okaoni
JF-Expert Member
- Jun 25, 2011
- 1,471
- 1,303
Huyo adebayo akija kwenye uwanya wa kiwango atawauaHawa jamaa tukikutana nao hapa Kwa mkapa wanakufa si chini ya goli 4
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo adebayo akija kwenye uwanya wa kiwango atawauaHawa jamaa tukikutana nao hapa Kwa mkapa wanakufa si chini ya goli 4
Ndiyo maana napenda hiki kijiwe,full burudani 😂😂😂Utadhani uko hapo niger jf bana kuna viumbe wenye tambo wallah.
Sikua na mood ya kucheka Leo ila Kwa hapa uvumilivu umenishinda Kwamba jamaa ni Moja wa manabii wa mchongo wa siku za mwisho waliotabiriwa na vitabu au sio,Sawa nabii wa siku za mwisho
Simba haiwezi kufungwa na timu yenye rekodi ya kufungwa goli 6Mkuu pressure zilikuwa zimepanda wengine ujue,leo tumeenda kufunga mageti ili tu kukwepa kuangalia dakika za mwisho mwisho
Hapa tutamwekea kamati ya roho mbayaHuyo adebayo akija kwenye uwanya wa kiwango atawaua
Draw inatoshaMnaweza kurudi na points 0.........maana sioni mtapata ushindi wapi.........
Simba sioni kupata ushindi Leo na RSB pale Morocco
Kwani knock out stage?Hivi ile sheria la goli la ugenini bado ipo kwenye haya mashindano?
Kwa hiyo usahihi wa unabii wako ulikuwa unategemea uwepo wangu? bladbasketballUnatoka mapangoni huko unakula saizi,timu yako huiamini?
cc:Sikua na mood ya kucheka Leo ila Kwa hapa uvumilivu umenishinda Kwamba jamaa ni Moja wa manabii wa mchongo wa siku za mwisho waliotabiriwa na vitabu au sio,
Daaa bonge la dis
😂😂😂😂😂🔥
Keshaisha yuleMatokeo Mazuri Hongereni Wanasimba.
Ila Kiukweli Nakuaga Sina Amani Nyoni Akiwa Uwanjani Sijui Kwanini Yaani
Kuongoza kundi lenye WEST and NORTHEN Africa clubs...
Mkuu tofautisha nigeria na naija hao wapika pombe sisi tulienda nigeria kwenye mpira umezaliwa wewe umeenda naija (niger) kwa waleviMlienda huko Nigeria Africa magharibi mkapigwa moja.Simba nae yupo huko katoa draw ya moja moja kapata na point moja,wewe Uto unaona Tsabalala kukimbizwa ndo la maana,eti?
Labda refa awe hussein kaboul, ama simbaHawa jamaa tukikutana nao hapa Kwa mkapa wanakufa si chini ya goli 4