US Dola matatani kusambaratika, Biden kaliwasha na limemlipukia, anatapatapa

US Dola matatani kusambaratika, Biden kaliwasha na limemlipukia, anatapatapa

Zawadi Ngoda

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2009
Posts
4,175
Reaction score
2,294
Dolla ya Marekani ipo hatarini kusambaratika baada ya vita ya Urusi-Ukraine ikiisha. Baada ya Putin kutangaza mali zake zitauzwa kwa pesa yake RUBEL moja kwa moja, pesa hiyo imeimarika baada ya mataifa mengi kukimbilia Deal hilo kwani ni badhaa huwa bei rahisi. Hata ukali wa bei ya mafuta TZ itapungua kama tukilifuata hilo Deal.

Nchi nyingi zinazofanya biasahara nyingi na nchi katika mabara mengine nje ya Ulaya na Marekani nao wameonyesha nia ya kuuza bidhaa zao kwa pesa yao. CHINA nayo inataka kuuza bidhaa zao kwa YUAN na waturuki nao kwa pesa yao kwa zile nchi zitazohitaji kufanya hivyo. Kwa vile Afrika Bidhaa zetu nyingi hutoka China, Tutahitajika kuwa na YUAN tu kununua bidhaa kwao.

Hivyo China, Urusi na Uturuki ambazo huuza bidhaa zao nyingi Afrika na Asia, pande zote zitafaidika sana kufanya biashara kwa mtindo huo.

Mpango huu utaishusha thamani ya Dola na Euro na kwa upande mwingine wafaidika ni Urusi, China, Uturuki, Afrika na Asia. Mchezo bado mbichi huku nikimuona Trump kurudi madaraka uchaguzi ujao.
 
Dolla ya marekani ipo hatarini kusambaratika baada ya vita ya Urusi-Ukraine ikiisha. Baada ya Putin kutangaza mali zake zitauzwa kwa pesa yake RUBEL moja kwa moja, pesa hiyo imeimarika baada ya mataifa mengi kukimbilia Deal hilo kwani ni badhaa huwa bei rahisi. Hata ukali wa bei ya mafuta TZ itapungua kama tukilifuata hilo Deal.

Nchi nyingi zinazofanya biasahara nyingi na nchi katika mabara mengine nje ya Ulaya na Marekani nao wameonyesha nia ya kuuza bidhaa zao kwa pesa yao. CHINA nayo inataka kuuza bidhaa zao kwa YUAN na waturuki nao kwa pesa yao kwa zile nchi zitazohitaji kufanya hivyo. Kwa vile Afrika Bidhaa zetu nyingi hutoka China, Tutahitajika kuwa na YUAN tu kununua bidhaa kwao.

Hivyo China, Urusi na Uturuki ambazo huuza bidhaa zao nyingi Afrika na Asia, pande zote zitafaidika sana kufanya biashara kwa mtindo huo.

Mpango huu utaishusha thamani ya Dola na Euro na kwa upande mwingine wafaidika ni Urusi, China, Uturuki, Afrika na Asia. Mchezo bado mbichi huku nikimuona Trump kurudi madaraka uchaguzi ujao.
Wacha wee
 
Dolla ya marekani ipo hatarini kusambaratika baada ya vita ya Urusi-Ukraine ikiisha. Baada ya Putin kutangaza mali zake zitauzwa kwa pesa yake RUBEL moja kwa moja, pesa hiyo imeimarika baada ya mataifa mengi kukimbilia Deal hilo kwani ni badhaa huwa bei rahisi. Hata ukali wa bei ya mafuta TZ itapungua kama tukilifuata hilo Deal.

Nchi nyingi zinazofanya biasahara nyingi na nchi katika mabara mengine nje ya Ulaya na Marekani nao wameonyesha nia ya kuuza bidhaa zao kwa pesa yao. CHINA nayo inataka kuuza bidhaa zao kwa YUAN na waturuki nao kwa pesa yao kwa zile nchi zitazohitaji kufanya hivyo. Kwa vile Afrika Bidhaa zetu nyingi hutoka China, Tutahitajika kuwa na YUAN tu kununua bidhaa kwao.

Hivyo China, Urusi na Uturuki ambazo huuza bidhaa zao nyingi Afrika na Asia, pande zote zitafaidika sana kufanya biashara kwa mtindo huo.

Mpango huu utaishusha thamani ya Dola na Euro na kwa upande mwingine wafaidika ni Urusi, China, Uturuki, Afrika na Asia. Mchezo bado mbichi huku nikimuona Trump kurudi madaraka uchaguzi ujao.
Ni ile ile rubisi niliyokuacha ukiifakamia au walikuchanyia na ugoro?
 
Dolla ya marekani ipo hatarini kusambaratika baada ya vita ya Urusi-Ukraine ikiisha. Baada ya Putin kutangaza mali zake zitauzwa kwa pesa yake RUBEL moja kwa moja, pesa hiyo imeimarika baada ya mataifa mengi kukimbilia Deal hilo kwani ni badhaa huwa bei rahisi. Hata ukali wa bei ya mafuta TZ itapungua kama tukilifuata hilo Deal.

Nchi nyingi zinazofanya biasahara nyingi na nchi katika mabara mengine nje ya Ulaya na Marekani nao wameonyesha nia ya kuuza bidhaa zao kwa pesa yao. CHINA nayo inataka kuuza bidhaa zao kwa YUAN na waturuki nao kwa pesa yao kwa zile nchi zitazohitaji kufanya hivyo. Kwa vile Afrika Bidhaa zetu nyingi hutoka China, Tutahitajika kuwa na YUAN tu kununua bidhaa kwao.

Hivyo China, Urusi na Uturuki ambazo huuza bidhaa zao nyingi Afrika na Asia, pande zote zitafaidika sana kufanya biashara kwa mtindo huo.

Mpango huu utaishusha thamani ya Dola na Euro na kwa upande mwingine wafaidika ni Urusi, China, Uturuki, Afrika na Asia. Mchezo bado mbichi huku nikimuona Trump kurudi madaraka uchaguzi ujao.
Tatizo huna uelewa kabisa wa masuala ya currency.

Tafuta mtu anayeelewa akueleweshe mambo yafuatayo:

Gold money
Paper money
Debts money

Ulichokieleza hakina uhusiano na kusambaratika au kuimarika kwa currency.
 
Dolla ya marekani ipo hatarini kusambaratika baada ya vita ya Urusi-Ukraine ikiisha. Baada ya Putin kutangaza mali zake zitauzwa kwa pesa yake RUBEL moja kwa moja, pesa hiyo imeimarika baada ya mataifa mengi kukimbilia Deal hilo kwani ni badhaa huwa bei rahisi. Hata ukali wa bei ya mafuta TZ itapungua kama tukilifuata hilo Deal.

Nchi nyingi zinazofanya biasahara nyingi na nchi katika mabara mengine nje ya Ulaya na Marekani nao wameonyesha nia ya kuuza bidhaa zao kwa pesa yao. CHINA nayo inataka kuuza bidhaa zao kwa YUAN na waturuki nao kwa pesa yao kwa zile nchi zitazohitaji kufanya hivyo. Kwa vile Afrika Bidhaa zetu nyingi hutoka China, Tutahitajika kuwa na YUAN tu kununua bidhaa kwao.

Hivyo China, Urusi na Uturuki ambazo huuza bidhaa zao nyingi Afrika na Asia, pande zote zitafaidika sana kufanya biashara kwa mtindo huo.

Mpango huu utaishusha thamani ya Dola na Euro na kwa upande mwingine wafaidika ni Urusi, China, Uturuki, Afrika na Asia. Mchezo bado mbichi huku nikimuona Trump kurudi madaraka uchaguzi ujao.
Ni kweli Biden kalikoroga.
 
Dolla ya marekani ipo hatarini kusambaratika baada ya vita ya Urusi-Ukraine ikiisha. Baada ya Putin kutangaza mali zake zitauzwa kwa pesa yake RUBEL moja kwa moja, pesa hiyo imeimarika baada ya mataifa mengi kukimbilia Deal hilo kwani ni badhaa huwa bei rahisi. Hata ukali wa bei ya mafuta TZ itapungua kama tukilifuata hilo Deal.

Nchi nyingi zinazofanya biasahara nyingi na nchi katika mabara mengine nje ya Ulaya na Marekani nao wameonyesha nia ya kuuza bidhaa zao kwa pesa yao. CHINA nayo inataka kuuza bidhaa zao kwa YUAN na waturuki nao kwa pesa yao kwa zile nchi zitazohitaji kufanya hivyo. Kwa vile Afrika Bidhaa zetu nyingi hutoka China, Tutahitajika kuwa na YUAN tu kununua bidhaa kwao.

Hivyo China, Urusi na Uturuki ambazo huuza bidhaa zao nyingi Afrika na Asia, pande zote zitafaidika sana kufanya biashara kwa mtindo huo.

Mpango huu utaishusha thamani ya Dola na Euro na kwa upande mwingine wafaidika ni Urusi, China, Uturuki, Afrika na Asia. Mchezo bado mbichi huku nikimuona Trump kurudi madaraka uchaguzi ujao.
Yaani Dollar ya USA isambaratike kwasababu ya Rouble (sio RUBEL) ya Urusi? Hivi mnaelewaga mnayoandikaga au ni kwasababu mna bundles za Uni Offer!?
 
Nami naifuatilia kwa ukaribu Sana hii issue.

Marekani aliendelea kushupaza shingo atakiona.
Baada ya hii vita, Dunia haitabaki kuwa ile ile. Mengi yatabadilika hasa katika masuala ya Uchumi. Lakini Amerika katika kutapatapa kama kawaida yake itazitisha nchi zitazopenda kuiweka pembeni Dola na hasa nchi za Afrika.

Nina neno moja tu kwa Afrika, kama kuna wakati Afrika inabidi kuwa wamoja ni wakati huu. Afrika now or never!
 
Tatizo huna uelewa kabisa wa masuala ya currency.

Tafuta mtu anayeelewa akueleweshe mambo yafuatayo:

Gold money
Paper money
Debts money

Ulichokieleza hakina uhusiano na kusambaratika au kuimarika kwa currency.
Kabisa mkuu watu kama hawa Muda mwingine uwa hatuwajibu kuepuka kuonekana tunatanga tanga kwenye nyuzi za Mataptap
 
Tatizo huna uelewa kabisa wa masuala ya currency.

Tafuta mtu anayeelewa akueleweshe mambo yafuatayo:

Gold money
Paper money
Debts money

Ulichokieleza hakina uhusiano na kusambaratika au kuimarika kwa currency.
Afrika tuna option ya kutumia Dhahabu vile vile katika manunuzi kama tutahitaji hivyo. Kifupi ninachosema ni kuwa baada ya vita hii inayoendelea Urusi - Ukraine, kitachofuata ni vita ya uchumi yenye options nyingi. Hizo nilizozitaja ni baadhi tu lakini vita hii itabadili kabisa mchezo unaochezwa sasa hivi. May be Gadafi alikuwa sahihi, na sasa yanatokea. Hata UN mashakani!
 
Back
Top Bottom