Nasapoti.Haifurahishi hata kidogo, Ismail Jussa amepasuliwa sana na yupo mahutihuti, halafu unaona baadhi ya waganga njaa wanadhihaki.
Hii haikubaliki hata kidogo, nabariki tupigwe sanctions mpaka akili ikae sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasapoti.Haifurahishi hata kidogo, Ismail Jussa amepasuliwa sana na yupo mahutihuti, halafu unaona baadhi ya waganga njaa wanadhihaki.
Hii haikubaliki hata kidogo, nabariki tupigwe sanctions mpaka akili ikae sawa
Utumbe wote upo wazi sasa akili kichwani kwaoTafsiri ya tweet no 2.
Kabla ya kura kupigwa, kuligubikwa na vurugu na ukandamizaji. Makosa yaliyoripotiwa wakati wa kura ya jana na kukamatwa leo kwa Viongozi wa Upinzani haikubaliki na inaharibu maendeleo ya Kidemokrasia nchini. Viongozi wa Tanzania lazima WAWAJIBISHWE.
Detaining opposition leaders is not the act of a government confident in its electoral victory. Maalim Seif and his colleagues should be released immediately.
View attachment 1615653View attachment 1615654
Zilianza lugha za kusihi sasa za kumtaka tunakoenda zitakuwa za kulazimisha.Naona lugha yaenda ikibadilika sasa... Huyu dikteta wetu huwa hapangiwi lakini. Ngoja tuone kama kuna mtu anaweza kumpangia safari hii.
Kwani wanakusumbua hao? Nchi ni shwari na Tz ilishaamua kufuta upinzani, hakuna wa kutishia.Nonsense! Kwanini wasihangaikie uchaguzi wao ambao una kila dalili ya kuliingiza taifa lao kwenye constitutional crisis iwapo racist president wao atashindwa uchaguzi na kukataa matokeo?
Hao ni viranja wa hii dunia tulia.Nonsense! Kwanini wasihangaikie uchaguzi wao ambao una kila dalili ya kuliingiza taifa lao kwenye constitutional crisis iwapo racist president wao atashindwa uchaguzi na kukataa matokeo?
....as soon as.......definition of immediately
Tupia hata video kiongoziHaifurahishi hata kidogo, Ismail Jussa amepasuliwa sana na yupo mahutihuti, halafu unaona baadhi ya waganga njaa wanadhihaki.
Hii haikubaliki hata kidogo, nabariki tupigwe sanctions mpaka akili ikae sawa
-wana haki ya kuwaambiaNonsense! Kwanini wasihangaikie uchaguzi wao ambao una kila dalili ya kuliingiza taifa lao kwenye constitutional crisis iwapo racist president wao atashindwa uchaguzi na kukataa matokeo?
-mnanyimwa misaada yote tuone sasa kama mtaweza kuendesha nchiAfadhali U.S watoe matamko kuwafariji makamanda.
Maalim na wajinga wenzie wataachiwa tu ila acha kwanza watiwe adabu.
Tanzania ni nchi tajiri Sana.-mnanyimwa misaada yote tuone sasa kama mtaweza kuendesha nchi
-wana haki ya kuwaambia
-Mmepewa misaada ambayo moja ya masharti ni kuimarisha democracy, utawala bora na haki za binadam
-mnakwenda kinyume na msharti yao ya misaada
-Mkitaka wafukuzeni kama MNA huo ubavu
Wakinga bakuli wenu woote wamefubwa midomo. Chama cha Mbowe kwisha kabisa.Beberu ameshaagiza atolewe, wakinga bakuli wanaweza kumtoa leo hii.
Ingia twitter mkuu zimejaa teleTupia hata video kiongozi