Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapema sanaKocha fanya sub ya fasta
Usikimbie huu uzi jaji akishasoma adhabu na kupiga nyundo mezani.😂😂😂Wanafanyaje unasema?
Nimefikiria hii kitu, tukifanya utani inawezekana Asec na Berkane watajipigia hawa watoto nje ndani sisi tubaki tunashangaa tu.Hawa waniger ndio pisi kali wa hili kundi, tusipojipigia hapa nje ndani tutajiweka katika mazingira magumu ya kufuzu 1/4 fainali.
We ulsi unaona kwa hali ilivyo sasa unategemea kitu gani kipya kwa wachezaji hawa ambao wako ndani?Mapema sana
Hawa jamaa wameiga mechi ya Kagera SugarKama uto vs rivers siyo?
Waaache wafanye hivyo hivyo ili tukirudisha wakose muda wa kuongezaWsshaanza kupoteza muda
Hamna kitu kipya hapo, tunahitaji akili mpyaWe ulsi unaona kwa hali ilivyo sasa unategemea kitu gani kipya kwa wachezaji hawa ambao wako ndani?