Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Susa susa susaWadau hii imekaaje Waziri huyu Bibi Janet Yellen anasema US haitashiriki mikutano ya G20 kama Russia atashiriki, naomba athari za Russia kutoshiriki G20 maana huyu jamaa naona anabanwa kila anapochomoza pua.
Naomba kutanguliza shukurani
View attachment 2180399
Hamna lolote wanachotaka nikumchafua nakumpiga Vita Russia everywhereitakuwwa intelijensia yao imeona kuwa yawezekana kukatokea vita nyingine kikaoni/mkutanoni... US ni wabaya sana linapokuja swala intelijensia na usalama wao...
itakuwwa intelijensia yao imeona kuwa yawezekana kukatokea vita nyingine kikaoni/mkutanoni... US ni wabaya sana linapokuja swala intelijensia na usalama wao...
Wasuse lakini kipondo pale pale!!Wamenza kususa
Kakamata watu pabaya😜Nrusi ntu nbadi chana bwana weweee bahh!!!!!
Mwamba Putin mzee wa Judo atanipigia Biden mpk ile diaper anayovaa ichomoke.itakuwwa intelijensia yao imeona kuwa yawezekana kukatokea vita nyingine kikaoni/mkutanoni... US ni wabaya sana linapokuja swala intelijensia na usalama wao...
Mwamba Putin mzee wa Judo atanipigia Biden mpk ile diaper anayovaa ichomoke.View attachment 2180557
Mkuu habari. samahani, naona ulichoandika hapa hakishabihiani na Jina lako. AhsanteMarekani akitoka atatoka na wake zake!!! Bi mkubwa UK!! Akitoka acha atoke tu! Who is USA??
Kwani anaumwa dementia Kama Babu biden?Putin anadondoka hana mda mrefu sana.
HeheeePutin anadondoka hana mda mrefu sana.