US Dollar sasa ni 2600. Airport Haipo

US Dollar sasa ni 2600. Airport Haipo

Ukienda kariakoo zaidi ya 75% ya vitu vinavyouzwa ni imported..means tunatumia dola zaidi kuagiza vitu(demand ya dola ni kubwa ku support supply ya bidhaa kutoka nje).

Nini kifanyike?
1. Tungeanza kwa kuongeza export ili tupate inflow ya dola...
2. Tungepunguza importation kwa kuongeza viwanda vya ndani
3. Tungetumia gas asilia kwenye magari ili kuokoa dola zinazotumika ku nunua mafuta.
4. Ban importation ya mafuta ya kula na mazao yote ya kilimo ili ku save vijidola vichache tulivyibakiza...after 60yrs of independent na kua na inchi yenye rutuba na maji ya kutosha sioni sababu ya kuagiza misosi nje...ni aibu.

Otherwise tuendelee kulaumiana while doing nothing in the process.
 
Ukienda kariakoo zaidi ya 75% ya vitu vinavyouzwa ni imported..means tunatumia dola zaidi kuagiza vitu(demand and supply).

1. Tungeanza kwa kuongeza export ili tupate inflow ya dola...
2. Tungepunguza importation kwa kuongeza viwanda vya ndani
3. Tungetumia gas asilia kwenye magari ili kuokoa dola zinazotumika ku nunua mafuta.
4. Ban importation ya mafuta ya kula na mazao yote ya kilimo ili ku save vijidola vichache tulivyibakiza...after 60yrs of independent na kua na inchi yenye rutuba na maji ya kutosha sioni sababu ya kuagiza misosi nje...ni aibu.

Otherwise tuendelee kulaumiana while doing nothing in the process.
Unayemwambia kafunika masikio na kitambaa kila siku.
 
Wadau.

Daktari wetu wa uchumi anasemaje huko?. Dollar sasa imeadimika sana na inazidi kupaa tu. Kiufupi sasa uchumi wetu unachuchumia kifo. Hapa Aiport ya Dar haipatikani imebidi niagize mtu KARIAKOO na hiyo ndio bei. Yaani nilikuwa na Milion yangu nimeambulia dollar 385.

Tuwe makini sana. Maana sasa hata bajet ya tr 40+ sio kitu tena kama tunategemea kununua vitu nje ya nchi.

Mambo ni moto kila kona.
Amepigwa
 
Na tabia hii ya kupenda kufanyiwa na kuletewa kila kitu / tutegee itandelea kuadimika / kupanda..

Tatizo la short term thinking....
 
Back
Top Bottom