US Dola matatani kusambaratika, Biden kaliwasha na limemlipukia, anatapatapa

US Dola matatani kusambaratika, Biden kaliwasha na limemlipukia, anatapatapa

Dolla ya Marekani ipo hatarini kusambaratika baada ya vita ya Urusi-Ukraine ikiisha. Baada ya Putin kutangaza mali zake zitauzwa kwa pesa yake RUBEL moja kwa moja, pesa hiyo imeimarika baada ya mataifa mengi kukimbilia Deal hilo kwani ni badhaa huwa bei rahisi. Hata ukali wa bei ya mafuta TZ itapungua kama tukilifuata hilo Deal.

Nchi nyingi zinazofanya biasahara nyingi na nchi katika mabara mengine nje ya Ulaya na Marekani nao wameonyesha nia ya kuuza bidhaa zao kwa pesa yao. CHINA nayo inataka kuuza bidhaa zao kwa YUAN na waturuki nao kwa pesa yao kwa zile nchi zitazohitaji kufanya hivyo. Kwa vile Afrika Bidhaa zetu nyingi hutoka China, Tutahitajika kuwa na YUAN tu kununua bidhaa kwao.

Hivyo China, Urusi na Uturuki ambazo huuza bidhaa zao nyingi Afrika na Asia, pande zote zitafaidika sana kufanya biashara kwa mtindo huo.

Mpango huu utaishusha thamani ya Dola na Euro na kwa upande mwingine wafaidika ni Urusi, China, Uturuki, Afrika na Asia. Mchezo bado mbichi huku nikimuona Trump kurudi madaraka uchaguzi ujao.
Kabla ya Vita,Thamani ya Ruble ilikuwa Ruble 73 kwa 1 $. Leo hii Ruble ipo 83 kwa 1$. Hii ni Licha ya Serikali ya Urusi kupiga marufuku Masoko yote ya Forex nchini Urusi,Bank Kuu TU Ya Urusi ndio inaruhusiwa kufanya Hizo Exchanges. Thamani ya Ruble utakuja kuiona siku Serikali ikiruhusu Miamala isiyo ya kikomo ya fedha za kigeni KWENDA nje.

Dollar inaweza kuanguka lakisi sio kwa kususiwa,Uwekezaji wa Kichina wa Silk and Road Initiative (SRI) Duniani kote ndio njia pekee ya kuichallege Dollar after 30 years.
 
Tatizo huna uelewa kabisa wa masuala ya currency.

Tafuta mtu anayeelewa akueleweshe mambo yafuatayo:

Gold money
Paper money
Debts money

Ulichokieleza hakina uhusiano na kusambaratika au kuimarika kwa currency.
Sasa mtaalamu huu ndio wakati wa kututoa gizani sisi tuliobakia njia panda kwenye mada hii japo kwa juu juu tu......
 
Upo sahihi lakini Ruble ilianguka sana mara tu Urusi ilipowekewa vikwazo vya uchumi. Baada ya Urusi kutangaza malipo ya kimataifa kwa Ruble ikaimarika sana. na waliochangamkia sana hilo Deal ni Wachina na India. Urusi sidhani kama itafungua tena maduka hayo, hata kama wakifungua si kwa kiasi kile kama kilichokuwepo mwanzoni kwa vile dira imebadilika.

Nakubaliana nawe juu ya uwekezaji, ndio maana nimeeleza kuwabaada ya vita Urusi- Ukraine Sura ya Dunia kiuchumi itabadilika. Lakini nia kubwa itakuwa ni kuipunguza nguvu Dola ya Marekani kwa kutumia mbinu tofauti ikiwa pamoja na hiyo ya uwekezaji.
 
Kabla ya Vita,Thamani ya Ruble ilikuwa Ruble 73 kwa 1 $. Leo hii Ruble ipo 83 kwa 1$. Hii ni Licha ya Serikali ya Urusi kupiga marufuku Masoko yote ya Forex nchini Urusi,Bank Kuu TU Ya Urusi ndio inaruhusiwa kufanya Hizo Exchanges. Thamani ya Ruble utakuja kuiona siku Serikali ikiruhusu Miamala isiyo ya kikomo ya fedha za kigeni KWENDA nje.

Dollar inaweza kuanguka lakisi sio kwa kususiwa,Uwekezaji wa Kichina wa Silk and Road Initiative (SRI) Duniani kote ndio njia pekee ya kuichallege Dollar after 30 years.
Kabla ya vita ilikuwa rubles 79 kwa one dollar.
 
Dolla ya Marekani ipo hatarini kusambaratika baada ya vita ya Urusi-Ukraine ikiisha. Baada ya Putin kutangaza mali zake zitauzwa kwa pesa yake RUBEL moja kwa moja, pesa hiyo imeimarika baada ya mataifa mengi kukimbilia Deal hilo kwani ni badhaa huwa bei rahisi. Hata ukali wa bei ya mafuta TZ itapungua kama tukilifuata hilo Deal.

Nchi nyingi zinazofanya biasahara nyingi na nchi katika mabara mengine nje ya Ulaya na Marekani nao wameonyesha nia ya kuuza bidhaa zao kwa pesa yao. CHINA nayo inataka kuuza bidhaa zao kwa YUAN na waturuki nao kwa pesa yao kwa zile nchi zitazohitaji kufanya hivyo. Kwa vile Afrika Bidhaa zetu nyingi hutoka China, Tutahitajika kuwa na YUAN tu kununua bidhaa kwao.

Hivyo China, Urusi na Uturuki ambazo huuza bidhaa zao nyingi Afrika na Asia, pande zote zitafaidika sana kufanya biashara kwa mtindo huo.

Mpango huu utaishusha thamani ya Dola na Euro na kwa upande mwingine wafaidika ni Urusi, China, Uturuki, Afrika na Asia. Mchezo bado mbichi huku nikimuona Trump kurudi madaraka uchaguzi ujao.
USA iko imara na Hela yao..
 
USA iko imara na Hela yao..
Othman empire, Rome Empire na walatino walikuwa imara, lakini kama waswahili wasemavyo kila kilichojuu hushuka. Hofu ya Amerika kwa China inaashiria wasi wasi walionao waamerika juu ya kupitwa na mataifa mengine.

Mataifa mengi yameamka sasa hivi, lililobaki kidogo ni bara la Afrika tu. Ila baada ya vita hivi vya Urusi na Ukraine Afrika nayo inaweza kuja na muelekeo mwingine.
 
Baada ya hii vita, Dunia haitabaki kuwa ile ile. Mengi yatabadilika hasa katika masuala ya Uchumi. Lakini Amerika katika kutapatapa kama kawaida yake itazitisha nchi zitazopenda kuiweka pembeni Dola na hasa nchi za Afrika.

Nina neno moja tu kwa Afrika, kama kuna wakati Afrika inabidi kuwa wamoja ni wakati huu. Afrika now or never!
Kuna kipindi waafrika walionesha msimamo wao pale Rais Albashir wa wa Sudan alipotakiwa Mahakama ya kimataifa,akaudhuria mkutano Africa kusini na hawakumkamata na walimsafirisha kijeshi hadi kwao
 
Tatizo huna uelewa kabisa wa masuala ya currency.

Tafuta mtu anayeelewa akueleweshe mambo yafuatayo:

Gold money
Paper money
Debts money

Ulichokieleza hakina uhusiano na kusambaratika au kuimarika kwa currency.
WEWE NDIO HUNA UELEWA.

UNAFIKIRI PESA YA TANZANIA TSH. INGETUMIKA KAMA DOLA INGEKUWA KAMA ILIVYO LEO?
 
badala tufikirie shilingi yetu ipande tuwapite wakenya wewe ndio kwanza unawaza dolla ya marekani ishuke na wakati huo huo unayofikiria hayo raisi wako yuko huko huko marekani kapeleka bakuri lakuombea hiyo dolla .ukiambiwa Kati ya nchi hizi mbili tatu uchague ukaishi kati ya marekani ,urusi,china, iran utaenda wapi utaenda marekani .tukikuambia wewe ni mbuzi utakataaa
 
badala tufikirie shilingi yetu ipande tuwapite wakenya wewe ndio kwanza unawaza dolla ya marekani ishuke na wakati huo huo unayofikiria hayo raisi wako yuko huko huko marekani kapeleka bakuri lakuombea hiyo dolla .ukiambiwa Kati ya nchi hizi mbili tatu uchague ukaishi kati ya marekani ,urusi,china, iran utaenda wapi utaenda marekani .tukikuambia wewe ni mbuzi utakataaa
Kuchagua kwenda Marekani ni mawazo yako ww na mapenzi yako na si ya kila mtu maana kuna wamarekani wameondoka nchini mwao kwenda kuishi kwenye hizo nchi ulizo zitaja.
 
Back
Top Bottom