matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
- Thread starter
- #21
Siku zote tangu shule ya msingi.Umeanza kufuatilia lini siasa za kimataifa hasa zinazo gusa mashariki ya kati ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku zote tangu shule ya msingi.Umeanza kufuatilia lini siasa za kimataifa hasa zinazo gusa mashariki ya kati ?
Una account mbili humu huyo huyo mmoja unajianzishia thread huyo huyo mmoja unajibu jibu mwenyewe.Siku zote tangu shule ya msingi.
IQ 50Ndio. Wangetumiq akili zao vizuri na rasilimali zilizopo africa sisi ndio tulitakiwa kutawala wazungu sio wao kututawala.
Hizo ni hisia zako, siwezi kuzijadili maana ni hisia za uongo. Karibu utoe maoni kwenye mada kama unahoja mkuu.Una account mbili humu huyo huyo mmoja unajianzishia thread huyo huyo mmoja unajibu jibu mwenyewe.
IQ 50 bila shaka.
Tunisia imeshawahi kutawala Ulaya, Cathage empire ilikuwa kidogo waipindue dola ya Rumi. Suala la mabibi zetu kuwa wazembe sio excuse ya kutafuta huruma mitandaoni.IQ 50
Magaidi yalivyoua Oct 7 mwaka jana walipiga hesabu za kuishi milele?!Urafiki wa kuua wasio na hatia huku wao wakipiga hesabu za kuishi milele shetani ndio alivyo kuwatamanisha watu na dunia basi
Jamaa anatumia jicho moja kujenga hoja.Magaidi yalivyoua Oct 7 mwaka jana walipiga hesabu za kuishi milele?!