Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Acha arguments za kijinga. Wapi nimesema hivyo? Kutaka haki itendeke Tanzania haina uhusiano wowote na Marekani. Vitabu vya dini vinapoongelea haki huwa vinaihusisha na Maremani. Acha upumbvu.
Sasa kama we mtanzania kwann unahitaji mmarekani akuangalizie uchaguzi wako, kwann usisimamie uchaguzi wako mwenyewe? Na sasa upo hapa unashabikia nini?