US Navy Operation red wing

US Navy Operation red wing

Salute kwake[emoji8][emoji8][emoji8].

hii lone survivor niliiona sijui mwaka juzi.
si ameigiza yule kaka alo-act titanic
waarabu wabaya sana kuna mtu alienda kuchinjwa kwenye gogo[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]kama kuku......


s/o kwa wanajeshi wote!!!! salute ziende kwenu[emoji8][emoji8][emoji8]wanaume wa Kweli.

next week naenda kumuomba Co mwanajeshi mmoja anioe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12] siwezi kuolewa na kilaza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wenzetu wanaandika na kutunza habari za wote waliopewa medal of honor. It is so fascinating....there are ordinary people in some circumstances display extraordinary bravery by their actions.

Tumuunge mkono JPM[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
3ee41358454dd9274362bd3abb7990e0.jpg



wanaume kazini[emoji41]
 
Daah lone survival noma yani Yale mapango na jinsi walivyobingirita daah kama huna mazoezi lazima upaauke kichwa ndio maana wakaenda makomandoo
 
Nilipoanza kusoma nikaona nimechoka sitamaliza nilipomaliza kusoma nikaona imewahi kuisha
 
Niliisoma na nina kitabu chake mkuu....

Nawakumbuka sana akina Stealth,Alpha,Honey-Bee,Vampire,Cheetah na wengine mkuu...

Jamaa ni mkali sana kwa kutunga....
Vipi mkuu umesoma kitabu cha wimbo wa gaidi ndio kitabu chake kipya cha sasa hivi nacho kipo vizuri sana
 
Back
Top Bottom