Mocumentary
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 806
- 2,049
Mna waste time tu na haya matamko, hayana maana yoyote, CCM itashinda na Magufuli ndio rais wa awamu ijayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaaani ninachomoendea marekani huwa anaongea akiwa na ushahidi. Lazima CCM wajue hawajui mwaka huu dadekiiiiiiTunaelekea pazuri,waovu wote wameshamulikwa,kilochobaki ni kuwamaliza
Kila comment mbili basi moja itakuwa na neno BeberuNeno beberu litakua common kwenye hii thread...wewe subiri.
Magufuli akishinda ajiandae na vikwazo visivyoelezeka vya kiuchumi na kufunguliwa uchunguzi rasmi utakaoishia kwa yeye na watu wake wa karibu kutolewa arrest warrant na ICC.Mna waste time tuu na haya matamko, hayana maana yoyote, ccm itashinda na magufuli ndio rais wa awamu ijayo.
Sasa subiri matokeo ya hivyo vipeperushi ndo utaona wamechokaje!Toka waanze kuandika vipeperushi kwenye korona hawajachoka tu
yeyote atayemsema vibaya beberu basi anafukuliwa tigo na huyo beberuNeno beberu litakua common kwenye hii thread...wewe subiri.
Sasa subiri matokeo ya hivyo vipeperushi ndo utaona wamechokaje!!!
Gooo Americaaaaaa
Hizi nyakati nyingine, wangepelekwa ICC kina kagame, museveni. Hila hayo mataifa yanalinda maslahi yao tuu hawana mpango na demokrasia yetu, na hata hiyo ICC inawalinda wao pia ndio maana mataifa mengine yamejitoa, USA haziwezi kuharibu uhusiano na Tanzania, halafu hiyo nafasi itumiwe na china.Magufuli akishinda ajiandae na vikwazo visivyoelezeka vya kiuchumi na kufunguliwa uchunguzi rasmi utakaoishia kwa yeye na watu wake wa karibu kutolewa arrest warrant na ICC.
Utakuja kupata mjumuisho wake soonWaendelee na vipeperushi vyao vya korona [emoji3][emoji3]
Kwani kagame kawatukana kwa kuwaita mabeberu???Hizi nyakati nyingine, wangepelekwa ICC kina kagame, museveni. Hila hayo mataifa yanalinda maslahi yao tuu hawana mpango na demokrasia yetu, na hata hiyo ICC inawalinda wao pia ndio maana mataifa mengine yamejitoa, USA haziwezi kuharibu uhusiano na Tanzania, halafu hiyo nafasi itumiwe na china.
Neno beberu ndio chanzo cha kuwekewa vikwazo na kupelekwa ICC?Kwani kagame kawatukana kwa kuwaita mabeberu???
Zama gani unaziongelea??? Unajua Omar Al Bashir yuko wapi saivi???
Endeleeni kuabudu hao wazungu na kichapo bado mtachezeaWajinga watapuuza wakijidanganya wao ni zaidi ya wazungu, endeleeni na ujinga wenu muone utakavyowa cost.
Mnalazimisha kuiba kura hata pasipowezekana, sijawahi kuona mwizi anaiba tu hata kama anaemuibia ameshamuona, hii Tume ya vilaza ni aibu kwa hili taifa.
Hahaha utaandamana Douglass?! Maana huyo Lissu hata asilimia 20 ya kura hapati..Kumekucha
Rasilimali zipi ambazo ziko Tz ambazo wazungu hawanaMabeberu hawana maana zaidi ya kutamani rasilimali zetu.
Shekhe we ni raia wa nchi gani?Rasilimali zipi ambazo ziko Tz ambazo wazungu hawana