Usisahau kwamba, hata wale magaidi wanapoua wahanga wao waga wanasema Allah Akhbar.Hana jipya mzee nashangaa anapata wapi nguvu ya kumtaja Mungu wakati amemwaga sana damu za watoto mjini Gaza akishirikiana na Netanyahu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau kwamba, hata wale magaidi wanapoua wahanga wao waga wanasema Allah Akhbar.Hana jipya mzee nashangaa anapata wapi nguvu ya kumtaja Mungu wakati amemwaga sana damu za watoto mjini Gaza akishirikiana na Netanyahu
Usisahau kwamba, hata wale magaidi wanapoua wahanga wao waga wanasema Allah Akhbar.
Simuombei kifo hata kidogo.Usimuombee kifo.Yeye anataka aishi kama Musa.Miaka kama yote.
Inawekana akawa yupo sahihiHana jipya mzee nashangaa anapata wapi nguvu ya kumtaja Mungu wakati amemwaga sana damu za watoto mjini Gaza akishirikiana na Netanyahu
Hakuna kipindi USA iliporomoka kiuchumi kama kipindi cha Trump kwasababu ya trade war na China.Unaendeshwa na hisia zako hasi.Waulize tena USA kuhusu Trump na uchumi wao.
Mkuu kasi ya ukuaji uchumi USA unakumbuka kipindi cha Trump ilipungua kwa asilimia ngapi toka kipindi cha Obama!?Bado unahisihisi mambo bila ushahidi.
Akae hadi vita viishe Palestine maana yeye ndio anaiongoza hiyo vitaKumekuwa na gumzo kubwa Marekani ambapo watu wanashauri Biden apumzike asigombee kwa awamu nyingine kwa sababu ya umri. Ona mzee Biden alichowajibu;
"Ikiwa Bwana Mwenyezi angeshuka na kusema Joe, ondoka kwenye mbio za uchaguzi ningetoka kwenye mbio hizi za uchaguzi. Lakini Bwana Mwenyezi hajashuka kuniambia."
-Joe Biden
Inawekana akawa yupo sahihi
Akae hadi vita viishe Palestine maana yeye ndio anaiongoza hiyo vita
Umesema vyemaAsipoacha atafanya vituko vya historia.
Ikiwa uwezo wake uko hivo now, vp 4yrs ahead.
Hakuna kipindi USA iliporomoka kiuchumi kama kipindi cha Trump kwasababu ya trade war na China.
Nenda kafuatilie mzee labda umejisahaulisha.
Taarifa si zilikua zinatoka!?Uko sahihi
Trump hakuna cha maana alichofanya kwenye uchumi wa Marekani
Na lbtq+ hua wanasemaje?Usisahau kwamba, hata wale magaidi wanapoua wahanga wao waga wanasema Allah Akhbar.
Ungemlaumu kuruhusu LGBTQHana jipya mzee nashangaa anapata wapi nguvu ya kumtaja Mungu wakati amemwaga sana damu za watoto mjini Gaza akishirikiana na Netanyahu
Ungemlaumu kuruhusu LGBTQ
Ungekuwa sahihi
Ila Hamas walichokoza nyuki wenye hasira hakuna namna
Hamasi walisifiwa sana baada ya uvamizi wa oktoba 7 Leo imekuwa Israel tena. Let them eat brothers.Hana jipya mzee nashangaa anapata wapi nguvu ya kumtaja Mungu wakati amemwaga sana damu za watoto mjini Gaza akishirikiana na Netanyahu
Hamasi walisifiwa sana baada ya uvamizi wa oktoba 7 Leo imekuwa Israel tena. Let them eat brothers.