US$ Billionaire Rostam Aziz scolded at protectionist Kenya

US$ Billionaire Rostam Aziz scolded at protectionist Kenya

Hii ndio point kuu maana wakija huku sisi ndio tunanufaika,yakitoka ananufaika mfanyabiashara binafsi na watu wa nchi alikoenda kuwekeza unless huo uwekezaji wake uwe unatumia rasilimali au malighafi ya Tzn kinyume chake hiyo ni mambo binafsi ya Rostam wakazinguana na mfanyabiashara mwenzie Kenyatta
Wakija huko kwenu Mnanufaikaje?
 


Huyu jamaa anatukera huku tweeter. Hebu njooni mtusaidie. Kaniudhi balaa.
 
Sasa. Huyu mtu anakaa Asian anasema nini mbele ya waaafrika weusi.

Takataka rudi india.
Racism will never end in kenya. This guy is a Tanzanian by birth , coming from Igunga Tabora . Tanzania has many citizens of diff ethnics.
 
Hapa kuna shida moja na kenya and its good to day the truth, cartels period and since the gas pipeline has been signed wacha tuone parties that will be imvolved.Kuna familia moja hucontrol gas, i wonder why till todate we dont have piped gas
 
Hatuwaogopi...ila kuna namna ya ku-deal na failed states..
Na pombe ndo aliijua hiyo namna,mama bado sijamsoma
Nyie mnaiogopa kenya sana[emoji23]
Yani kila sehemu watz wanasena tumekwishaa, hapo inadhirisha kabisa mnajua ya kwamba tumewazidi ujanja na IQ..
Yani wanaume wazima wamekubali ya kwamba kenya ina uwezo ya kuwazidi tz linapokuja swala la ujanja wa deals..
 


Huyu jamaa anatukera huku tweeter. Hebu njooni mtusaidie. Kaniudhi balaa.
Mshamba tu huyo nimemsoma. Nikama wameona wivu flani hivi. Wakenya bwana hawa watu wana aina flani hivi ya kudeal nao ili mwende sawa.
 
Na sasa mbona wahindi wenu wanalia machozi kwamba wanataka Kenya ifungue market yake?
Nasikitika kuona hoja za kijinga kabisa zinatoka kwa watu wanaojitapa ni wasomi kuliko taifa lolote E.Africa.

Biashara ni mashirikiano nyie mmekalia kushabikia ligi za kijinga jinga huku ukweli ni kwamba wananchi wa kawaida ndio wanaoteseka si Samia wala Uhuru. Wao mishahara na posho zao ziko pale pale "no matter what!"
 
Huwa nashindwa kuelewa wakina Sarungi, Karume na company wanataka nn haswa? Madaraka ama?
Ni wapuuzi wanajiita wanaharakati...ukikaa na ku wa digest unaona kabisa ni kikundi kiko funded na makundi fulani ya kiovu yasikuwa na nia na ustawi wa Nchi.
 
Nyie mnaiogopa kenya sana[emoji23]
Yani kila sehemu watz wanasena tumekwishaa, hapo inadhirisha kabisa mnajua ya kwamba tumewazidi ujanja na IQ..
Yani wanaume wazima wamekubali ya kwamba kenya ina uwezo ya kuwazidi tz linapokuja swala la ujanja wa deals..
Wanaokubali hizo ni watu wa chadema,wajinga flani hivi ambao hawawajui kiundani kama kweli mngekuwa wajanja kama wanavyosema mngekuwa mbali sana afrika,lakini matokeo yake mpo tu kama waafrika wengine walivyo

Unajua hata zama tuliaminishwa kwamba wakenya mna elimu bora na mmeelimika sana,kumbe baada ya kuwajua yaani wakenya wengi ni vilaza waliopindukia,ni wajinga flani tu wachache wanapenda kuwasifia pasipo kuwajua vizuri
 
Wanaokubali hizo ni watu wa chadema,wajinga flani hivi ambao hawawajui kiundani kama kweli mngekuwa wajanja kama wanavyosema mngekuwa mbali sana afrika,lakini matokeo yake mpo tu kama waafrika wengine walivyo

Unajua hata zama tuliaminishwa kwamba wakenya mna elimu bora na mmeelimika sana,kumbe baada ya kuwajua yaani wakenya wengi ni vilaza waliopindukia,ni wajinga flani tu wachache wanapenda kuwasifia pasipo kuwajua vizuri
Sasa na wewe umekuja kujibu km Mataga sio[emoji23][emoji23]
 

Business mogul Dangote faults Kenya over corruption​


Business mogul Dangote faults Kenya over corruption


By Africanews
Last updated: 07/04/2018

KENYA

Africa’s richest man Aliko Dangote has faulted Kenya’s leadership for their greed and persistent failure to place matters of national interest first when it comes to development.

Speaking to a renowned Kenyan journalist Jeff Koinange, he shelved his plans to build a mega cement factory in Kenya after being put off by top decision makers in the country whom he described as “more corrupt than Nigerians.”

Speaking on his breakfast show in a local FM station, Jeff shared a private conversation he had with Dangote when he attended the billionaire’s daughter’s wedding in Nigeria last month.

“I asked him, ‘Al Hajj when are you coming back to Kenya?’ and he said ‘Jeff, there are people in that place (Kenya) who put greed and personal interest ahead of national interest. I didn’t think Kenya would be more corrupt that Nigeria.‘” Koinange narrated on air.

Dangote, who has been estimated to be Sh1.5 trillion by Forbes, visited Kenya in September 2013 as part of a high-powered delegation of 50 wealthy Nigerian businessmen accompany the country’s then president President Goodluck Jonathan.

The Nigerian tycoon recently pushed the factory’s entry to Kenya to 2021, having earlier planned to build a cement factory in the local market next year.

Dangote is widely known for using lower pricing to gain market share in new markets and its delayed entry will give some reprieve to existing players in a market that is already witnessing stiff competition.

 
Wewe unajua relationship kati ya Tanzania na Kenya ilikuwa mbovu mno. Ilikuwa relationship ya kufanyiana madharau na tit for tat. Sasa honestly ulikuwa unaexpect vipi Kenya tuwapokee kwa mikono miwili ilhali uhusiano kati yetu ni mbovu? Wacha tuone kama mama atafaulu kuunda uhusiano kati yetu.

Ikiwa tutakuwa marafiki wa kweli na sio marafiki feki basi mtapata fursa nyingi sana hapa Kenya. Kenya ina a big internal market na purchasing power ya Wakenya ipo juu ukicompare na nchi za East Africa.

Uhusiano ukiwa sawa kati yetu basi pia wanabiashara wa pande zote mbili watapiga pesa ndefu. Ila kwa jinsi Magufuli alivyokuwa akiichukia Kenya, huyo mfanyibiashara wenu hangeruhusiwa kufanya biashara huku.
Wanadhani Tanzania ni somalia. TZ ni hatari my friend. Usione ukimya wao wakathani ni mbumbu. Tayari wameanza kuhuza kunawa yao nje badala ya kupeleka Mombasa na chai. Na sasa wanatafuta njia ya kuachia kupeleka maparachichi Nairobi. Ngozi na nyama pia. Maua ya Arusha na iringa. JPM alikuwa na Mpango wa kununua Ndege ya mizigo
 
Stupid Kenyan..very stupid and idiot indeed...Rostam siyo Mhindi...look at him closely..hatoki India na Wala baba na mama yake siyo wahindi...ni Mtanzania was kijijini ila asili yake siwezi kukutajia...
Acha ujinga.
Kwa akili yako mwafrika mgani anakaa Asian.?
Huwa mnatetea Kila ujinga tu.
 
Acha ujinga.
Kwa akili yako mwafrika mgani anakaa Asian.?
Huwa mnatetea Kila ujinga tu.
Wewe ndiye mjinga, mshenzi na mpumbavu..nimekwambia Rostam siyo mhindi .na hajawahi kuwa mhindi na Wala asili siyo Asia...kwa kuwa umeng'ang'ania suala hili inawezekana wazazi wako wewe ni wahindi au wanatoka Asia..stupid guy...
 
Acha ujinga.
Kwa akili yako mwafrika mgani anakaa Asian.?
Huwa mnatetea Kila ujinga tu.
Ana kila sifa ya kuwa Mtanzania tena Mnyamwezi wa asili ya Baloch toka Iran, Sagari clan! He is the 5th generation of Aziz family in Tanzania since 1850. Anaongea Kiswahili kizuri kuliko most Kenyans. Anaongea Kinyamwezi pia! Sina uhakika kama anaongea Kishirazi(Persian)!
 
Back
Top Bottom