloweza kuwa kama incentive ambapo nchi yenye kuonyesha demokrasia ya kweli, kwa kuwa na Tume Huru na Katiba inayokubalika na makundi yote katika nchi, kuwa ni moja ya kigezo nchi kwa nchi kupunguziwa au kufutiwa madeni.

Jitihada za nchi wahisani na mashirika ya fedha ya kimataifa za kuondoa umasikini katika mataifa yanayoendelea,hasa Afrika, haziwezi kufanikiwa iwapo katika nchi hizi hakuna demokrasia ya kweli, hivyo kuna ulazima wa kulazimisha nchi hizi kuwa na demokrasia vinginevyo maendeleo yatachukuwa muda mrefu kufikiwa katika nchi hizi.

Demokrasia ya kweli inafanya watawala wawajibike kwa watu wao na nchi zao na hivyo kuwezesha maendeleo kupatikana kwa haraka zaidi.
We kwa akili yako unadhani mmarekani au mtu wa ulaya ana interest na raia wa nchi yako kana kwamba hizi tantalila za "free and fair elections" zina lengo la dhati la kumletea maendeleo mwananchi wa kiafrika?

Kama ingekuwa hivyo wamarekani hawa wasingeitumia CIA yao kumuua Patrice Lumumba na badala yake wakampandikiza Mobutu Sesseseko. Ni hivi kwa kila dola moja marekani anayokupatia kama msaada anahakikisha anapata dola 100 kutoka kwenye nchi yako. Mahoteli ya kifahari waliyoyawekeza kwenye mbuga za wanyama yasiyolipa kodi stahili, migodi yao ya madini, na uwekezaji kibao mwingine mwingi, hivyo usije hata siku moja ukafikiri nchi hii ikikosa misaada ya wamerakani na wengineo atakayepoteza ni sisi wenyewe tu. Tukigeuza kibao (kama alivyowadindia kiaina mzee baba kwenye inshu ya Acacia) watapoteza sana wao kama na sisi tutakavyopoteza.

Incentive ya kuwa na free and fair election haipaswi kufungamanishwa na misaada ya wahisani. Tulipotaka kujitawala baada ya ukoloni maana yake ilikuwa pia kujiandalia mazingira bora ya kuhakikisha kwamba sauti zetu kupitia kura zinahesabiwa na kusikika. Kama itatubidi tupambane na kumwaga damu kuhakikisha hakuna hata kura yetu inaibiwa tufanye hivyo sisi wenyewe, kwa utashi wetu, bila kuingiza mmarekani au mulaya na mambo yao.

Hii ni nchi yetu wenyewe, hatuna mjomba wa shangazi marekani, ulaya wala uchina.
 
Back
Top Bottom