US-backed financier has slapped the Treasury with a default notice for delayed payment of a Sh57.8 billion loan that the government guaranteed Kenya A

Rushwa ya Boeing alipokea kutokea Boeing Africa Office iliyopo Sandton South Africa. Aliyekabidhi mzigo yupo hai na aliyepokea kwa niaba ya magufuli bado yuko Serikali I ila kwa sasa ni Balozi.
 
Kumbe hufuatilii mambo. Hiyo hoja ya kwamba alienda kinyume na PPA na Finance Act ilishajibiwa zamani sana wakati ule ule ndege zinakuja. Ni hoja ya uzushi na uongo.
Weka jibu hapa walilojibu halafu tuambie na CAG alitoa hatma gani baada ya hilo jibu
 

Mimi langu ni moja tu. Ni nani aliyewapa mamlaka ya kutumia upinde wa mvua wa Mwenyezi Mungu kama utambulisho waooo? Kwa nini wasibuni alama yaooo?

Lazima tuanze kampeni ya kupinga matumizi ya upinde wa mvua kujitambulisha hawa maluhani.

Lingine, kununua ndege kwa fedha taslimu ni uamuzi sahihi.
 
Inaonesha umekremu. Na waliokufundisha hayo shuleni kumbuka ni haohao mabeberu. Mabeberu wanapenda mikopo kwa sababu wanajua nafasi yao duniani ni ipi.
Unajifanya unawachukia mabeberu akati hapa mtandaoni upo kwa hisani ya mabeberu... hivi akili yako ina akili kweli?

Tena uwashukuru hao mabeberu maana isingekuwa wao, ungekuwa sasahivi unatembea umevaa magome ya miti
 
Aiseeee leo kuna paka zinasema ndege hazikununuliwa na Magufuli majangaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…