matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Hadi leo karibu 1/3 ya jeshi lote la navy la US limeshaizunguka Iran kwa lolote ikitokea kajaribu kuishambulia Israel. Watafiti wanasema US imetoa karibu meli zake zote Pacific na zimeenda kukaa kimkakati kwa lolote karibu na iran na israel.
Huu ndio urafiki, huu ndio udugu. Kwa mujibu wa professor wa Masuala yanayohusu Iran wa Chuo kikuu cha Tel Aviv Dr. David Menashri anasema " Hatuwezi kuingia vitani na Iran bila US, Hatuna millitary option".
My take
Katika maisha ni bora uwe na rafiki na ndugu mmoja wa maana kuliko kuwa na marafiki mia machawa, wachawi, wasio na uwezo wowote wa kukusaidia unapokuwa kwenye hatari kubwa kama inayomkabiri Israel.
Kwa upande wa Iran hakuna aliyeupande wake mwenye "commitment" kama aliyonayo US kwa Marekani. Russia anamtumia kisiasa, China anamtumia kimaslahi, Waarabu wanamshangilia kwenye keyboard tu huku kwenye uhalisia wanamsaidia US kuhakikisha Israel haipati madhara yoyote.
Tukiacha udini na uvita, anachokifanya US kwa Israel kina funzo kubwa la maisha ya kila siku huku uswahilini tunakoishi.
Ni hayo tu...
Mtumishi Matunduizi.
Huu ndio urafiki, huu ndio udugu. Kwa mujibu wa professor wa Masuala yanayohusu Iran wa Chuo kikuu cha Tel Aviv Dr. David Menashri anasema " Hatuwezi kuingia vitani na Iran bila US, Hatuna millitary option".
My take
Katika maisha ni bora uwe na rafiki na ndugu mmoja wa maana kuliko kuwa na marafiki mia machawa, wachawi, wasio na uwezo wowote wa kukusaidia unapokuwa kwenye hatari kubwa kama inayomkabiri Israel.
Kwa upande wa Iran hakuna aliyeupande wake mwenye "commitment" kama aliyonayo US kwa Marekani. Russia anamtumia kisiasa, China anamtumia kimaslahi, Waarabu wanamshangilia kwenye keyboard tu huku kwenye uhalisia wanamsaidia US kuhakikisha Israel haipati madhara yoyote.
Tukiacha udini na uvita, anachokifanya US kwa Israel kina funzo kubwa la maisha ya kila siku huku uswahilini tunakoishi.
Ni hayo tu...
Mtumishi Matunduizi.