minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Hawakutakiwa hata kukamatwa pia iweje Polisiccm iwasumbue wakati aliyelawiti na kuubaka uchaguzi CCM anapeta mitaaniViongozi wako tayari WAMEUFYATA, Maalim na wenzake wameachiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawakutakiwa hata kukamatwa pia iweje Polisiccm iwasumbue wakati aliyelawiti na kuubaka uchaguzi CCM anapeta mitaaniViongozi wako tayari WAMEUFYATA, Maalim na wenzake wameachiwa.
Huku mtaani tangu mchana ni shangwe kila mtaa, chezea kutoka utumwani kwa miaka 25 sio mchezo. Magufuli kiboko yao.Hao walioshinda hata furaha hawana.
Duniani kote sasa wanajua Tanzania uchaguzi umebakwa na kunajisiwa vibaya mnoHakukuwa na “unnecessary disturbance”. Ilikuwa peaceful march. Kulikuwa na options na mojawapo labda wangemuweka kwa house arrest.
Matokeo yake sasa tuna attract unnecessary attentiondm kutoka nje.
Anaweza asipelekwe yeye maana muda huu hana power ya kutoa maagizo. Wa kupelekwa ni Magufuli na Shein, kama tutafika hukoHussein mwinyi anapelekwa ICC The Hague
Kiboko ya nani? Kuiba kura kufanya uchakachuaji ndiyo anakuwa kiboko yao?Huku mtaani tangu mchana ni shangwe kila mtaa, chezea kutoka utumwani kwa miaka 25 sio mchezo. Magufuli kiboko yao.
ovyo kabisa-mnanyimwa misaada yote tuone sasa kama mtaweza kuendesha nchi
Hata IGP na CDF na wenzao nao watafikishwa hukoAnaweza asipelekwe yeye maana muda huu hana power ya kutoa maagizo. Wa kupelekwa ni Magufuli na Shein, kama tutafika huko
Beberu lako hilo........Beberu ameshaagiza atolewe, wakinga bakuli wanaweza kumtoa leo hii.
Anaweza asipelekwe yeye maana muda huu hana power ya kutoa maagizo. Wa kupelekwa ni Magufuli na Shein, kama tutafika huko
Tayari wametoa report kuwa CCM imeulawiti na kuubaka uchaguzi wote kwani wananchi hawakuwachagua kabsa
itakuwa kama Zimbabwe ya kipindi kilee cha mzee Marehemu na pia watalamba vicent vyote vya viongozi wa CCM walivyoficha Huko nje-Kama ni tajiri nyie mmeongoza nchi kwa miaka zaidi ya 50
-Mbona mmeshindwa kutumia huo utajiri ili kuondokana na misaada
-Maana yake mmeshindwa kutumia rasilimali vizuri
-Fanyeni ujinga muone kama nchi haijawa fukara
-ovyo mkinyimwa misaada akili zitakaa sasa na kujua ni Ovyo au Hovyoovyo kabisa
Report imeshasambaa wewe pekee ndiyo hujaiona kwa kuwa upo busy kuvuta Bangi gheto kwa cyprian MusibaHata siku moja Ufipa hawawezi kuona report kama hiyo halafu wasiitangaze dunia nzima. That’s fantasy!
Zanzibar itakula vikwazo na pia Hussein mwinyi anapelekwa ICC The Hague
Wamepewa dhamana ni utaratibu wa kawaida kesho asubuhi wakareport, hila sio kwa shinikizo.Viongozi wako tayari WAMEUFYATA, Maalim na wenzake wameachiwa.
Na pia watachukua pesa zote za viongozi wa CCM zilizofichwa nje na kutaifisha mali zao kama walivyomfanyia Bashite ile nyumba yake alinunua USA imekwisha na maji-ovyo mkinyimwa misaada akili zitakaa sasa na kujua ni Ovyo au Hovyo
Bado unavuta Bangi gheto kwa cyprian Musiba?I don’t think you know what you’re talking about!
Licha ya kumuachia bado watachukuliwa hatua kwa kitendo cha kumdhalilishaKaachiwa tayari hongera balozi