Hawa ni watu wabaya sana, lakini inafika wakati ubaya wao ni mzuripale watawala wanapoonea watu wao.Mhhh mbona anaongea kama nchi ni yake??anajuwa sababu ya wenyewe kukamatwa...anyway inabidi Tanzania kuwa makini maana Libya na Mirsi wote wamepitia huko....hawa US ni watu wabaya sana tena sana hasa wakiona nchi inafanya vizuri...
Ukweli ni kwamba huko kwao ma racist ni wengi sana na wanamtaka Trump ashinde tena.Nonsense! Kwanini wasihangaikie uchaguzi wao ambao una kila dalili ya kuliingiza taifa lao kwenye constitutional crisis iwapo racist president wao atashindwa uchaguzi na kukataa matokeo?
Haijapatapo kutokea... ila mazwazwa wanaaminishwa kuwa hatupangiwi na tumejitosheleza!!!Huwez kuwa maskini halafu ukawa huru
halafu wataagiza apewe ushindi pia.Beberu ameshaagiza atolewe, wakinga bakuli wanaweza kumtoa leo hii.
Kwani huseni mpaka anagombea si alikuwa bado ni waziri wa ulinzi? Au aliacha nafasi hio? Kama hakuacha anahusika moja kwa mojaAnaweza asipelekwe yeye maana muda huu hana power ya kutoa maagizo. Wa kupelekwa ni Magufuli na Shein, kama tutafika huko
Wanajua sababu wa wao kukamatwa? Jiwe anatumia iphone na iphone wanatengeneza wao. So wanajua kila kitu kinacho endelea.Mhhh mbona anaongea kama nchi ni yake??anajuwa sababu ya wenyewe kukamatwa...anyway inabidi Tanzania kuwa makini maana Libya na Mirsi wote wamepitia huko....hawa US ni watu wabaya sana tena sana hasa wakiona nchi inafanya vizuri...
Wao kina nani?Tafsiri ya tweet no 2.
Kabla ya kura kupigwa, kuligubikwa na vurugu na ukandamizaji. Makosa yaliyoripotiwa wakati wa kura ya jana na kukamatwa leo kwa Viongozi wa Upinzani haikubaliki na inaharibu maendeleo ya Kidemokrasia nchini. Viongozi wa Tanzania lazima WAWAJIBISHWE.
Jana ilikuwa siku mbaya kwangu kuliko siku zote toka niwe na akili. Nimeijutia nchi yangu na machozi ya majuto yangu yametumbukia tumboni mwangu na kunitia uchungu mkuu.Detaining opposition leaders is not the act of a government confident in its electoral victory. Maalim Seif and his colleagues should be released immediately.
View attachment 1615653View attachment 1615654
Hii habari feki, tangu lini balozi wa marekani anaweza kuandika kwa kisukuma! Sasa nani atatafsiri ili na sisi tielewe.Detaining opposition leaders is not the act of a government confident in its electoral victory. Maalim Seif and his colleagues should be released immediately.
View attachment 1615653View attachment 1615654
Si kwel..mtu anauhakika wa kiinua mgongo cha zaid ya 300m...mshahara wa mwezi wa karibia 14m...na posho ya karibia 200k kwa siku..hapo bado posho za kamati..inshort mbunge kwa mwez kama kaitulia vzur anauhakika wa kama 20m hivHao walioshinda hata furaha hawana.
Wewe matako kweli hujui watu wamekufa kwa sababu ya wajinga wachacheMhhh mbona anaongea kama nchi ni yake??anajuwa sababu ya wenyewe kukamatwa...anyway inabidi Tanzania kuwa makini maana Libya na Misri wote wamepitia huko....hawa US ni watu wabaya sana tena sana hasa wakiona nchi inafanya vizuri...
as long as it deems the ruler fit - as per TZ dictionarydefinition of immediately
Kipindi hiki atajua hayuko kwenye kisiwaNaona lugha yaenda ikibadilika sasa... Huyu dikteta wetu huwa hapangiwi lakini. Ngoja tuone kama kuna mtu anaweza kumpangia safari hii.
Akome kuvunja sheria. Na wazidi kumpasua. Hatuwezi kuharibiwa amani yetu kisa kina Jusa kwa uroho wa madaraka.Haifurahishi hata kidogo, Ismail Jussa amepasuliwa sana na yupo mahutihuti, halafu unaona baadhi ya waganga njaa wanadhihaki.
Hii haikubaliki hata kidogo, nabariki tupigwe sanctions mpaka akili ikae sawa
wasitutishe kila mtu ana maamuzi ya ndani...kwani sisi tumemlalamikia trump kuua waafrika??Beberu kacharuka!
CCM wakienda ulaya kuomba omba misaada huwapigia magoti wazungu kwa kuita wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa upumbavu unyanyasaji uonevu uovu unyama wa CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jikeMabeberu watu wa ajabu Sana. Yani Wanataka hata kutufundiaha jinsi ya kuwaza, yani tuwaze na kutenda kama waonavyo wao si upuuzi huo.Wameona magu kawakazia, ile mirija yao ya kufyonza rasilimali imekatwa sasa imekuwa nogwa. Nyerere aliona mbali sana, nchi hizi za ki Africa bila kujitegemea na kuondoa tongotongo kichwani na ukoloni mamboleo hautaondoka.
Wewe umekula vya polepole ukashiriki kuiba kura sasa upo gheto kwake unalipa?Hili ndilo linaloshangaza zaidi...
Labda zile kauli "...watalipa kupitia tundu lolote... ukila vya wanaume jua utavilipa!!" Ndio zinawaogofya...